spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Umemsahau Majaliwa?hata ajali mkuu..?😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau Majaliwa?hata ajali mkuu..?😅
Kama ingetoka live na kama majibu yangekuwa ni ya kuponda utawala wa awamu hiyo basi huyo mtangazaji na anaehojiwa kesho yake asubuhi tu wangepimwa mkojo.Tena ungemwambia twende live,angejuta mbona na hilo povu lako😀
Namba 1 ni wajaluo, sijawahi kuona mfano wake.Wajita, wakere na wahaya kwa kulia nawanyoshea mkono.
.vipi habari yenu ilifika wap
Aisee! Wanalia zeni wanapiga storiNamba 1 ni wajaluo, sijawahi kuona mfano wake.
Wanaweza kuwa wanakuja msibani huku wanapiga story fresh kabisa. Wakikaribia mita chache, wanasimama na kujipanga nani alianzishe kwenye kulia. Baada ya hapo ni kilio babu kubwa huku wakipokewa kwa kilio na waliowakuta, alafu usiku ni pombe na muziki kama kawaida.Aisee! Wanalia zeni wanapiga stori
Huwa inanibidi nicheke tuWanaweza kuwa wanakuja msibani huku wanapiga story fresh kabisa. Wakikaribia mita chache, wanasimama na kujipanga nani alianzishe kwenye kulia. Baada ya hapo ni kilio babu kubwa huku wakipokewa kwa kilio na waliowakuta, alafu usiku ni pombe na muziki kama kawaida.