Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooh basi nimegundua kweli mna haki ya kunipinga kwa sababu huwa hamnielewi siwalaumu, sasa kwa uelewa huu unadhani mtakubaliana na ninayoyaandika kweli, hebu nioneshe ni wapi nilipowahi kujenga hoja ya aina hiyo kwenye aya yako ya piliSio kweli, unachoongea hapa huwa tunasoma na kukitafakari kwa kulinganisha na tunachokiona, so huwa unaangukia katika kundi la upotoshaji au fikra za ndoto za mchana a.k.a theories.
Wewe unaongea vitu kinadharia sana. Mfano unaamini mwanamke anaweza kutoka nje akawa mfanyabiashara wa kusafiri mataifa mbali mbali miezi kwa miezi na still akawa mke bora kwa mumewe na mama bora kwa watoto na familia halafu still awe mwaminifu, hizi ndizo moja ya hoja zako ambazo huwa naona unasema humu ndani jambo ambalo huwa linanitafakarisha sana kuwa huwa unatumia akili ya aina gani kubuni hizi "Utopian feminist garbage dreams"[emoji23][emoji23][emoji23]
Anyways, keep on dreaming, unasema unaujua uhalisia, even the famous feminists known in the planet walipofika umri wa menopause ukimya ulitawala. Keep on your agenda, fighting Men in the man's world. Unashindana na Simba kuishi mwituni, heifer please [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
A very good pointTunawalaumu sana single mothers huku sisi wanaume tukijipa nafasi ya umalaika. Tunajisifia sana kupeleka na kuwa wazuri kitandani ila output ya ile creativity tulio iweka kitandani tuna ikataa.
Jamii yetu sasa hivi inashindwa kuwajibika si wazazi ,si wanaume wala wanawake. Mabinti wanatamaa ya fedha huku wanaume tunapenda ngono ila wengi wetu siku hizi hatutaki kuwajibika. Hili tatizo sio la single mother pekee ni la jamii yote kiujumla.
Chizi wwSiku vijana wa siku hizi hawapendi kubeba misalaba yao,sipo humu kumtetea mtu kisa ni jinsia moja ni upuuzi. Nina Single mother wawili ambao ni ndugu zangu na wasaidia kwa baadhi ya vitu na najua visa vyao.
Kiasili na kiumbaji mwanaume ni Mlezi na Mlinzi ,ukishindwa kufanya hivyo ww kiasilia sio mwanaume kamili na mwanaume HASUSI (hizi tabia za kike) majukumu yake,umefanya ngono haijalishi mlikutana vipi na alikufanya nini, ila kile kiumbe ni msalaba wako hauwezi kukimbia.
Mimi sitetei upumbavu kama wewe na husijipe nafasi ya malaika eti wanaume hawakosei, ila single mother wanakosea hilo na kukatalia, kwani sisi ni binaadam na kukosea ni asili yetu.
Eti ni mtetea mtu kisa mwanaume mwenzangu, mimi upumbavu huo sifanyi (mimi sio oya oya) na sina akili ya kushikiwa kwani nina uwezo wa kuchanganua na kujua yupi yuko sawa na yupi hayuko sawa.
Wanaume hatuwezi kukikimbia hiki kikombe cha mamtatizo ya Single mother,kwani ktk asilimia 100 ya tatizo basi yetu wanaume inaweza kuwa 40+.
MWANAUME KAMILI HASUSI MAJUKUMU YAKE KWANI KUSUSA NI TABIA ZA KIKE KWANI HAWA WAMEUMBWA KUSUSA NA KUDEKA.Umetia mimba mwanamke kakukera mnaachana unabeba msalaba (mtoto) wako kama MWANAUME wa kulea na kumtunza wanao.
Eti ni mtetea mtu kisa jinsia moja,mimi Us*nge huo sifanyi labda ww na kama ukikosea na kuchana kama MWANAUME.
Chanzo hujakitaja cha kukimbia majukuu nn kosa la w/ke kujiona wk juu baada kuona kipatoWanaume wengi wanakimbia majukumu. Nina mifano mingi ya ndugu na jamaa wanazalisha na hawataki kuchukua majukumu. Tatizo sio la wanawake tu, hata wanaume wanachangia sana tu.
Weka Cursor pale unapotaka kupavunja alafu press Enter....Hebu ngoja kwanza kabla sijakujibu,hivi huwa mnafanyaje hadi unaweza gawanya aya na kurespond separately namna hii?
[emoji848]
Si shagai ndio uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo akili yako hata kwenye kisoda haijai.Chizi ww
Uhakika kwa mfano mzuri mama yako ni single mothe mzoefu yuleHata akiwa ni mama ako ni single mother tu
Sasa mbona umeanza personal attacks hiyo ni ishara ya kupanic, wewe mama yangu unamfahamu, wanaume wengi wamelelewa na single mothers ila humu wanajifanya kuwatukana na kuwadharau kila sikuUhakika kwa mfano mzuri mama yako ni single mothe mzoefu yule
NAKAZIA [emoji419][emoji375]Ukipata mdada ambaye anataka uanzishe naye maisha! Kwanza kabsa mfanye awe disconnected na these sisterhood hapo utakuwa salama ila kama kila jumamosi atakuwa anaenda kwenye vikao vya wadada! Youre finished!
😂Kuna kadem nlichukua namba yake, kwenye kuchati nako nikaona kanatoa ushauri kama wote..... Kukapeleleza vizuri kumbe ni single mother... Ety hataki kuumizwa tena... Mara anaomba Mungu amjalie ndoa. Nkasema mmmmm hapa umeyakanyaga, we leta mbususu nichakate ila mi binafsi niko Chama cha KATAA NDOA.
LINDA KIBUNDA CHAKO.
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa wengi kadri muda unavyosonga mbele.
Sijui itakuwaje baada ya miaka 20 ijayo. Mbaya zaidi, hawa mama wasio na waume wanajiona wana haki ya kusaidiwa, na ukimsaidia, usitegemee shukrani; msaidie tu. Miaka ijayo, tutakuwa na kiwango kikubwa cha hawa mama wasio na waume wenye tatizo la afya ya akili.
View attachment 2964040
😁Kanuni ni zilezile inapohusu single maza
●Hatulei bao la mwanaume mwingine
●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake
●Single maza waolewe na baba za watoto wao
●Single maza ni wa kupiga na kusepa
Mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza
Learn or perish
Tunaogesha tunakujaNgoja warudi saivi wamesindikiza watoto waende shule