Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Hao watusi wa bongo naamini huko mbeleni watawaibua wahutu wao wenyewe.

Hii arrogance ya kujifaragua kuwa wao ndo 1st class citizens ikipata watu wa kutia kiberiti hisia za upande wa pili,kwisha habari.
Huko mbeleni ni ngumu kwani saivi kila mtanzania yuko priviledged kielimu kifedha wadhifa serikalini na nje ya serikali biashara nk
Yani hamna kabila linaloachwa nyuma..inakata wale waliojidhania wao ni superior wkt in real sense they are not ni raia tu ka watu wengine
 
Ubaguzi uko kwa kiwango cha juu sana unasikia tu fika pale ujionee

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabaguana kuhusu nini?Kama fursa za kiuchumi na biashara zipo wazi na kwa usawa kwa kila mtu sioni shida Mimi rais hata angekuwa mmasai achilia mbali mtusi. Watajichelewesha kwa ujinga wao wenyewe.
 

Hili suala linahitaji mjadala mpana wa kitaifa tunakoelekea si kuzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu inaonyesha hali ilikuwa tete, kama helcopta zingetumika zingeweza kushambuliwa na sura ya vita ingebadilika kutoka ya kikabila na iwe ya Rwanda na Tanzania.
Ikiwa ndege ya rais ilipigwa chini lolote lingeweza kutokea kwa ndege zetu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna jinsi ya kuweka hizi stori copyritghts asee?? Ili wakomeshwe na huo mpango wao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabaguana kuhusu nini?Kama fursa za kiuchumi na biashara zipo wazi na kwa usawa kwa kila mtu sioni shida Mimi rais hata angekuwa mmasai achilia mbali mtusi. Watajichelewesha kwa ujinga wao wenyewe.
Jmn mbona huelewi
Ushaambiwa hamna usawa

Ni kama vile hapa bongo baadhi ya watu walipeana kazi kwa vimemo akishakujua jina tu anajua kabila gani hivyo anaamua akupe au asikupe
Kulikua na usawa hapo?.
Ama viongozi wengi wakitokea sehemu fulani unafikiri nini kinafuata iwapo hawana hekima?.si ni kupeleka maendeleo kwao na kusahau umoja wa nchi!!!
Wale waliosahaulika unafikiri wanajiskiaje na kodi zao ndo zinaimarisha upande mwingine?.!!

Sasa hivi ndo mifumo imeimarika fursa zinaenda kwa wengi zaidi nchi nzima..haikua hivi
 
Mkuu mbona kama unajichanganya kumbuka Rwanda civil war na Rwanda genocide ni vitu viwili tofauti.

Rwanda civil war ndiyo hiyo kuanzia 1990 na ndio maana kulikuwa na mazungumzo ya kutafuta amani ila Rwanda genocide ilikuja baadae baada ya Rais Habyarimana kuuawa.
 
Hv mnasema wanyarwanda wapo kwenye nyaxifa nyeti za kiserikali hapa bongoland huwa mnanipa wakati mgumu kuwajua ebu nipen hzo mnitoe kwenye dimbwi la kutumia kichwa.

Wanaosemaga number 1 yupo mie soon hoja ukiangalia height, history Wala haviendani japo ametokea mpakan
 
Point of correction. Kiingereza Cha kimbari ni "genocide or massacre''. Yaani mauji ya watu wengi ambayo NI endelevu au kwa muda mfupi.
 
Watanzania wakitaka kitu wanakua wapole sana...ona kwenye huu uzi,kuna watu wanajua kubembeleza aisee,wanajua kujinyenyekeza..yaani tumekua wapole...ninachofurahi ni kuona bado kuna watanzania wana spirit ya kupenda kusoma ..
Watz wanapenda kusoma story....
ww lete maandiko ya kilimo cha maharage ama choroko kama utaona mtu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…