Sintofahamu ya mpaka sasa Serikali haijawalipa watumishi mshahara wa mwezi wa mwezi Mei

Pesa imeshakwapuliwa,unaanza mtindo wa wafanyabiashara kuikopesha serikali fedha ilipe mishahara,hili lilitokea awamu ya nne,linajirudia tena ya sita,

Serikali inawekwa mifukoni na baadhi wenye ukwasi
sure awamu YA NNE walikuwa wanakopa mishahara ya watumishi wa umma kwa Bakhresa , ila kwa sasa mfano mishahara ya mwezi April ilikopwa kwa GGM
 
Jf nayo uhuru umezidi Sana mishahara imeshalipwa lakini uzi unaachwa tu duh kipindi cha dicteta Magufuli huu uzi usingezagaa hapa
sure awamu YA NNE walikuwa wanakopa mishahara ya watumishi wa umma kwa Bakhresa , ila kwa sasa mfano mishahara ya mwezi April ilikopwa kwa GGM
 
Haijawahi kutokea nyuzi za mshahara zikadumu zaidi ya siku mbili, hali ni tete....
 
Watumishi semeni kitu hapa, mambo yametiki?

Sisi tulikataa kuajiriwa tuko paleeee, tunasubiri mpate mitaani kuchangamke
 
Kuna watumishi wa umma hawajapokea mshahara hadi sasa?
 
Ni k
Watumishi semeni kitu hapa, mambo yametiki?

Sisi tulikataa kuajiriwa tuko paleeee, tunasubiri mpate mitaani kuchangamke
Ni kweli kabisa watumishi ndio wanaozungusha pesa mtaani , mshahara ukitoka mitaa yote uchangamka wafanyabiashara nao wanapata ridhiki zao , kilio cha kuchelewa kwa mishahara maumivu si kwa watumishi tuu , kuanzia taasisi za kifedha na wafanyabiashara wa aina zote , yaani ipo hivi kiutaratibu ni kwamba HAZINA YA TAIFA ndio inayotoa pesa za mzunguko , ukiona HAZINA haina hela jua nchi inapumilia mashine .
 
Tunagawa milioni 20 Kwanza mwenye timu za mipira.Wafanyakazi wasubiri
 
Fedha za magoli na za kuwapa wasani + wakata mauno zipo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…