Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Subiria malaika aje akuoe. Kuna siku utakuja kujua kuwa una tabia ambayo pia ni kero kwa wanaume.
Sijasema nataka malaika lakini kuna tabia ambazo ni ngumu kuvumilika, tofautisha kati ya maovu na mapungufu kuna yale mapungufu ambayo kila binadamu anayo na hayamdhuru mwenzake yanavumilika, lakini hayo niliyoyataja ni maovu ambayo kwa namna moja ama nyingine yatamdhuru mwenzako na una uwezo wa kuyaacha
 
Hata akiwa ni mama ako ni single mother tu

Wewe ndo ulisema hivo kwahiyo nami nilikuwa nakazia tu
Sasa ndio ungesema ndio au hapana kwa sababu hiyo ilikuwa ni kwa mujibu wako, kwa mujibu wangu mimi single mothers hawafanani, hivyo wewe ndio ulistahili kuambiwa hivyo nilivyokuambia
 
Hapa tunaongelea ndoa mkuu kwahiyo unataka kuniambia kuna mwanamke furaha yake ni mume wake kuwa msaliti, mlevi, mnyanyasaji au mbabe nk, wote tunajua ndoa nyingi duniani zina wanaume wenye tabia either mojawapo kati ya hizo au zote, na hapo ndio inakuja hoja yangu kwamba kipi bora kati ya kuwa single au kuwa kwenye ndoa na mume mwenye tabia kama hizo
So kwa takwimu zako ulizofanyia tafiti hizo tabia ni common kwa idadi ya wanaume wangapi, maana umeassume hizo ni tabia common so wanaume wote waliopo katika ndoa automatically huwa wana adopt hizi tabia ulizolist hapa si ndio? [emoji848]
 
Na ndio hapo shida ilipo kudhani kwamba wanaume wote ni honest kiasi hicho, hivi we unadhani hata kama mwanaume angekuwa ndio kasababisha atasema kwamba ni yeye, si atamtupia lawama zote mwanamke kwa kigezo cha kwamba yeye ndiye mwenye jukumu la kuamua kubeba au kuzuia mimba kwahiyo ni kosa lake kuamua kubeba

Wewe usijifanye haujui kwamba kuna wanaume wengi hawataki kuoa ila wanataka watoto tu, kwahiyo wanachofanya wanawalaghai wanawake wawazalie kwa ahadi ya ndoa maana wanajua wakiwaambia wawazalie tu hivi hivi itakuwa ngumu, na kwa vile washajua wanawake wengi wako desperate na ndoa ndio wanatumia hiyo kama advantage so inakuwa kama kumsukuma mlevi tu

Mwisho wa siku wanawake wanazaa wakidhani wataolewa kisha mwanaume anatafuta sababu za kufanya binti aone hafai kuolewa mwisho wa siku wanaishia kugombana baba anatelekeza mtoto, sasa mwanaume kama huyu naye ukienda kumuuliza unadhani atakuambia ukweli kwamba ni yeye ndiye aliyemshawishi mwanamke amzalie, lazima tu atatetea upande wake tatizo lako unadhani eti ninyi wanaume ndio hamuwezi kuplay victims pale mnapoona mmeshaharibu
Sijadhania wala kuassume natazama uhalisia kwa idadi ya wanaotenda. Sababu zipo nyingi za wanaume kutokuwa responsible na kuwaacha wanawake na watoto wao mwisho wa siku lawama lazima ziende kwa mwanamke sababu ya kukosa umakini wakati wa kujiingiza kimahusiano ya kudumu na mwanaume.

Sababu ni kama:

1. Kugamble na mahusiano ya kuwa na mwanaume zaidi ya m'moja akilenga kubahatisha ambaye ana sifa anazotaka ndio amalizane nae, wanasahau mwanamke malaya huwa anajulikana na wanaume hubaki ili kupiga tu mzigo siku akijishikisha ujauzito wa mojawapo ndipo anashangaa kila mwanaume anamkataa kumbe walikuwa wanajua kuwa wanashare na wanatumiwa na mwanamke, hapo utamlaumu mwanaume au mwanamke?

2. Wanawake wanatabia mbaya sana ya kubambikia mimba wanaume siku hizi, ukitaka kuprove hili kumbuka tukio la makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar, alitaka kuwaforce wanaume waliopelekwa ofisini kwake na wanawake waliomlalamikia kuwa wametelekezwa, makonda alipowaita wanaume wengi wakaomba aruhusu wakapime DNA kwa kibali maalumu cha mkuu wa mkoa ili wapate uhakika wa watoto kuwa ni wao, ulisoma walichoandika ustawi wa jamii na madaktari wa muhimbili hadi zoezi likasitishwa ghafla? [emoji848]

3. Kuchagua wanaume ambao ni dhaifu na hawana uwezo kuwaongoza au kuwa baba wa familia. Hili usilaumu mwanaume laumu mwanamke kwa kuchagua mtu ambaye hawezi kuwa kiongozi wake kwenye maisha.

4. Wanawake kupenda pesa zaidi hadi kuwa vipofu na kuingia kwenye mitego ya wanaume wanaotumia pesa kupata ngono na muda mwingine wanaume za watu wenye ndoa zao.

5. Kutokuwa wife material badala yake kuwa tu ni kasha la mwanamke ila vitendo si vya kike na kubakia kuwa tu mzigo kwenye mahusiano nani ataoa hapo aweke ndani.
 
Na ndio hapo shida ilipo kudhani kwamba wanaume wote ni honest kiasi hicho, hivi we unadhani hata kama mwanaume angekuwa ndio kasababisha atasema kwamba ni yeye, si atamtupia lawama zote mwanamke kwa kigezo cha kwamba yeye ndiye mwenye jukumu la kuamua kubeba au kuzuia mimba kwahiyo ni kosa lake kuamua kubeba

Wewe usijifanye haujui kwamba kuna wanaume wengi hawataki kuoa ila wanataka watoto tu, kwahiyo wanachofanya wanawalaghai wanawake wawazalie kwa ahadi ya ndoa maana wanajua wakiwaambia wawazalie tu hivi hivi itakuwa ngumu, na kwa vile washajua wanawake wengi wako desperate na ndoa ndio wanatumia hiyo kama advantage so inakuwa kama kumsukuma mlevi tu

Mwisho wa siku wanawake wanazaa wakidhani wataolewa kisha mwanaume anatafuta sababu za kufanya binti aone hafai kuolewa mwisho wa siku wanaishia kugombana baba anatelekeza mtoto, sasa mwanaume kama huyu naye ukienda kumuuliza unadhani atakuambia ukweli kwamba ni yeye ndiye aliyemshawishi mwanamke amzalie, lazima tu atatetea upande wake tatizo lako unadhani eti ninyi wanaume ndio hamuwezi kuplay victims pale mnapoona mmeshaharibu
Hao wanaume wanaoomba kuzaliwa watoto halafu wanakimbia ndio wanaume wa mkoa gani hao mbona mimi sijawahi kusikia hizo kesi kuwa nyingi kama vile unavyopresent hapa kuwa ni nyingi? [emoji848]
 
Na ndio hapo shida ilipo kudhani kwamba wanaume wote ni honest kiasi hicho, hivi we unadhani hata kama mwanaume angekuwa ndio kasababisha atasema kwamba ni yeye, si atamtupia lawama zote mwanamke kwa kigezo cha kwamba yeye ndiye mwenye jukumu la kuamua kubeba au kuzuia mimba kwahiyo ni kosa lake kuamua kubeba

Wewe usijifanye haujui kwamba kuna wanaume wengi hawataki kuoa ila wanataka watoto tu, kwahiyo wanachofanya wanawalaghai wanawake wawazalie kwa ahadi ya ndoa maana wanajua wakiwaambia wawazalie tu hivi hivi itakuwa ngumu, na kwa vile washajua wanawake wengi wako desperate na ndoa ndio wanatumia hiyo kama advantage so inakuwa kama kumsukuma mlevi tu

Mwisho wa siku wanawake wanazaa wakidhani wataolewa kisha mwanaume anatafuta sababu za kufanya binti aone hafai kuolewa mwisho wa siku wanaishia kugombana baba anatelekeza mtoto, sasa mwanaume kama huyu naye ukienda kumuuliza unadhani atakuambia ukweli kwamba ni yeye ndiye aliyemshawishi mwanamke amzalie, lazima tu atatetea upande wake tatizo lako unadhani eti ninyi wanaume ndio hamuwezi kuplay victims pale mnapoona mmeshaharibu
Kitu kimoja najua kuhusu sisi wanaume hata tukiwa irresponsible kiasi gani, ila tukikutana na mwanamke mwenye hizi sifa muhimu;

1. Cooperative and submissive
2. God believer and biblical/Qur'anic
3. Feminine
4. Financial Literate and smart
5. Attached to husband and not friends or relatives.
6. Family oriented

Just hizi chache tu hapa, tayari huyu mwanamke hutamkuta mtaani hata kama ni alipata mtoto na mjinga mjinga moja akamtelekeza au mwanaume wake alifariki then huyu hamalizi miezi sita mtaani atakutana na mwanaume atapita nae akaweke ndani wafanye maisha.

Most of times ukikuta mwanamke amepata mtoto halafu katelekezwa i guarantee you huyo ni damaged goods.

Shida yako unadhani tunatunga haya mambo wakati sisi wanaume ndicho tunakutana nacho. Unakutana na mwenzako ambaye katoka mtongoza huyo huyo mwanamke ambaye wewe kakushinda halafu wote mnajikuta mnaconclude kitu kimoja as if mliambizana. Why wote muobserve tabia au character ile ile kwa mwanamke m'moja bila hata kuongea chochote before hamjajuana! [emoji848]
 
Dooh basi nimegundua kweli mna haki ya kunipinga kwa sababu huwa hamnielewi siwalaumu, sasa kwa uelewa huu unadhani mtakubaliana na ninayoyaandika kweli, hebu nioneshe ni wapi nilipowahi kujenga hoja ya aina hiyo kwenye aya yako ya pili
Unataka nianze kupekua mauzi ambayo nimeona hoja zako ama?
 
Usivyokua na akili unakuja na lawama tu bila suluhu
Na lawama zenyewe zimejaa hisia

Unashindwa elewa hiyo miaka 20 ijayo hao watoto wako watakutana na watoto wa hao single mothers shuleni, kazini na kwenye biashara..... na si ajabu wakaoa na kuolewa na vita ikaendelea.


NI PUNGUANI NA MPUMBAVU PEKEE ATAONA SINGLE PARENTING NI TATIZO LA MTU MMOJA MMOJA WHILE MI TATIZO LA JAMII NZIMA ESPECIALLY VIJANA WAJAO
Usitufokee sasa.
 
Bandiko lako liko biased... hao single mama hawajajipa mimba wenyewe.
Mwanaume responsible anatumia kinga kama anaona mwanamke hana mpango nae
Kuna wanaotoboa hadi condoms. Na mwingine ukimwambia condom hapendi anasema zinamletea muwasho na michubuko. Unalaumu vipi mwanaume hapo?
 
Sijasema nataka malaika lakini kuna tabia ambazo ni ngumu kuvumilika, tofautisha kati ya maovu na mapungufu kuna yale mapungufu ambayo kila binadamu anayo na hayamdhuru mwenzake yanavumilika, lakini hayo niliyoyataja ni maovu ambayo kwa namna moja ama nyingine yatamdhuru mwenzako na una uwezo wa kuyaacha
Kuna wanawake anataka mwanaume wake awe mlevi ili afurahie Maisha. Inafika point mwanaume hataki mwanamke ananunua kilevi anamletea ndani na kumbembeleza anywe ili awe kama wanaume wenzake.

Mwingine anataka mwanaume wake awe na michepuko ili asiwe anamsumbua sana kufanya mapenzi maana yeye hapendi sana kufanya mapenzi.

Kuna vitu wewe unasema ni tatizo ila kuna wanawake wenzako ndivyo wanataka na wanaishi navyo.
 
Tusiwahukumu wote tuna mchango kwenye hili. Kwa maana binadamu wote tunamapungufu yetu, iwe sisi wanaume na hata wao wanawake wanayao. Tusaidiane kutatua tatizo badala ya kutoa hasira zetu humu.
 
Kuna wanaotoboa hadi condoms. Na mwingine ukimwambia condom hapendi anasema zinamletea muwasho na michubuko. Unalaumu vipi mwanaume hapo?
Ni asilimia ngapi???
Na kwanini ung'ang'ane na mwanamke unaona kabisa anakutrap?
In short mwanaume responsible ni ngumu sana kutawanya mbegu kifala na ikitokea atajitahidi ku co-parent kiutu uzima


I know 3 single mamas wa karibu, wote used to be in love mpaka kuzaa but shit happened wakaachana

And all 3 wameolewa church
1. Mmoja watoto wawili wameenda kwa baba yao jumla baada ya mama kuolewa rasmi na baba ana mke pia
2. Wawili watoto wapo na mama zao na baba zao communicate to them through waume za mama zao kuepuka drama

ALL IN ALL SINGLE PARENTING NI KAWAIDA AND ITS GETTING WORSE, WENYE NAFASI WASIINGIE KWA HUO MTEGO, NA ULIOWAKUMBA SHOULD JUST CHILL, MATURE AND MOVE ON BILA KUPASHANA VIPORO
 
So kwa takwimu zako ulizofanyia tafiti hizo tabia ni common kwa idadi ya wanaume wangapi, maana umeassume hizo ni tabia common so wanaume wote waliopo katika ndoa automatically huwa wana adopt hizi tabia ulizolist hapa si ndio? [emoji848]
Hivi ile kauli ya kwamba "hakuna mwanaume asiyechepuka" huwa inatolewa na akina nani
 
Sijadhania wala kuassume natazama uhalisia kwa idadi ya wanaotenda. Sababu zipo nyingi za wanaume kutokuwa responsible na kuwaacha wanawake na watoto wao mwisho wa siku lawama lazima ziende kwa mwanamke sababu ya kukosa umakini wakati wa kujiingiza kimahusiano ya kudumu na mwanaume.

Sababu ni kama:

1. Kugamble na mahusiano ya kuwa na mwanaume zaidi ya m'moja akilenga kubahatisha ambaye ana sifa anazotaka ndio amalizane nae, wanasahau mwanamke malaya huwa anajulikana na wanaume hubaki ili kupiga tu mzigo siku akijishikisha ujauzito wa mojawapo ndipo anashangaa kila mwanaume anamkataa kumbe walikuwa wanajua kuwa wanashare na wanatumiwa na mwanamke, hapo utamlaumu mwanaume au mwanamke?

2. Wanawake wanatabia mbaya sana ya kubambikia mimba wanaume siku hizi, ukitaka kuprove hili kumbuka tukio la makonda akiwa mkuu wa mkoa wa Dar, alitaka kuwaforce wanaume waliopelekwa ofisini kwake na wanawake waliomlalamikia kuwa wametelekezwa, makonda alipowaita wanaume wengi wakaomba aruhusu wakapime DNA kwa kibali maalumu cha mkuu wa mkoa ili wapate uhakika wa watoto kuwa ni wao, ulisoma walichoandika ustawi wa jamii na madaktari wa muhimbili hadi zoezi likasitishwa ghafla? [emoji848]

3. Kuchagua wanaume ambao ni dhaifu na hawana uwezo kuwaongoza au kuwa baba wa familia. Hili usilaumu mwanaume laumu mwanamke kwa kuchagua mtu ambaye hawezi kuwa kiongozi wake kwenye maisha.

4. Wanawake kupenda pesa zaidi hadi kuwa vipofu na kuingia kwenye mitego ya wanaume wanaotumia pesa kupata ngono na muda mwingine wanaume za watu wenye ndoa zao.

5. Kutokuwa wife material badala yake kuwa tu ni kasha la mwanamke ila vitendo si vya kike na kubakia kuwa tu mzigo kwenye mahusiano nani ataoa hapo aweke ndani.
Sasa mbona wewe umekazania makosa ya wanawake tu, ya wanaume ni either unayakwepa, au unayaona yako sawa

Mimi ninachojaribu kukuonesha ni kwamba wapo single mothers wa kujitakia, na wapo ambao walirubuniwa na wanaume ila wewe unakuwa biased unasema kwamba single mothers wote ni wa kujitakia, sasa huo siyo uhalisia hizo ni assumptions zako tu

By the way kwa kauli kama hizi ndio mnafanya siku hizi wanawake hawana mapenzi ya dhati wanaingia kwenye mahusiano mguu nje mguu ndani, maana wanajua hata wakipenda kweli bado tu wataishia kutafutiwa sababu za kuachwa, na mwisho wa siku wakiwa hivi napo mnalalamika kwamba wanawake wa siku hizi hawana mapenzi ya kweli na nyie
 
Hao wanaume wanaoomba kuzaliwa watoto halafu wanakimbia ndio wanaume wa mkoa gani hao mbona mimi sijawahi kusikia hizo kesi kuwa nyingi kama vile unavyopresent hapa kuwa ni nyingi? [emoji848]
Kitu kama hujawahi kukisikia au kukiona haimaanishi hakipo maana nitajuaje je kama unafahamu ila umeamua tu kunibishia hapa ili upate cha kujitetea, hata mimi naweza nikaamua tu kusema kwamba sijawahi kuwasikia wala kuwaona hao single mothers ambao wanawaambia wanaume "nipe mimba kisha nitalea mwenyewe" ili tu nipate cha kujitetea lakini je hiyo inamaanisha kwamba hawapo, wanaume wa hivyo wapo wengi sana ila hakuna anayewaongelea wala kuwahukumu sababu jamii imeshaamua kuwa biased kwamba no matter the circumstances single mothers are always wrong and the ones to be blamed
 
Kitu kimoja najua kuhusu sisi wanaume hata tukiwa irresponsible kiasi gani, ila tukikutana na mwanamke mwenye hizi sifa muhimu;

1. Cooperative and submissive
2. God believer and biblical/Qur'anic
3. Feminine
4. Financial Literate and smart
5. Attached to husband and not friends or relatives.
6. Family oriented

Just hizi chache tu hapa, tayari huyu mwanamke hutamkuta mtaani hata kama ni alipata mtoto na mjinga mjinga moja akamtelekeza au mwanaume wake alifariki then huyu hamalizi miezi sita mtaani atakutana na mwanaume atapita nae akaweke ndani wafanye maisha.

Most of times ukikuta mwanamke amepata mtoto halafu katelekezwa i guarantee you huyo ni damaged goods.

Shida yako unadhani tunatunga haya mambo wakati sisi wanaume ndicho tunakutana nacho. Unakutana na mwenzako ambaye katoka mtongoza huyo huyo mwanamke ambaye wewe kakushinda halafu wote mnajikuta mnaconclude kitu kimoja as if mliambizana. Why wote muobserve tabia au character ile ile kwa mwanamke m'moja bila hata kuongea chochote before hamjajuana! [emoji848]
Unajua kitu kimoja kinachonichekesha kuhusu ninyi wanaume, ni kwamba mnayoyasema au mnayoyaandika humu mitandaoni, ni tofauti kabisa na mnayoyafanya kwenye uhalisia

Humu mnajifanya wote mnapenda wanawake wenye sifa hizo hapo juu na nyingine nyingi nzuri ambazo hujazitaja, na mnasema huwa mnaoa wanawake wenye sifa hizo tu mwanamke asipokuwa na sifa hizo haolewi, lakini wote tunaona ndoa zinafungwa kila siku na wengi wanaoolewa huwa tunazifahamu sifa mbaya walizonazo

Na mbaya zaidi malalamiko kwenye ndoa kila siku hasa kutoka kwa wanaume hayaishi, ila mkikaa vijiweni au mkiingia mitandaoni mnajitutumua kwamba hamuoi wanawake wasio wife material wakati uhalisia hauko hivyo, halafu nikisema naandika uhalisia uliopo mnasema eti najitungia mawazo yangu sasa sijui mnaishi sayari gani
 
Back
Top Bottom