Singlemom kurudi kwa ex na asiye na mtoto kurudi kwa ex tatizo nini hapa wakuu

Singlemom kurudi kwa ex na asiye na mtoto kurudi kwa ex tatizo nini hapa wakuu

Humu utaishia kupoteza muda mkuu
Natamani kukubaliana na wewe lakini moyo wangu unakataa kabisa, ujue kwanini nasema hivyo?

Katika Media/Platforms zo social media ambazo zipo well respected basi Jamii Forums ni namba moja kwa Tanzania.
Zaidi ya hilo ni kuwa Jamii Forums imebeba watu wasomi wa aina zote kuanzia Form two drop out hadi watu wenye Degree zao. Humu ndani kuna watu wana professions za hali ya juu but ni ngumu kuwafahamu kwa sababu wanatumia id fake kama ulivyo wewe but you have your own profession and you have your class.

Mimi naamini humu ndani nitapata 'Mwanamke wa maisha yangu' ambaye naye ana uhitaji wa mume bora. Kuna siku niliota nimeoa mwanamke wa Jamii forum ambae ni msomi wa hali ya juu na ana career yake nzuri sana, she was single for a long time but tulipokutana our chemistry matched well, and thereafter we got into a longterm relationship and loved each other .....

NOTE: Hiyo ndoto bado inaishi na naamini mke wangu anakuja. We mwanamke 'MOYO MPWEKE' njoo kwangu tujenge maisha pamoja.
 
Natamani kukubaliana na wewe lakini moyo wangu unakataa kabisa, ujue kwanini nasema hivyo?

Katika Media/Platforms zo social media ambazo zipo well respected basi Jamii Forums ni namba moja kwa Tanzania.
Zaidi ya hilo ni kuwa Jamii Forums imebeba watu wasomi wa aina zote kuanzia Form two drop out hadi watu wenye Degree zao. Humu ndani kuna watu wana professions za hali ya juu but ni ngumu kuwafahamu kwa sababu wanatumia id fake kama ulivyo wewe but you have your own profession and you have your class.

Mimi naamini humu ndani nitapata 'Mwanamke wa maisha yangu' ambaye naye ana uhitaji wa mume bora. Kuna siku niliota nimeoa mwanamke wa Jamii forum ambae ni msomi wa hali ya juu na ana career yake nzuri sana, she was single for a long time but tulipokutana our chemistry matched well, and thereafter we got into a longterm relationship and loved each other .....

NOTE: Hiyo ndoto bado inaishi na naamini mke wangu anakuja. We mwanamke 'MOYO MPWEKE' njoo kwangu tujenge maisha pamoja.
Ok, vizuri
 
Japo mi binafsi nadhani inasababishwa na kuingia kwenye mahusiano bila upendo....kuingia kwenye mahusiano kusitirika na siyo upendo .....

Maoni yenu tafadhali...maana mapenzi yamepoteza maana sikuhizi...
Kuna x wangu hunisimulia moment za mahusiano yetu yalovunjika miaka mingi ilopita.

Nilichogundua kwa mwanamke moment nzuri za mapenzi zinaishi na mnazipa umuhimu mkubwa, ndo maana ni rahisi kurudi kwa x zenu kuzisherehesha.
 
Back
Top Bottom