Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,261
- 3,580
Upo kada gani? Maana mm mpaka sasa bila bilaUmetoka mkuu toka SAA saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo kada gani? Maana mm mpaka sasa bila bilaUmetoka mkuu toka SAA saba
😆😆😆 Nacheka km mazuri vile Ila daah acha nisiongee NENOKuna nini jamani hali ngumu mfanyakazi wa serkali unalala njaa hii ni hatari jamani tutafanyeje hizo kazi?
Ni kwanini mshahara hautoki?
KATIBA mpya itasababisha mgawanyo wa Cake ya Taifa kuwanufaisha wananchi wote, Si kama hivi sasa pesa za Umma ni kama hazina mwenyewe.Kwahiyo katiba mpya itakulipa mshahara?
Bado au utani mbona mzigo tayari ndugu
Bado au utani mbona mzigo tayari ndugu
Acha kukurupuka wewe kwani mwisho wa mwezi umefika?Mpaka sasa si WAALIMU, MATABIBU wala MAAFISA WA JESHI waliopokea mishahara yao ya mwezi Mei 2023.
Hazina ya serikali inahitaji wastani wa bilioni zaidi ya mia sita kila mwezi kwa mishahara ya watumishi wa umma na nyingine zaidi ya bilioni 8 bilioni kwa malipo ya pensheni.
Watalaam mbalimbali wa mambo ya uchumi wanadai kuwa kuchelewesha kwa haki ya watumishi na wastaafu kwa ujumla inasababishwa na mipango duni pamoja matumizi makubwa yasio na tija kiuchumi. Viashiria vyote vinaonesha kuwa tatizo hili linaweza kuendelea kwa miezi kadhaa.
Vilevile imetajwa ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali fedha kama sababu kuu zinazolifanya taifa hili kukosa fedha kuwalipa wafanyakazi wake kwa wakati.
Sababu nyingine ya kucheleweshwa kwa mishahara ya watumishi wa umma ni kukosa vipaumbele kwa masuala muhimu na badala yake kuwaridhisha baadhi ya viongozi wake na wabunge ambao muda wao wa kupiga kelele Bungeni ni wa muda mfupi tofauti na mtumishi wa umma ambae anafanya kazi kwa zaidi ya miaka 30.
Kwa kipindi kirefu serikali imekuwa ikijigamba kuwa kupitia Mamlaka ya Ukunyaji Kodi (TRA) inakusanya Zaidi ya Trilinioni mOja kwa mwezi Swali la kujuliza ni je fedha hizo zimekuwa zikitoweka kutoka chanzo chake ambacho ni mamlaka ya TRA, ama hupotea zinapowasili katika wizara au sababu zote mbili?
Hivi karibuni wafanyabiashara katika soko lakimataifa la karikakoo waligoma kutokana na kuongezeka kwa mienendo ya rushwa na kubambikiwa kodi zisizo na muelekeo katiak sehemu zao za biashara.
Haya yanajiri huku watumishi wa umma wakisubiri mshahara yao hatua ambayo inaweza kuweka huduma za serikali kwa umma katika hali tete.
WASWAHILI SIKU ZOTE WANAMSEMO USEMAO KIKULACHO KI NGUONI MWAKO.
Watu wameshasahauBado au utani mbona mzigo tayari ndugu
😆😆😆 Hatari angeikimbia kaziYani taerehe 24 umeanza kulalamika...ungekua private sekta wewe si ungeshakufa na njaa
Inaonekana huu ndio ukweli mpaka sasa.Mishahara wamepewa walimu,na Askari tu
😆😆😆Mshahara tar 50
Onyesha salary slipWalimu washaanza kupokea
Angekuwa kwa Kanjibhai naona angekuwa keshazikwa kwa njaa.Yani taerehe 24 umeanza kulalamika...ungekua private sekta wewe si ungeshakufa na njaa
Kama kweli vile....ilimradi tu kupata vyuwaz huko PM sio?Natoka Nmb kutoa 1,850,000/-
Mi sio mwalimu ila washaingizwa kiufupi tamisemi tayari ndo kuna kelele sanaOnyesha salary slip