Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Ila wanatia huruma sana.. Unakuta Mwanamke ana watoto watatu na biashara inayomuingizia riziki ni kuuza mihogo ya kukaanga....hapohapo alipe kodi, hapohapo awalishe watoto yaani ni noma ssana... Tuwasaidie tu mungu atatulipa
Nakubaliana nawe mkuu ila bila serikali kurekebisha chaneli watateketea zaidi. Hivi unajua kati ya watoto milioni mbili wanaoanza darasa la kwanza ni wangapi wahahitimu vyuo vya kati na vya juu?. Takwimu za haraka si zaidi ya laki Tano. Hivyo kundi kubwa la watu wanaingia mtaani wakiwa desperate na hivyo kulaghaika kirahisi.
 
Ukipata mdada ambaye anataka uanzishe naye maisha! Kwanza kabsa mfanye awe disconnected na these sisterhood hapo utakuwa salama ila kama kila jumamosi atakuwa anaenda kwenye vikao vya wadada! Youre finished!
Nilishamkataza marafiki, na nilimpa sababu za kwann sitaki mazoea ba marafiki wa kugandana kama ruba.
 
Ila wanatia huruma sana.. Unakuta Mwanamke ana watoto watatu na biashara inayomuingizia riziki ni kuuza mihogo ya kukaanga....hapohapo alipe kodi, hapohapo awalishe watoto yaani ni noma ssana... Tuwasaidie tu mungu atatulipa
Sio kweli, mihogo ni kizugio tu mkuu ila anauza na chiU.
 
Kwanini mwanamke anakuwa Single ?

Kwahio akifiwa akamfufue mme wake ?; Akiachwa kama hatakwi tena au kama anapigwa au akikimbiwa afanye nini atengeneze Robot linalofanana na aliyemwacha ?

Umeona verse nilizokuakea ? Ni kwamba mwanaume anamdanganya mtu kwamba wanajenga mahusiano alafu mwisho wa siku anamtelekeza inakuwaje....; Yule First Love wake waliyokutana Chuoni mapenzi yakichacha afanye nini aende akawe third wheel kwenye relation mpya ya mtu wake ?

Bibi zetu walikuwa hawana Choice mtu anapigwa mwingine mpaka anauliwa alikuwa hana pa kukimbilia sasa hivi wana choice ukiwafanyia ndivyo sivyo wanasepa (hii sio maadili wala nini things have changed) na kilichobadilika ni options kwa mwanamke zamani angekufa kwenye ndoa sasa hivi ana uwezo wa kutoka / kuondoka (Na je hilo wewe unaona ni baya) kwa wao kupata option ya kuweza kuondoka kwenye ndoa ambayo ni hatari kwao na watoto ? (Au unataka kuniambia ndoa zote ni Rosy hazina matatizo wala Abuse )?
Anakuwa single kwasababu zake binafsi ila sio za kijamii, hakuna sehemu utaenda ukute jamii ya watu civilized na wanaojitambua halafu eti washabikie au waunge mkono mwanamke kuishi maisha yake mwenyewe pekee yake kama jiwe porini.

Mwanamke aliyefiwa na mume wake anaitwa Mjane kwa English ni Widow. Hapa mada inazungumzia Single mothers a.k.a wadangaji. Sasa sijui wewe unachanganya vipi, au haujui tofauti ya matumizi ya neno Single mother na Widow mzee? [emoji848]

Kuachwa kuna mawili ni aidha ame underperform kwenye uhusiano au alikubali kusettle na mwanaume ambaye siyo wa hadhi yake jambo ambalo ni very common kwa Single mothers, huwa wanachagua kupuuza red flags makusudi kabisa halafu yakiwakuta wanaanza tupia lawama upande wa pili while in reality wao ndie wachaguzi. Trust me, mwanamke hazai na mwanaume ambaye hajamchagua yeye kwa hiyari yake awe baba mtoto, labda awekewe kilevi na kubakwa. Ila ukivua chupi mwenyewe jua huyo mwanaume ndie chaguo lake, so lolote litalomkuta na huyo mwanaume sio bahati mbaya wala ajali ni matokeo ya uchaguzi wake, so lawama ni kwake.

Hakuna kitu kama kudanganywa now days, ndio maana unaona watoto wa kiume wamekuwa serious na maamuzi yao na kutokukubali kusettle na wanawake kwanza wasio bikra, pili wana watoto halafu hawajatulia, nani anataka kukaa na vitu vya ajabu ndani?

ingekuwa kupigwa ni serious kama unavyoiweka then hata hapa ninapoishi basi wanawake wote ningeshasikia wanavyopigwa ila you just simply made up a situation. Na hii ndio shida tuliyonayo kwenye jamii ya sasa ku over exaggerate issues na kuzifanya kuwa extreme case.

Domestic abuse victims kwa asilimia 90% ni wanaume ila hautajua sababu hakuna media outrage juu ya hilo simply kwasababu wanaume hatuongei, ila emotional abuse inafanywa sana na wanawake na matokeo yake mwanaume akichoshwa anageuka mbogo na kuretaliate na hapo ndipo media zinamulika na kamera zao na kurusha hizo habari inaonekana mwanaume ndie mkorofi na mwenye shida.
 
Pana factors nyingi za single mama sio moja TU hio ya ufeminist.
.Pana wajane walifiwa na wenza wao.
.Pana walioachwa kwa maamuzi ya mwanaume
.Pana wengine waliotapeliwa unakuta binti kajitunza kimaaadili sababu ya ukosefu wa elimu ya mahusiano anarubunika na muhuni mmoja tu anamtundika mimba anamwaga.
Wapo mabinti wanajuta kujitunza wameharibiwa maisha wenzao machakaramu wameolewa.
Ishu ya single mama sio ya kuwabeza ukiwa na dada au una watoto wa kike.
Mjane aliyefiwa na mume wake anaitwa widow na sio single mother, acha kuchanganya mafile mzee.

Mwanaume haachi mke mwema hata siku moja na akimuacha huyo mwanamke hatoboi mwezi anakuja kuchukuliwa na mwanaume mpya anawekwa ndani anatumikia ndoa. Wanaume wamajua thamani ya mke mwema tofauti na wanawake huwa wanaamini soko lao ni kibwa huko nje na wanaweza olewa na yoyote wanaemtaka(jambo ambalo si kweli) ndio maana wanaleta viburi siku hizi.

Hakuna kitu kitu kinachoitwa kurubuniwa kama binti hajaruhusu kutumika kingono before hajaposwa kwa wazazi na kulipiwa mahari before hajaishi na mwanaume. Kuna tofauti kati ya mwanaume ambaye mnakutana barabarani unaanza kuishi nae unaenda kwa wazazi wako umeshazaa mtoto au watoto ndipo ukamtambulishe ili akupose akuoe, huyu hata akikuoa atakudharau wewe na ukoo wako sababu binti ulipotoa chupi siku ya kwanza before kijana hajajua hata sauti ya baba yako then ulimruhusu kijana adharau ukoo wako wote.

Kuwa na dada au watoto wa kike sio sababu au kigezo cha kutokukemea single motherhood kama tabia ya kidosari na hatari kwa ustawi wa jamii. Wewe unachukulia poa sana madhara ya kirusi cha single mother. Ukijifunza utaelewa.

Yaani ulicho sema hapa mwishoni ni sawa na wewe uwe unakemea vijana kutumia madawa ya kulevya halafu aje mtu akwambie ni vibaya kuwasema vijana wanaojiingiza kwenye dawa za kulevya sababu una wadogo zako wa kiume na una watoto wa kiume pia. Hivyo vitu vinaingiliaje?
 
So you seriously think all married women are happy and all single women are lonely
Nothing could be truer that what you just said here. Define happiness for me please.
 
Single mama wanayo advantage ya kutoboa maisha kupitia watoto wao kuliko wanaume wazee wasio na watoto
Umeangalia kwa microscale umeacha Macroscale. Yaani kwa kifupi umeongelea faida ya asilimia 5% umepuuza hasara ya 95%. A very narrow perspective of life.
 
Mkuu nimesoma mara mbili mbili hii comment yako nikabaki najiuliza ni wewe kweli, natamani wanaume wote mngekuwa realistic and sincere kiasi hiki labda tungejua wapi pa kuanzia ili kusolve haya matatizo yote kwenye jamii, sisi wengine tukiongea mnatuita feminists lakini tunachofanya ni kujaribu kuonesha kwamba hii mentality ya wanaume kujiona kuwa wakifanya maovu ni sawa ndio inafanya jamii izidi kuharibika
Hizi story ndizo feminists walitumia miaka hiyo wakati wanasambaza mbaga zao. Ila hivi sasa mambo yanawageukia sababu inajidhihirisha kuwa mabinti wanachagua hii life style ya usingle mother, sasa how do you blame men for women choices, are women toddlers? [emoji848]

Mfano haka kabinti hapa kesho kakishazalishwa na wanaume watano tofauti life ikakakalia kushoto kakaanza kulia lia, tukija wazee wa kufanyia fumigation single mothers, mtakuja kusema tunakaonea kweli na wanaume ndio tatizo? [emoji848]
IMG_20240305_010059.jpg
 
Ongezeko la single mothers, watoto wa mitaani na ushoga ni matokeo ya wanaume kuwa dhaifu katika nyanja mbalimbali za jamii.Hizo kampeni kama ilijulikana zinawaharibu wanawake, kwanini wanaume hawakuzikataa maana wao ni viongozi na walinzi wa jamii.Ongezeko la single mothers, ushoga na watoto wa mitaani linasababishwa na wanaume kwa 90% na iliyobaki ni wanawake wenyewe.Watu wanatoka huko nchi za magharibi kuja kuwadanganya wanawake zenu nyie mpo tu ili hali mnajua wanachofundishwa sio, alafu mnadharau matokeo ya elimu hiyo,it's nonsense.
 
Mkuu nimesoma mara mbili mbili hii comment yako nikabaki najiuliza ni wewe kweli, natamani wanaume wote mngekuwa realistic and sincere kiasi hiki labda tungejua wapi pa kuanzia ili kusolve haya matatizo yote kwenye jamii, sisi wengine tukiongea mnatuita feminists lakini tunachofanya ni kujaribu kuonesha kwamba hii mentality ya wanaume kujiona kuwa wakifanya maovu ni sawa ndio inafanya jamii izidi kuharibika
Mimi na ww tunatofautiana sana,wewe unamitizamo yako ya 50/50 ambayo sio realistic wala haina afya kwa jamii.

Nimeongelea mwanaume majukumu yake ya kiasili na kuwajibika kumtunza mtoto wake,haijalishi huyo mwanamke alikufanya nini. Kwani huo ni wajibu na majukumu yetu tuliyopewa wanaume kiasilia. Nimetofautiana na huyo jamaa kwa mtizamo wake wakusema tatizo la single mother kwa asilimia mia ni wanawake, kajifanya kutumia lugha kali nami nikaamua kumalizana nae kihuni na kumpa reality.

Ila kuhusiana na 50/50,usawa wa kijinsia sijawahi kufanana na ww kimtizamo na ww. Mimi huwaga na kuacha. Kwanza nyie kwa fikra na mitizamo yenu 50/50 ambayo siku hizi hufundishwa mpaka mashuleni ndio imekiharibu hiki kizazi. Kwani kuna baadhi ya vijana siku hizi wanajiona kama wana haki sawa na Ke, mpaka nao wameanza kususia majukumu yao ya msingi wengine mpaka wanataka kulelewa.
 
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa wengi kadri muda unavyosonga mbele.

Sijui itakuwaje baada ya miaka 20 ijayo. Mbaya zaidi, hawa mama wasio na waume wanajiona wana haki ya kusaidiwa, na ukimsaidia, usitegemee shukrani; msaidie tu. Miaka ijayo, tutakuwa na kiwango kikubwa cha hawa mama wasio na waume wenye tatizo la afya ya akili.

View attachment 2964040
Ninae mmoja hapa ana afya akili mi hata sijui mkorofi hawa .usihoji chovhote kuhusu watoto kwake ni vita sina humu
 
Tunawalaumu sana single mothers huku sisi wanaume tukijipa nafasi ya umalaika. Tunajisifia sana kupeleka na kuwa wazuri kitandani ila output ya ile creativity tulio iweka kitandani tuna ikataa.

Jamii yetu sasa hivi inashindwa kuwajibika si wazazi ,si wanaume wala wanawake. Mabinti wanatamaa ya fedha huku wanaume tunapenda ngono ila wengi wetu siku hizi hatutaki kuwajibika. Hili tatizo sio la single mother pekee ni la jamii yote kiujumla.
Miaka ya nyuma,kabla ya hizi blaablaa za haki za wanawake, wanawake wanaweza,50/50n.k.,kijana/vijana walikuwa wanaona ufahari kuwa na ndoa kwasababu, malezi [toka kwa wazazi]yaliwajenga kimaadili na kuwa na utamaduni wa keheshimiana na kuthaminiana [jinsia zote], vijana wa kiume walijua nafasi zao,wajibu na majukumu yao kifamilia na kijamii hali kadhalika kwa vijana wa kike pia, heshima ilikuwepo kuanzia kauli hadi uvaaji [mavazi].Siku hizi Shetani ameishika jamii pabaya, maadili hakuna, heshima hakuna, hakuna aibu kwenye kuvaa kuzungumza, hakuna faragha [jinsia zote],wanaume wameikataa heshima na hadhi waliyopewa na MUNGU ya kuongoza na kutawala badala yake wanapigia debe 50/50[wanawake wanaweza]na sasa wanawake wameoteshwa mapembe na Shetani,hawaelewi kitu na hawataki kuelewa.Kwa hali hii,tutayaona mengi na tutarajie mengi pia.
 
Miaka ya nyuma,kabla ya hizi blaablaa za haki za wanawake, wanawake wanaweza,50/50n.k.,kijana/vijana walikuwa wanaona ufahari kuwa na ndoa kwasababu, malezi [toka kwa wazazi]yaliwajenga kimaadili na kuwa na utamaduni wa keheshimiana na kuthaminiana [jinsia zote], vijana wa kiume walijua nafasi zao,wajibu na majukumu yao kifamilia na kijamii hali kadhalika kwa vijana wa kike pia, heshima ilikuwepo kuanzia kauli hadi uvaaji [mavazi].Siku hizi Shetani ameishika jamii pabaya, maadili hakuna, heshima hakuna, hakuna aibu kwenye kuvaa kuzungumza, hakuna faragha [jinsia zote],wanaume wameikataa heshima na hadhi waliyopewa na MUNGU ya kuongoza na kutawala badala yake wanapigia debe 50/50[wanawake wanaweza]na sasa wanawake wameoteshwa mapembe na Shetani,hawaelewi kitu na hawataki kuelewa.Kwa hali hii,tutayaona mengi na tutarajie mengi pia.
Mwanamke kuoteshwa mapembe isiwe sababu ya kukataa kulea mwanao. Mmekutana ukubwani kila mtu ana malezi na makuzi yake, mkadate,mkazinguana then mkaachana.Ila kile kumbe kilicho patiala ni msalaba wako na unatakiwa kutimiza wajibu wako kama mlezi na mlinzi wa huyo mtoto.

Hamna excuse yyte ya kukufanya ukatae kulea na kumtunza mtoto wako ambaye kwangu naweza kuielewa ni labda imethibitika na kujilizisha mto si wako hapo sawa.

Narudia tena hili tatizo la single mother, asilimia 40+,inachangiwa na wanaume. Kuna wanaume wamewazalisha wanawake zaidi ya moja, wengine wanawatoto watano kwa wanawake wa tano tofauti, hivi mwanaume huyu huoni kwako ni tatizo?Kuna mwengine analamika eti alimwambia nani ashike mimba, sasa kwa ni hakupiga na mpira? Unapiga kavu halafu kupaisha hujui, unachojua kucheka na nyavu,halafu kesho unakataa mimba, wakati option uiikuwa nazo.
 
Anakuwa single kwasababu zake binafsi ila sio za kijamii.....
Okay kuachwa kufukuzwa au kukaa kwenye poisonous relationship hizo sio sababu...,
hakuna sehemu utaenda ukute jamii ya watu civilized na wanaojitambua halafu eti washabikie au waunge mkono mwanamke kuishi maisha yake mwenyewe pekee yake kama jiwe porini.
Nasikitika kusema hujui unalolisema..., Na ni nini maana ya Civilized ? Afrika kwa muda mrefu au kipindi cha Hunters and gathers kulikuwa na mgawanyiko wa kazi Mwanaume kwenda kuwinda na kutafuta na mama kubaki nyumbani kulea na kuangalia watoto...

Unakuta hata Jamii za Kimasai ilikuwa mwanaume akienda kutafuta malisho nyumba ikibaki tupu mwanaume yoyote akija pale anamiliki hiyo nyumba it was necessary sababu mwanamke alihitaji ulinzi wa Mwanaume bila hivyo Jamii ingemtenga na kumuona kama mtu wa ajabu na laana na ingepelekea hatari kwenye maisha yake..., Na mwanaume kwenda kutafuta malisho huende ingechukua hata miaka kabla ya kurudi na aliporudi angekuta mwingine ameshamiliki wala kulikuwa hakuna shida (hio ndio ilifanya Jamii yao iendelee na kuwa na safety kwa watoto, which is the most important issue)... Kuna makabila ilikuwa kaka mtu au mdogo mtu akifa kaka au mdogo wake anarithi mke....; Mama alikuwa ni mama wa nyumbani hana means / haruhusiwi kujishughulisha na kumiliki / kuleta mkate wa kila siku hivyo asingeweza ku-survive bila mwanaume
Mwanamke aliyefiwa na mume wake anaitwa Mjane kwa English ni Widow. Hapa mada inazungumzia Single mothers a.k.a wadangaji. Sasa sijui wewe unachanganya vipi, au haujui tofauti ya matumizi ya neno Single mother na Widow mzee? [emoji848]
Kwamba mjane akifiwa akiendelea kulea watoto peke yake sio single ? au Mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine akapata mwanaume mwingine na wakazaa au wasizae bado ni single mother Au hata hujui unachokiongelea ?

Na wadangaji ni watu gani..., Mwanamke aliyekimbiwa na mtu aliyemzalisha akabaki peke yake kuuza mihogo ili watoto wasife huyo ni mdangaji ? Kwanza binafsi nampa Heko mtu ambaye anaweza hata kuuza utu wake (sio kwa kupenda) bali kwa kukosa alternative ili watoto wake wasife njaa (huyo haitaji kusemwa bali jamii iliyomzunguka iliyomuweka kwenye hio situation ndio ya kulaumu) sio wote wanajiuza wanapenda na wala sio shughuli rahisi ni hatari na wengi wao wamejikuta kwenye hio situation kutokana na circumstances
Kuachwa kuna mawili ni aidha ame underperform kwenye uhusiano au alikubali kusettle na mwanaume ambaye siyo wa hadhi yake jambo ambalo ni very common kwa Single mothers, huwa wanachagua kupuuza red flags makusudi kabisa halafu
Nadhani wewe unadhani unajua haya mambo wakati kwa kweli haujui at least mimi kulinganisha na wewe am Wiser sababu I know that I know nothing hence kuendelea kujifunza kila siku... Mkuu kila situation ni tofauti and every case must be judged differently yaani unasema kabisa kila mtu ana magic fulani ya kujua mahusiano yatakuwaje kesho ? Hakuna perfect marriages kuna uvumilivu wa hali ya juu sababu kuna milima na mabonde na ukipendwa leo haimaanishi kesho utapendwa unaweza ukachokwa na kufanyiwa visa - It takes two to Tango na makosa mara nyingi hayawezi kuwa ya mmoja pekee au sio necessarily ya mwanamke yanaweza kuwa ya Mwanaume....; Na ikifika point of no return kuliko kuona watu wanapigana risasi au kuwekeana sumu ni bora kila mtu akate kona...
yakiwakuta wanaanza tupia lawama upande wa pili while in reality wao ndie wachaguzi. Trust me, mwanamke hazai na mwanaume ambaye hajamchagua yeye kwa hiyari yake awe baba mtoto, labda awekewe kilevi na kubakwa. Ila ukivua chupi mwenyewe jua huyo mwanaume ndie chaguo lake, so lolote litalomkuta na huyo mwanaume sio bahati mbaya wala ajali ni matokeo ya uchaguzi wake, so lawama ni kwake.
Sasa hapo unajipinga mwenyewe kwamba hachagui au kulazimishwa alafu labda kilevi au kubakwa ? kwahio akibakwa au akiwekewa kilevi au akidanganywa alafu akaachwa na akawa mlezi pekee wa watoto huyo ataitwa half single mother ?
Hakuna kitu kama kudanganywa now days, ndio maana unaona watoto wa kiume wamekuwa serious na maamuzi yao na kutokukubali kusettle na wanawake kwanza wasio bikra, pili wana watoto halafu hawajatulia, nani anataka kukaa na vitu vya ajabu ndani?
Speak for yourself Mkuu na ndio nyie ambao huwa tunasikia mmechoma watu visu au kuwapiga risasi sababu mnachodhani kwenye akili zenu does not exist... Huwezi kumiliki binadamu mwanzako..., hususan kama ana choces na options..., sanasana utajitafutia magonjwa na stress za bure Na wewe unachotaka kufanya ni kuondoa hizo choices na options alizonazo (jambo ambalo nakwambia its impossible kwa maisha ya sasa) Na sidhani kama ni better kurudi kwenye dark ages ambapo dada zetu, mama na bibi zetu walikuwa commodities za wanaume kutumia
ingekuwa kupigwa ni serious kama unavyoiweka then hata hapa ninapoishi basi wanawake wote ningeshasikia wanavyopigwa ila you just simply made up a situation. Na hii ndio shida tuliyonayo kwenye jamii ya sasa ku over exaggerate issues na kuzifanya kuwa extreme case.
Kupigwa kumepungua sana angalia historia..., Unajua kwanini sababu kama nilivyokwambia wanawake wana options wana sehemu ya kukimbilia zamani walikuwa hawana hio option na wangekutana na watu wenye fikra kama zako option yao ilikuwa ni kupigwa na kuwa-abused mpaka siku wanaingia kaburini au labda kujiua...
Domestic abuse victims kwa asilimia 90% ni wanaume ila hautajua sababu hakuna media outrage juu ya hilo simply kwasababu wanaume hatuongei, ila emotional abuse inafanywa sana na wanawake na matokeo yake mwanaume akichoshwa anageuka mbogo na kuretaliate na hapo ndipo media zinamulika na kamera zao na kurusha hizo habari inaonekana mwanaume ndie mkorofi na mwenye shida.
Mkuu haya sio mashindano wala sijasema mwanaume hawezi kuwa abused anaweza sana kuwa abused emotionally ila tofauti ni kwamba always amekuwa na option ya kufanya jambo au kumuacha huyo mwanamke au kumfukuza..., jambo ambalo mwanamke alikuwa hana hio option until recently..., sasa hivi hategemei kuletewa chakula mlangoni hategemei mwanaume ili aweze kupata chakula malazi na mavazi (zamani alitegemea yote hayo)..., kwahio hata zamani Bibi zetu wangepata hizo option haya yangetokea then and not now....

Na hakuna direct relation between kudanga na single mother...., Mama mara nyingi kitu cha maana kwake ni watoto wake na ndio maana wengine hawawezi na bora wabaki single kuliko tu kukidhi matakwa yao ya kumpenda fulani basi kuolewa nae bila kwanza kuhakikisha usalama na furaha ya watoto wao (an to me that is a positive and not negative)

Nakushauri uwe na fikra fluid na sio rigid na wala huwezi kugeneralize kila kitu kwa kutumia one explanation..., every case is different
 
Nothing could be truer that what you just said here. Define happiness for me please.
Just google it you will find out, you sound like you already have your own definition of happiness in your head, but according to the general context of happiness a lot of people are not happy in their marriage
 
Back
Top Bottom