Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #101
Ma tamthilia hayo...mtu anakesha kuangalia mi series ya movies bac kazi ni kuiga mauchafu uko, nimekuja kugundua baadhi ya wanawake wamejifunza mbinu nyingi za kuchepuka kupitia hayo ma series na matamthiria
Tupia vipicha kidogo tufanye assessment.Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Biashara matangazo na wahamasishaji wakubwa Ni wateja wao wanaowasifu huku wakiwa uchi
Wanaume nao wanauza ndogoKwa mwanamke utasema anauza mbunye yake haya kwa mwanaume nae auzankengele?
sinza ni kamtaa fulani hivi kahovyo..Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Hapana bhna na mkoan nasikia mnaigaMambo ya dasilamu
π³π³Wanaume nao wanauza ndogo
Ata pensi zipo za heshima lakini sio vile vinjunga wanavyo vaa ni booksa zileAnachokisema mleta mada, mimi pia huwa nakifikiria sana pindi ninapokutana na mtu aliyevaa namna hiyo.
Mimi kuvaa pensi inaishia kuwa exposed mbele ya mke wangu pekee.
Imagine wengine wanatembea nje huko kama hawa wanaozungumziwa hapa.
Hatukatai maendeleo ya usasa ila inapitiliza sana, tuchuje vya kufuata na kufanya, sio kila kitu cha kufuata na kukifanya
Watu ndio wanauharibusinza ni kamtaa fulani hivi kahovyo..
Upo powaa....Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Hili la wabongo kusema ''now day'' huwa linaniacha hoi kweli kweli.Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi hasa?
Hellow africa
kuna mavazi ya kuvaa ukiwa kwenye hadhara ya watu na mengine sio mavazi rasmi kabisa ya kuvaa kwa watu
Sinza now day unakuta mwanaume kavaa boksa na kaoshi anazulula mtaani wala hana hofu yoyote ukipita uku unakutana na wadada nao wanavaa ivyo ivyo wengine taiti tu kitu ambacho sicho sawa
Mtu unavaa ivyo kwa dhumuni lipi
Ok tusaidie kusema kwa ufasaha.Hili la wabongo kusema ''now day'' huwa linaniacha hoi kweli kweli.