Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

POLE SANA kwa Vijana wamiliki wa La Chaz, ndugu Urio na Mkewe Hellen, Pole kwa wanywaji wote na majirani kwa taharuki.
Ina bima kwahiyo italipwa tu
Ala kumbe wana bima, nao hawalipi kirahisi rahisi lazima wajiridhishe, wiring ilikuwaje, chanzo, vifaa vya moto n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…