Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajisema sasa?Akili ikiyumba sehemu zinazoteseka ni za siri ukija kustuka una baby no 2 ama 3 na bado ni single mother.
Uzi unaweza kufungwa sasa. Asante sana !!!
Kwahio unampelekea baba mtoto😂Tatizo unapotuliza akili nako chini kunataka kusuguliwa.Afu asilimia kubwa wengi kuzaa ndo kulitusaidia tujue hata ina ladha gani...before ilikuwa ni maliza nivae kiwalo
Hahahah kwahio watoto awaone nje ya geti hukoulimkuta tu na yeye hajielew, mimi kama tumeachana hata simu sitak lacvyo iwe inahusu watoto, ukitaka kuwaona unatolewa watoto wako nje ya geti. inabaki co parenting, kwani watu mnafeli wap? kama mtu anaruhusu yote hayo jua hata kama mngekua hamjazaa unamla wakat wowote trust me.
Tatizo sio wote wana hizi akili! Akishakuja baba watoto anakulegeza akili anajipigia tu hasa wale ambao mliachana kwa peacefully bila mbwembwesi ndo hapo bwana, mtu kama alikupenda kweli msingeachana. Kuruhusu awe na wewe tena ni ukosefu wa akili. Mnatumia kigezo watoto wakat watakua na kuwa na miji yao huko
Acha nijiseme Mkuu ni fresh tu.Mbona unajisema sasa?
Haya bhanaKwahio unampelekea baba mtoto😂
Ningekua single nngekushawishiSingle mom hujanishawishi bado
[emoji23][emoji23][emoji23] haki ya mungu.Kwahio unampelekea baba mtoto[emoji23]
unamaanisha ukioa mwanamke ambae sio single mother huwezi kugongewa au? nipe sababu ya hio big greaking NO yako mkuu.big freaking NO, nitamuoa pindi tu pale baba wa mtoto kafariki, na kaburi nilione
na documents zote za kifo nizione
hata Mungu aliona dunia haifai akataka kuiangamiza.. baadae huruma ikamjaa.Mlianza kwa kuwakataa kabisa kwamba hamuezi kuaanza mechi mmetanguliwa mmoja bila.sasa mmeanza kusema akiwa na mtoto wa kike ni sawa.taratibu mmeanza kukubali,yale yale ya tz na corona
unamaanisha ukioa mwanamke ambae sio single mother huwezi kugongewa au? nipe sababu ya hio big greaking NO yako mkuu.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
kugongeka ni swala la mwanamke mwenyewe mpaka atake sio kila nwanamke atakubali chief.uwezekano wa singo maza kugongwa na mzazi mwenza ni 100% , wala halina ubishi
mtoto atataka amuone baba yake, mama yake atampeleka na atagongwa hukohuko ( kupasha )
au mama atataka amuone mwanawe ambaye anaisha kwa baba, akienda anagongeka kiwepesi kabisa
haha, uko Pluto nini mkuu,kugongeka ni swala la mwanamke mwenyewe mpaka atake sio kila nwanamke atakubali chief.
na baba kumwona mtoto sio lazima mama mtoto aende kwake. anaweza akaja nyumbani kumchukua anaenda nae matembezi jioni amrudishe au akae nae likizo, ikiisha mtoto anarudi. simple
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app