Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Kuna kadem nlichukua namba yake, kwenye kuchati nako nikaona kanatoa ushauri kama wote..... Kukapeleleza vizuri kumbe ni single mother... Ety hataki kuumizwa tena... Mara anaomba Mungu amjalie ndoa. Nkasema mmmmm hapa umeyakanyaga, we leta mbususu nichakate ila mi binafsi niko Chama cha KATAA NDOA.
LINDA KIBUNDA CHAKO.
Kuna mmoja nimempata mwezi sasa anafanya huko huko Ustawi,kitachoenda kumpata atajuta
 
SINGLE MOTHER NI MAANA MWANAMKE AKUZAA NA MWANAUME SAHIHI YAAN AKUMPENDA ALIPIGA AKAPITA KULE KAMA JAIVAHHH BINAFSI SIWEZI KUOA SINGLE MOTHER MOST OF THEM WANA STRESS ZA WATOTO ANAWEZA ATAKUKILL WANAKUWA NA BRAIN TRAUMA
 
Back
Top Bottom