Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Ila nmekwambia cheza kwenye basic needs....ambazo ni lazima mtu ahitaji.
Did it
1.research hitaj la jamii yako eneo husika..washindani wako etc
Did it
2.tafuta eneo lenye watu weng.mzunguko mkubwa
Did it
3.ongea ongea na watu wanaofanya hko kitu wakwambie ABCD
Did it
4.Fanya mahesab yako na anza na mtaj mdogo..nasisitiza anza na mtaj mdogo
In Plan (Not Done)
5.fanya maamuz..usiichungulie sana hela na usisikilize negatives from people..kaa mbali na negative pipo
😁😁
6.kuwa bahil..save money
Did it

80% Paper Clean.
 
Ni hapo sasa. Tusidanganyane. Hakuna mtu anayeweka siri ya namna anavyopata mkate wake hadhara. Hata awe mjinga kiasi gani. Hata makampuni makubwa kabisa hayatoi siri. Ndiyo maana kila siku nawaambia vijana wazingatie ule msemo wa ''ukisikia unaambiwa njoo huku nikuonyeshe fursa basi ujue wewe ndiyo fursa''.
 
Hapa nakazia kabisa...pale katumia kama 160m
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Unataka nawee akuunge kwenye grid ya taifa...tuulizen kwanza watoto wa mjin sio mnavamia tu kama dogo janja muanze kukohoa na kupungua uzito..(jokin)
Hivi kuna joking hapa[emoji848]...I hope uko serious, msaidie mwenzio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…