Single mothers nawaibia siri nyingine

Single mothers nawaibia siri nyingine

Ukweli ni kwamba, wanawake wanaoliwa kirahisi mtaani ni single mothers, na vijana wanawapenda kinoma.
Ni rahisi kuelewa hilo, mfano magari mengi yanauzwa Tanzania ni used, au mitumba yametumika sana yanakotoka na ndio tunayapenda sana. Ukielewa hili utaelewa kwanini Vijana wanawapenda hao.
 
Kwa jinsi mwenendo wa maisha ulivyo na idadi ya wanaozaa nje ya ndoa ilivyokubwa si muda mrefu single mothers watakua ni watu wanaolewa vizuri tuu kama hawa wadada wengine wanaolewa...
Uko sahihi, tatizo ni kuwa hao wanaume waoaji nao sasa hivi hakuna. Vijana ni choka mbaya kuanzia kiuchumi mpaka huko kitandani, hivyo soon Single Mazas watakuwa na sifa sawa tu na wengine, tena watakuwa na advantage japo wana watoto wa kulinda sifa ya baba. Naona wakija kuwa wanatafutwa kama dhahabu huko mbeleni. Wavumilie tu haya mashambulizi kwa sasa 😀
 
Huyu jamaa tumesoma wote lakini ni mtu mwenye asili ya ubishi lakini pia ni aina flani ya watu wanaojifanya wajuaji anyway sasa twende kwenye mada yetu halisia

Kipindi anataka kuoa washikaji wake wa karibu tulimsihi sana huyu binti ukimuoa huko mbeleni atakuja kukupa shida simply tunawaelewa single mother ni ngumu kuvunja bond kati yake na mwanaume aliyezaa nae lakini msela alijifanya mwamba coz binti alimweleza jamaa aliyeza nae alimtekelekeza na hataki hata kumsikia sababu alikataa mimba na akamtelekeza hivyo hana hata mpango nae

Leo hii ndoa yao ina miaka mitatu jamaa kagundua binti na jamaa wanawasiliana vizuli , wanakutana na kuna kipindi jamaa akitaka mtoto kumuona binti anampeleka kumuona baba yake mzazi.

Jamaa yetu baada ya kugundua hayo amemwambia binti huyu mtoto anaomba ampeleke akalelewewe na baba yake upande wa pili huyu baba wa mtoto ana mke wake na hizo habari za kuletewa mtoto hataki kuzisikia coz hataki mgogoro kwenye ndoa yake kuleta mtoto wa njee ,

Ukienda kwenye kutoa huduma za mtoto huku jamaa hachangii chochote kile kuhusu mtoto wake anadai majukumu ya familia yake yamembana hana uwezo wa kumuhudumia mtoto lakini kila mwisho wa miezi mitatu jamaa kule huwa anataka apelekewe mtoto akamsalimie baba yake kimya kimya bila msela huku asijue
Na mbaya zaidi majukumu yote ya mtoto msela yamemuelemea huku mtoto ana baba yake......

Mpka sasa ndoa yao ina mgogoro mzito jamaa yetu saivi kama kachanyikiwa connection ya kimya kimya kati ya mke wake na jamaa inampa uchungu na majukumu yote ya mtoto wao yapo juu yake
Na yeye kamzalisha watoto au bado??
 
Atafute namba za jamaa ampigie simu amwambie Nampa siku tatu aje abebe mbegu zake lasihvyo kitakachomkuta asije kulaumu
Amchukue dogo ampeleeke kwa Bab ake then kam mam atamaind Basi amfukuze moja kwa Moja kwa red. Card
 
Huyu jamaa tumesoma wote lakini ni mtu mwenye asili ya ubishi lakini pia ni aina flani ya watu wanaojifanya wajuaji anyway sasa twende kwenye mada yetu halisia

Kipindi anataka kuoa washikaji wake wa karibu tulimsihi sana huyu binti ukimuoa huko mbeleni atakuja kukupa shida simply tunawaelewa single mother ni ngumu kuvunja bond kati yake na mwanaume aliyezaa nae lakini msela alijifanya mwamba coz binti alimweleza jamaa aliyeza nae alimtekelekeza na hataki hata kumsikia sababu alikataa mimba na akamtelekeza hivyo hana hata mpango nae

Leo hii ndoa yao ina miaka mitatu jamaa kagundua binti na jamaa wanawasiliana vizuli , wanakutana na kuna kipindi jamaa akitaka mtoto kumuona binti anampeleka kumuona baba yake mzazi.

Jamaa yetu baada ya kugundua hayo amemwambia binti huyu mtoto anaomba ampeleke akalelewewe na baba yake upande wa pili huyu baba wa mtoto ana mke wake na hizo habari za kuletewa mtoto hataki kuzisikia coz hataki mgogoro kwenye ndoa yake kuleta mtoto wa njee ,

Ukienda kwenye kutoa huduma za mtoto huku jamaa hachangii chochote kile kuhusu mtoto wake anadai majukumu ya familia yake yamembana hana uwezo wa kumuhudumia mtoto lakini kila mwisho wa miezi mitatu jamaa kule huwa anataka apelekewe mtoto akamsalimie baba yake kimya kimya bila msela huku asijue
Na mbaya zaidi majukumu yote ya mtoto msela yamemuelemea huku mtoto ana baba yake......

Mpka sasa ndoa yao ina mgogoro mzito jamaa yetu saivi kama kachanyikiwa connection ya kimya kimya kati ya mke wake na jamaa inampa uchungu na majukumu yote ya mtoto wao yapo juu yake
unaweza ukajipinda kushauri kumbe wewe mwenyewe ndio yamekukuta, dah
 
Single mama nilishasema ni tatizo la afya kwa mwanaume , jion tutakuwa na kikao kuhusu single mama mualike na jamaa yako asikose.
 
Single mama akishaolewa sio
hekima kuendelea kuwasiliana na hata kukutana na mzazi mwenzio. Huyo baba awasiliane na wajomba, Babu, bibi. Zama hizi kutaka kukutana na baba mtoto ni ametaka tu mwenyewe hamna ulazima
 
Toa neno la kiushauri bac TY..yawezkana ukaeleweka na kutoa mbinu zako za namna ya kuisha na sisi
Hapo ni uaminifu tu....mwanamke akikosa uaminifu na msimamo ndo bas tena.oeni tu mbona saivi mahusiano yote ni changamoto tu
 
Tatizo unapotuliza akili nako chini kunataka kusuguliwa.Afu asilimia kubwa wengi kuzaa ndo kulitusaidia tujue hata ina ladha gani...before ilikuwa ni maliza nivae kiwalo
Aisee wee unapenda kugegedana mpaka unataka nijivalishe mabomu nikuwowe
 
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Mrembo, big up!
Msimamo kuntu huu😊
 
Kukutoa tu hofu mwanaume anae kunyandulia mkeo yupo hivi ....hachati nae Kama unavyo sema Simu zao Ni key point tu hakuna story , story Hadi siku ya kuzibuana......wanajifanya hawajuani hata mkikutana ....

Hao mnao fumania meseji zao mara nyingi huwa Ni chambo tu ...... Baba wa mtoto anae kulia mkeo hajichekeshi hovyo na huyo unae sema mkeo ....Ni appointment tu mfano "jumamos nakuhitaji namazungumzo na wewe" hapo imeisha hiyoo.
Sasa Kama bado anampenda Baba wa Mtoto wake,kwa nini Sasa asiwe nae hadi waibe!? huu ni ujinga,Kama umesha malizana na mtu biashara imeisha hiyo hata Kama kuna tuna Watoto lazima mipaka ya kuwaona itakuwepo tu!! Mi naona ni kujiendekeza tu!!!
 
Back
Top Bottom