Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

siku akiimaliza mni tag wajameni nije kuisoma mana huu utaratibu wa nusu nusu huwa unanishinda aisee, kichwa chenyewe cha panzi sikawii kusahau part 1 ilizungumzia nini ndo mana napenda stori zenye flow ya moja kwa moja
 
Wewe macho yako yana matege
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha roho mbaya wewe
 
Kasema ni 1989 ndo kaenda Rwanda sio kipibdi cha vita. Hebu mkuu kuwa na subira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu yani huyo jamaa ukiyemjibu amekurupuka ku comment na wala sio msomaji ila ana daka daka mistari ndo maana hakuweza kuona mwaka ambao jamaa ameutaja:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…