Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Hizi story ndizo feminists walitumia miaka hiyo wakati wanasambaza mbaga zao. Ila hivi sasa mambo yanawageukia sababu inajidhihirisha kuwa mabinti wanachagua hii life style ya usingle mother, sasa how do you blame men for women choices, are women toddlers? [emoji848]

Mfano haka kabinti hapa kesho kakishazalishwa na wanaume watano tofauti life ikakakalia kushoto kakaanza kulia lia, tukija wazee wa kufanyia fumigation single mothers, mtakuja kusema tunakaonea kweli na wanaume ndio tatizo? [emoji848]View attachment 2964705
Hivi kwanini mnaassume kwamba single mothers wote wamejitakia wenyewe, kwani kabinti hako ndio kanawakilisha single mothers wote au mnajitoa ufahamu tu, kama unaamini kwamba hakuna wanaume ambao ni chanzo cha single mothers basi nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri
 
Mimi na ww tunatofautiana sana,wewe unamitizamo yako ya 50/50 ambayo sio realistic wala haina afya kwa jamii.

Nimeongelea mwanaume majukumu yake ya kiasili na kuwajibika kumtunza mtoto wake,haijalishi huyo mwanamke alikufanya nini. Kwani huo ni wajibu na majukumu yetu tuliyopewa wanaume kiasilia. Nimetofautiana na huyo jamaa kwa mtizamo wake wakusema tatizo la single mother kwa asilimia mia ni wanawake, kajifanya kutumia lugha kali nami nikaamua kumalizana nae kihuni na kumpa reality.

Ila kuhusiana na 50/50,usawa wa kijinsia sijawahi kufanana na ww kimtizamo na ww. Mimi huwaga na kuacha. Kwanza nyie kwa fikra na mitizamo yenu 50/50 ambayo siku hizi hufundishwa mpaka mashuleni ndio imekiharibu hiki kizazi. Kwani kuna baadhi ya vijana siku hizi wanajiona kama wana haki sawa na Ke, mpaka nao wameanza kususia majukumu yao ya msingi wengine mpaka wanataka kulelewa.
Ndicho exactly nilichomaanisha hapo, tunatofautiana kwa sababu ya kushindwa kunielewa kama hivi, lakini si kwamba ninayoandika huwa ni uwongo
 
Ndicho exactly nilichomaanisha hapo, tunatofautiana kwa sababu ya kushindwa kunielewa kama hivi, lakini si kwamba ninayoandika huwa ni uwongo
Kwa mtizamo wangu ni uwongo na hamna uhalisia.
 
Ongezeko la single mothers, watoto wa mitaani na ushoga ni matokeo ya wanaume kuwa dhaifu katika nyanja mbalimbali za jamii.Hizo kampeni kama ilijulikana zinawaharibu wanawake, kwanini wanaume hawakuzikataa maana wao ni viongozi na walinzi wa jamii.Ongezeko la single mothers, ushoga na watoto wa mitaani linasababishwa na wanaume kwa 90% na iliyobaki ni wanawake wenyewe.Watu wanatoka huko nchi za magharibi kuja kuwadanganya wanawake zenu nyie mpo tu ili hali mnajua wanachofundishwa sio, alafu mnadharau matokeo ya elimu hiyo,it's nonsense.
Wakati ukisema haya usisahau jambo moja kwamba miaka ya nyuma baba alikuwa hakai sana nyumbani na ndie alikuwa "only bread winner" wa familia jambo lililopekea yeye kuwa mbali na watoto muda mwingine hata miaka akituma matumizi kwa mama.

Hawa watoto waliokuzwa katika familia za namna hii ambapo baba alikuwa absentee wa familia muda mwingi na kumuacha mama nyumbani pekee na watoto (sio kwa nia mbaya ila ni mgawanyo wa majukumu)ndipo ikawa chanzo cha kuzaliwa kizazi cha emasculated males ambao wanaweza kuwa successful kiuchumi, kitaaluma kuwa na elimu kubwa ila ndani ya nafsi zao wakawa wanamuona mama kama shujaa wa familia zaidi sababu visually na physically,muda wote wakiwa wanakua hadi kufikia utu uzima walimuona zaidi mama kuliko baba, hatimae "Nani kama mama" ikazaliwa.

Wanaume wa hivi huwa 80% ya spirit zao ni uanamke wapo oriented na configured kuwa upande wa kike zaidi katika mijadala kuliko kwa wanaume wenzao.

Hawa ndio unaosema wanaume ambao hawakufanya lolote. But trust me kuna shida kubwa sana katika malezi ya mtoto wa kiume kuanzia miaka ya 1960's hadi sasa ndio maana tunaona hadi wanawake wanataka kuwa wanaume sababu spirit ya kiume wanainusa kwa mbaali sana wanapokuwa around hawa wanaume waliokulia malize yakuwa emasculated na kuwa feminized males kwenye jamii.
 
Mimi na ww tunatofautiana sana,wewe unamitizamo yako ya 50/50 ambayo sio realistic wala haina afya kwa jamii.

Nimeongelea mwanaume majukumu yake ya kiasili na kuwajibika kumtunza mtoto wake,haijalishi huyo mwanamke alikufanya nini. Kwani huo ni wajibu na majukumu yetu tuliyopewa wanaume kiasilia. Nimetofautiana na huyo jamaa kwa mtizamo wake wakusema tatizo la single mother kwa asilimia mia ni wanawake, kajifanya kutumia lugha kali nami nikaamua kumalizana nae kihuni na kumpa reality.

Ila kuhusiana na 50/50,usawa wa kijinsia sijawahi kufanana na ww kimtizamo na ww. Mimi huwaga na kuacha. Kwanza nyie kwa fikra na mitizamo yenu 50/50 ambayo siku hizi hufundishwa mpaka mashuleni ndio imekiharibu hiki kizazi. Kwani kuna baadhi ya vijana siku hizi wanajiona kama wana haki sawa na Ke, mpaka nao wameanza kususia majukumu yao ya msingi wengine mpaka wanataka kulelewa.
Nimependa namna umeonyesha msimamo wako na haunapindisha maneno kufurahisha mtu. Hii ndio namna sahihi mtoto wa kiume unatakiwa kujenga hoja kwenye mijadala inayozingatia uhalisa na sio hisia. Hii ndio true logical conversation inavyotakiwa kwenda.
 
Kwa mtizamo wangu ni uwongo na hamna uhalisia.
Good bora umekuwa mkweli kwamba huo ni mtazamo wako, kila mtu huwa yuko huru kutoa mitazamo yake kulingana na experiences zake, lakini kwa bahati mbaya mimi huwa sitoi mitizamo yangu bali huwa najadili uhalisia uliopo kwenye jamii tu
 
Nimependa namna umeonyesha msimamo wako na haunapindisha maneno kufurahisha mtu. Hii ndio namna sahihi mtoto wa kiume unatakiwa kujenga hoja kwenye mijadala inayozingatia uhalisa na sio hisia. Hii ndio true logical conversation inavyotakiwa kwenda.
Wala sijataka anifurahishe na nimependa pia alivyosimamia huo msimamo wake mliotofautiana, nilikuwa namuonesha tu kwamba huwa niko sahihi kwa ninayosema kuhusu wanaume ambayo yeye huwa ananipinga kila siku, ila nashangaa leo hii amebadilika ameandika yale yale ambayo huwa nikiandika mimi ananiita feminist
 
Nimependa namna umeonyesha msimamo wako na haunapindisha maneno kufurahisha mtu. Hii ndio namna sahihi mtoto wa kiume unatakiwa kujenga hoja kwenye mijadala inayozingatia uhalisa na sio hisia. Hii ndio true logical conversation inavyotakiwa kwenda.
Mimi sipo fixed au rigid kama jiwe na sipo kusapoti mtu kisa jinsia yangu. Mimi kwenye familia yangu sina uzee ulee ila sometimes na kuwa mfanya maamuzi. Mfanya maamuzi mzuri lazima uwe na kipawa cha kusikiliza haijalishi jinsia ya mtu, then kwa kutumia hekima na busara na chaganua then nafanya maamuzi.

So ktk hili la single mother nimetumia procedure ni zitumiazo na kuchanganua niyaonayo kupitia single mother ninano wafahmu na kuwajua na ndio maana nikaja na output ile ninayo ifahamu.

Tusijipe umalaika, sana ktk swala la usingle mother, kila jinsia ina mchango wake ktk hili tatizo na tunatengeneza kizazi cha ajabu mno,amacho hakina hatia bali kimetengenezwa kupitia nyege zetu, ila migogoro yetu ndio inawaumiza.

Mimi sio mtu wa kutumia hisia nincho ongea ni uhalisia, mtoto wa kiume hutakiwi kususa kumlea mwanao haijalishi huyu binti mmeachana nae vipi.
 
Okay kuachwa kufukuzwa au kukaa kwenye poisonous relationship hizo sio sababu...,

Nasikitika kusema hujui unalolisema..., Na ni nini maana ya Civilized ? Afrika kwa muda mrefu au kipindi cha Hunters and gathers kulikuwa na mgawanyiko wa kazi Mwanaume kwenda kuwinda na kutafuta na mama kubaki nyumbani kulea na kuangalia watoto...

Unakuta hata Jamii za Kimasai ilikuwa mwanaume akienda kutafuta malisho nyumba ikibaki tupu mwanaume yoyote akija pale anamiliki hiyo nyumba it was necessary sababu mwanamke alihitaji ulinzi wa Mwanaume bila hivyo Jamii ingemtenga na kumuona kama mtu wa ajabu na laana na ingepelekea hatari kwenye maisha yake..., Na mwanaume kwenda kutafuta malisho huende ingechukua hata miaka kabla ya kurudi na aliporudi angekuta mwingine ameshamiliki wala kulikuwa hakuna shida (hio ndio ilifanya Jamii yao iendelee na kuwa na safety kwa watoto, which is the most important issue)... Kuna makabila ilikuwa kaka mtu au mdogo mtu akifa kaka au mdogo wake anarithi mke....; Mama alikuwa ni mama wa nyumbani hana means / haruhusiwi kujishughulisha na kumiliki / kuleta mkate wa kila siku hivyo asingeweza ku-survive bila mwanaume

Kwamba mjane akifiwa akiendelea kulea watoto peke yake sio single ? au Mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine akapata mwanaume mwingine na wakazaa au wasizae bado ni single mother Au hata hujui unachokiongelea ?

Na wadangaji ni watu gani..., Mwanamke aliyekimbiwa na mtu aliyemzalisha akabaki peke yake kuuza mihogo ili watoto wasife huyo ni mdangaji ? Kwanza binafsi nampa Heko mtu ambaye anaweza hata kuuza utu wake (sio kwa kupenda) bali kwa kukosa alternative ili watoto wake wasife njaa (huyo haitaji kusemwa bali jamii iliyomzunguka iliyomuweka kwenye hio situation ndio ya kulaumu) sio wote wanajiuza wanapenda na wala sio shughuli rahisi ni hatari na wengi wao wamejikuta kwenye hio situation kutokana na circumstances

Nadhani wewe unadhani unajua haya mambo wakati kwa kweli haujui at least mimi kulinganisha na wewe am Wiser sababu I know that I know nothing hence kuendelea kujifunza kila siku... Mkuu kila situation ni tofauti and every case must be judged differently yaani unasema kabisa kila mtu ana magic fulani ya kujua mahusiano yatakuwaje kesho ? Hakuna perfect marriages kuna uvumilivu wa hali ya juu sababu kuna milima na mabonde na ukipendwa leo haimaanishi kesho utapendwa unaweza ukachokwa na kufanyiwa visa - It takes two to Tango na makosa mara nyingi hayawezi kuwa ya mmoja pekee au sio necessarily ya mwanamke yanaweza kuwa ya Mwanaume....; Na ikifika point of no return kuliko kuona watu wanapigana risasi au kuwekeana sumu ni bora kila mtu akate kona...

Sasa hapo unajipinga mwenyewe kwamba hachagui au kulazimishwa alafu labda kilevi au kubakwa ? kwahio akibakwa au akiwekewa kilevi au akidanganywa alafu akaachwa na akawa mlezi pekee wa watoto huyo ataitwa half single mother ?

Speak for yourself Mkuu na ndio nyie ambao huwa tunasikia mmechoma watu visu au kuwapiga risasi sababu mnachodhani kwenye akili zenu does not exist... Huwezi kumiliki binadamu mwanzako..., hususan kama ana choces na options..., sanasana utajitafutia magonjwa na stress za bure Na wewe unachotaka kufanya ni kuondoa hizo choices na options alizonazo (jambo ambalo nakwambia its impossible kwa maisha ya sasa) Na sidhani kama ni better kurudi kwenye dark ages ambapo dada zetu, mama na bibi zetu walikuwa commodities za wanaume kutumia

Kupigwa kumepungua sana angalia historia..., Unajua kwanini sababu kama nilivyokwambia wanawake wana options wana sehemu ya kukimbilia zamani walikuwa hawana hio option na wangekutana na watu wenye fikra kama zako option yao ilikuwa ni kupigwa na kuwa-abused mpaka siku wanaingia kaburini au labda kujiua...

Mkuu haya sio mashindano wala sijasema mwanaume hawezi kuwa abused anaweza sana kuwa abused emotionally ila tofauti ni kwamba always amekuwa na option ya kufanya jambo au kumuacha huyo mwanamke au kumfukuza..., jambo ambalo mwanamke alikuwa hana hio option until recently..., sasa hivi hategemei kuletewa chakula mlangoni hategemei mwanaume ili aweze kupata chakula malazi na mavazi (zamani alitegemea yote hayo)..., kwahio hata zamani Bibi zetu wangepata hizo option haya yangetokea then and not now....

Na hakuna direct relation between kudanga na single mother...., Mama mara nyingi kitu cha maana kwake ni watoto wake na ndio maana wengine hawawezi na bora wabaki single kuliko tu kukidhi matakwa yao ya kumpenda fulani basi kuolewa nae bila kwanza kuhakikisha usalama na furaha ya watoto wao (an to me that is a positive and not negative)

Nakushauri uwe na fikra fluid na sio rigid na wala huwezi kugeneralize kila kitu kwa kutumia one explanation..., every case is different
Hebu ngoja kwanza kabla sijakujibu,hivi huwa mnafanyaje hadi unaweza gawanya aya na kurespond separately namna hii? [emoji848]
 
Just google it you will find out, you sound like you already have your own definition of happiness in your head, but according to the general context of happiness a lot of people are not happy in their marriage
What's the general context of happiness are you referring here? [emoji848]

Unataka kunambia furaha yangu mimi na wewe zinapatikana kutokana na kupata vitu vya kufanana?
 
Kanuni ni zilezile inapohusu single maza

●Hatulei bao la mwanaume mwingine

●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake

●Single maza waolewe na baba za watoto wao

●Single maza ni wa kupiga na kusepa

Mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza

Learn or perish
Naunga mkono hoja
 
Hivi kwanini mnaassume kwamba single mothers wote wamejitakia wenyewe, kwani kabinti hako ndio kanawakilisha single mothers wote au mnajitoa ufahamu tu, kama unaamini kwamba hakuna wanaume ambao ni chanzo cha single mothers basi nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri
Deflection, you see? Clearly tabia yenu wanawake wenye damu ya ubishi.

Sasa nimekupa mfano huo hapo na amesema kwa kinywa chake, huyo ni m'moja wapo miongoni wa maelfu tunaokutana nao huku uraiani.

Usieme tuna assume, assumption means tunatengeneza majibu ila kitu kinachoonekana kwa macho na kusikika na masikio hakiwezo kuwa characterized as an assumption.

Wewe kama unabisha ongea na ndugu yako wa kiume au hata colleagues wa kiume na uwaulize kuhusu tabia za baadhi ya mabinti alikutana nao na wakawa na mahusiano in a short time. Wengi husema nataka mtoto nitalea mwenyewe. Wengi sana.

Na ndio hawa wanabadili gear angani mambo yakiwa magumu na kuanza kulaumu kuwa mwanaume aliyezaa nae hatunzi mtoto.

Inaanza na mwanamke mwenyewe. Women are the ones who decide nani awe baba wa mtoto wangu, and the issue of young women in our current generation and times think a strong man is the one who has financial sources only and forget about major important attributes za mwanaume mwenye sifa za kuwa baba wa familia na mume bora.

Wewe tu kwa mfano why you are not sleeping around making babies with different men? [emoji848] Because unatumia akili. Sasa wenzako hizo akili hawana ndio tupo hapa kuwalaumu why unaingilia sasa? [emoji19][emoji19][emoji19]
 
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa wengi kadri muda unavyosonga mbele.

Sijui itakuwaje baada ya miaka 20 ijayo. Mbaya zaidi, hawa mama wasio na waume wanajiona wana haki ya kusaidiwa, na ukimsaidia, usitegemee shukrani; msaidie tu. Miaka ijayo, tutakuwa na kiwango kikubwa cha hawa mama wasio na waume wenye tatizo la afya ya akili.

View attachment 2964040
wanateseka sana kwa kujitakia,wanauza ndizi,migogo mibichi n karanga mabarabarani wengine wanagongwa n bodaboda katika harakati zao hizo,,wengine wnaamka alfajir kwenda minadani kutafuta makongoro au miguu ya nguruewe,,,,,,yaani MUNGU alisema,mwanaume atatafuta kwa jasho na mwanamke atazaa kwa shida,,sasa wanawake wanazaa kwa shida na kutafuta kwa jasho!!
 
Good bora umekuwa mkweli kwamba huo ni mtazamo wako, kila mtu huwa yuko huru kutoa mitazamo yake kulingana na experiences zake, lakini kwa bahati mbaya mimi huwa sitoi mitizamo yangu bali huwa najadili uhalisia uliopo kwenye jamii tu
Sio kweli, unachoongea hapa huwa tunasoma na kukitafakari kwa kulinganisha na tunachokiona, so huwa unaangukia katika kundi la upotoshaji au fikra za ndoto za mchana a.k.a theories.

Wewe unaongea vitu kinadharia sana. Mfano unaamini mwanamke anaweza kutoka nje akawa mfanyabiashara wa kusafiri mataifa mbali mbali miezi kwa miezi na still akawa mke bora kwa mumewe na mama bora kwa watoto na familia halafu still awe mwaminifu, hizi ndizo moja ya hoja zako ambazo huwa naona unasema humu ndani jambo ambalo huwa linanitafakarisha sana kuwa huwa unatumia akili ya aina gani kubuni hizi "Utopian feminist garbage dreams"[emoji23][emoji23][emoji23]

Anyways, keep on dreaming, unasema unaujua uhalisia, even the famous feminists known in the planet walipofika umri wa menopause ukimya ulitawala. Keep on your agenda, fighting Men in the man's world. Unashindana na Simba kuishi mwituni, heifer please [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
 
What's the general context of happiness are you referring here? [emoji848]

Unataka kunambia furaha yangu mimi na wewe zinapatikana kutokana na kupata vitu vya kufanana?
Hapa tunaongelea ndoa mkuu kwahiyo unataka kuniambia kuna mwanamke furaha yake ni mume wake kuwa msaliti, mlevi, mnyanyasaji au mbabe nk, wote tunajua ndoa nyingi duniani zina wanaume wenye tabia either mojawapo kati ya hizo au zote, na hapo ndio inakuja hoja yangu kwamba kipi bora kati ya kuwa single au kuwa kwenye ndoa na mume mwenye tabia kama hizo
 
Deflection, you see? Clearly tabia yenu wanawake wenye damu ya ubishi.

Sasa nimekupa mfano huo hapo na amesema kwa kinywa chake, huyo ni m'moja wapo miongoni wa maelfu tunaokutana nao huku uraiani.

Usieme tuna assume, assumption means tunatengeneza majibu ila kitu kinachoonekana kwa macho na kusikika na masikio hakiwezo kuwa characterized as an assumption.

Wewe kama unabisha ongea na ndugu yako wa kiume au hata colleagues wa kiume na uwaulize kuhusu tabia za baadhi ya mabinti alikutana nao na wakawa na mahusiano in a short time. Wengi husema nataka mtoto nitalea mwenyewe. Wengi sana.

Na ndio hawa wanabadili gear angani mambo yakiwa magumu na kuanza kulaumu kuwa mwanaume aliyezaa nae hatunzi mtoto.

Inaanza na mwanamke mwenyewe. Women are the ones who decide nani awe baba wa mtoto wangu, and the issue of young women in our current generation and times think a strong man is the one who has financial sources only and forget about major important attributes za mwanaume mwenye sifa za kuwa baba wa familia na mume bora.

Wewe tu kwa mfano why you are not sleeping around making babies with different men? [emoji848] Because unatumia akili. Sasa wenzako hizo akili hawana ndio tupo hapa kuwalaumu why unaingilia sasa? [emoji19][emoji19][emoji19]
Na ndio hapo shida ilipo kudhani kwamba wanaume wote ni honest kiasi hicho, hivi we unadhani hata kama mwanaume angekuwa ndio kasababisha atasema kwamba ni yeye, si atamtupia lawama zote mwanamke kwa kigezo cha kwamba yeye ndiye mwenye jukumu la kuamua kubeba au kuzuia mimba kwahiyo ni kosa lake kuamua kubeba

Wewe usijifanye haujui kwamba kuna wanaume wengi hawataki kuoa ila wanataka watoto tu, kwahiyo wanachofanya wanawalaghai wanawake wawazalie kwa ahadi ya ndoa maana wanajua wakiwaambia wawazalie tu hivi hivi itakuwa ngumu, na kwa vile washajua wanawake wengi wako desperate na ndoa ndio wanatumia hiyo kama advantage so inakuwa kama kumsukuma mlevi tu

Mwisho wa siku wanawake wanazaa wakidhani wataolewa kisha mwanaume anatafuta sababu za kufanya binti aone hafai kuolewa mwisho wa siku wanaishia kugombana baba anatelekeza mtoto, sasa mwanaume kama huyu naye ukienda kumuuliza unadhani atakuambia ukweli kwamba ni yeye ndiye aliyemshawishi mwanamke amzalie, lazima tu atatetea upande wake tatizo lako unadhani eti ninyi wanaume ndio hamuwezi kuplay victims pale mnapoona mmeshaharibu
 
Back
Top Bottom