Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Mugu akisamehe hana cha kupoteza tofauti na mwanadamu

Kwa mfano: Yeye atamsamehe malaya au single maza halafu anakuwa ametulia zake mbinguni

Ila mwanaume anayeoa malaya au single maza ndiye atakayepambana na changamoto zote za kuoa malaya au single maza
Unasema malaya wakati unawanunua na chances utaishia kufanya maisha na mmojawapo....hypocrite...asiyebelieve kuna wanawake hawana changamoto yoyote...awe na mtoto au sick past...kisha. umejuaje Mungu hana cha kupoteza?
 
Uwepo wa wanawake msio bikira na mnagawa mbunye unatusaidia sisi tunaosubiri waliotulia tufanye nao maisha

Maana bila hivyo tungelazimika kuwaoa tu kwa ajili ya sex

Asanteni kwa huduma ya K
Eti mnasubiri waliotulia uwapate wapi? Hujawahi kukutana nao,na cycle yako ya kununua wale cheap means kuwapata hao waliotulia ni ndoto ndugu!
 
90% ya singo maza ni matokeo ya umalaya... 90% ya singo maza wanaendeleza umalaya...
Kuliko uoe singo maza ni heri ufe bachelor mwenye watoto kila mkoa
 
Unasema malaya wakati unawanunua na chances utaishia kufanya maisha na mmojawapo....hypocrite...asiyebelieve kuna wanawake hawana changamoto yoyote...awe na mtoto au sick past.. umejuaje Mungu hana cha kupoteza?
Nawanunua ku-hit & run

Huwezi kufananisha changamoto za single maza na ambaye hana mtoto
 
Nawanunua ku-hit & run

Huwezi kufananisha changamoto za single maza na ambaye hana mtoto
Umekubali unanunua, umekubali unaangalia porn, duh,wewe mtu naanza kukuelewa kwamba huamini wanawake at all...issue sio wala usingo maza wala ufeminist shida ni lifestyle uliyochagua....hakuna mwanaume atakayemheshimu mwanamke kama ananunua na kuangalia extreme porn,never! No wonder unakuja kuadhibu kila siku....hao waliooa single maza means wote wana changamoto au ni uoga wako tu?
 
Umekubali unanunua, umekubali unaangalia porn, duh,wewe mtu naanza kukuelewa kwamba huamini wanawake at all...issue sio wala usingo maza wala ufeminist shida ni lifestyle uliyochagua....hakuna mwanaume atakayemheshimu mwanamke kama ananunua na kuangalia extreme porn,never! No wonder unakuja kuadhibu kila siku....hao waliooa single maza means wote wana changamoto au ni uoga wako tu?
Nilishakwambia mimi namjudge mwanamke kwa matendo yake siko influenced na unavyotaja
 
Nilishakwambia mimi namjudge mwanamke kwa matendo yake siko influenced na unavyotaja
Ungekuwa hauko influenced na hayo mambo usingekuwa unatumia lugha chafu dhidi ya wanawake...tena uwepo kila siku kwenye topics zinazohusu wanawake means kuna tatizo..
 
Ungekuwa hauko influenced na hayo mambo usingekuwa unatumia lugha chafu dhidi ya wanawake...tena uwe kila siku kwenye topics zinazohusu wanawake means kuna tatizo..
Malaya ni lugha chafu hata kwa anayestahili hilo jina?

Mbona hata Biblia inataja wanawake waliokuwa malaya au makahaba kama Rahabu au yule aliyefuta miguu ya Yesu kwa nywele zake

Anza kumlaumu kwanza mtunzi wa Biblia aliyewaita waliostahili jina hilo kisha uje kwangu
 
Malaya ni lugha chafu hata kwa anayestahili hilo jina?

Mbona hata Biblia inataja wanawake wali waliokuwa malaya au makahaba kama Rahabu au yule aliyefuta miguu ya Yesu kwa nywele zake

Anza kumlaumu kwanza mtunzi wa Biblia aliwaita waliostahili jina hilo kisha uje kwangu?
Eti anayestahili hilo jina, ukiwa kama nani?

Aliyeandika Biblia simjui ila nina uhakika alikuwa msafi sio km wewe mnunuaji..
 
Back
Top Bottom