stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
BadoMi sio mwalimu ila washaingizwa kiufupi tamisemi tayari ndo kuna kelele sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BadoMi sio mwalimu ila washaingizwa kiufupi tamisemi tayari ndo kuna kelele sana
Mwl Bumija kama nakuona na take home yako ya 215,000 😄😄Wenye nazo hawasemagi mkuu
😄😄😄 Watu wamepindaKama kweli vile....ilimradi tu kupata vyuwaz huko PM sio?
Walimu wepi? Wewe msemaji waoWalimu wote wamelipwa mishahara yao leo asubuhi. Kada zingine bado hazijalipwa.
si kweli. halafu hela anapeleka kwenye mipiraWalimu wote wamelipwa mishahara yao leo asubuhi. Kada zingine bado hazijalipwa.
Hhhhongera
Ni kweli!Walimu wote wamelipwa mishahara yao leo asubuhi. Kada zingine bado hazijalipwa.
Ndio tatizo la Walimu,Ma daktari na Polisi mnadhani nyie pekee ndio watumishi wa Serikali.Kuna sisi mabosi zenu huku hatujalipwa.Bado au utani mbona mzigo tayari ndugu
Miaka 60 ya uhuru nchi baada ya kusonga mbele inazidi kudidimia
Haijalipwa babuJf nayo uhuru umezidi Sana mishahara imeshalipwa lakini uzi unaachwa tu duh kipindi cha dicteta Magufuli huu uzi usingezagaa hapa
Mishahara ya serikalio inalipwa kati ya 20-25 ya kila mwezi. Leo ni 24/5. Kwa hiyo wewe unaona mjadala huu ni serious?Hauchekeshi. Watu wanaongelea serious issue wewe unaleta ujinga. Tatizo lako unawaza siasa hata kwenye mambo ya msingi.
Kuwa mvumilivu wanaenda alphabetically jina lako linaanza na herufi gan kwanUpo kada gani? Maana mm mpaka sasa bila bila
Punguza ujuha, usilete utani ama mzaha kwenye mambo makini mpuuzi wewe.Kuwa mvumilivu wanaenda alphabetically jina lako linaanza na herufi gan kwan