Sintofahamu ya mpaka sasa Serikali haijawalipa watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei

Jf nayo uhuru umezidi Sana mishahara imeshalipwa lakini uzi unaachwa tu duh kipindi cha dicteta Magufuli huu uzi usingezagaa hapa
Acha ujuaji kama we ni ticha ndio umelipwa wengine bado. Japo siishi kwa mshahara ila muwe mnaacha upotoshaji
 
Wafanyakazi Wasio wazalendo NDIO huwa na cheap Mind.....

Ndio unakuta wanashaur vijana wakajitolee Bure kwenye ofisi pesa imechelewa kidogo lawama teleee 😊😊😊
 
Kwahiyo katiba mpya itakulipa mshahara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…