Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

PK alichukia nchi kwa nguvu na sio kura
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli siasa haina nguvu hapa kwa watanzania ni ya kimasilahi hawana (philosophy) itikadi, lakini pia makabila pia hayana nguvu kuna watanzania wengi hata wanaogopa kuongea lugha za kikabila yao kwa sababu ya 'inferioty complex' wengi wanajificha kwenye kiswahili hata wakiwa nyumbani

kwahiyo nivingumu watanzania kupigana kwa hayo mambo mawili tu......jambo linalo weza kuleta hisia za watu kwa kiwango cha kuuwana ni Dini, Waislama hawana mzaha na Dini yao na pia it's second to none, wako tayari kuyilinda dini yao hata kama ni kupoteza utaifa au asiri yao hili lilidhihirika pale Rwanda wakati wa Rc walikimbilia misikitini kuliko makanisani hamna Muislamu wanaweza kuua muislam mwenzie kwa sabb ya kua mtusi au muhtu Waislamu wana umoja katika hilo wanasemaga 'Muislamu ndugu ye Muislamu' ....... kuanzia 1992 Dini ya Kiislamu ina heshimika sana Rwanda nawanyarwanda wameslimu wengi wameona Uislamu ni 'pragamatic religion'.

Kitu kama hicho kutokea hapa nchini labda kipitie kwenye Imani za Dini serikali iwe makini ifanye 'fair play' sio kupendelea dhehebu moja nakuache mengine inaweza ikashutua mihemuko na hisia za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama naiona Tz katika hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu ingekuwa mamtoni Mzee wetu Bossless saivi angekuwa anapiga pesa ndefu sana kupitia vitabu. Najua kuna vitabu vingi sana vimeandikwa na wahanga wa haya mauaji vingi vinauzwa online.

Mzee wetu Bossless angepata mwandishi mzuri mchokonozi wa kukamua kumbukumbu za mzee wetu huyu bila shaka ingetoka bonge la stori iliyonyooka vema.

Binafsi sijawahi kuzichoka stori za haya mauaji japo ni mambo ya kusikitisha sana lakini ukisikia au kusoma unapata hamu ya kusikia au kusoma tena na tena nazan ni ile hali ya kushangaa mambo ya ajabu yanayoweza kufanywa na kiumbe alizaliwa kutoka kwa mwanamke.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasisimka.. Pole Sana Mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana mdogo lakini una busara sana,,,,safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da Huyo mama balozi nimemkubali anastahili heshima zake,Mungu amlinde huko alipo.

Sijui na mabalozi wetu hawa kina Pindi Chana wana ujasiri huo kweli au ndio ufia chama tu

Nimekaa nafikiria mtu anamshushia kaka yake upanga shingoni nashindwa kupata picha kabisa,au mtu unamuua na kumchoma sehemu za siri na kuwaunganisha kama panzi daa! sijui hio roho inakuwa imetoka wapi?

Mleta mada vipi kuhusu hao watoto aliowapigania balozi una taarifa nao? na vipi kuhusu Demu wako yule Mnyarwnda?





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona unnaielewesha kwa hasira mkuu. Kwahiyo sasahivi Kuna usawa sasa kelele za nini tena?
 
Point of correction. Kiingereza Cha kimbari ni "massacre''. Mauaji ya kimbari = Massacre killings. Yaani mauji ya watu wengi ambayo NI endelevu au kwa muda mfupi.
" Mauaji ya kimbari = Massacre killings. Yaani"

Mkuu tafadhari mind your translation hamna kiingereza kama hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Kanisa hasa Katoliki lilitumika sana kutekeleza mauji haya. Watu waliokwenda kupata hifadhi makanisani walijikuta wakiuliwa baada ya kuuzwa kwa interahamwe na viongozi wa Kanisa
Ilikuwa situation ambayo huwezi kufanya uchaguzi kama unataka kuendelea kuishi.unaambiwa kabisa utoe orodha ya waumini wako kati ya hutu or tutsi..wakifika unawapa majina wanachakuwa tutsi wanawaua.sasa kama hutaki unakufa wewe.ealisulutishwa hawakuwa na namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…