miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Naomba hata nisiseme. Na sisi tuko na changamoto nae. Hoping hatutafika kupelekana mbaliBora iteketee tu maana yule mchaga wa La chaaz kala hela zangu saana.
In life you win some... You lose some!
Nawataarifu kua tumefanikiwa kuokoa daftari la madeni...naona wadaiwa sugu wa la chaaz mlishaanza kushangilia
Ala kumbe wana bima, nao hawalipi kirahisi rahisi lazima wajiridhishe, wiring ilikuwaje, chanzo, vifaa vya moto n.kPOLE SANA kwa Vijana wamiliki wa La Chaz, ndugu Urio na Mkewe Hellen, Pole kwa wanywaji wote na majirani kwa taharuki.
Ina bima kwahiyo italipwa tu
DjHuwa unapiga kazi gani? Ni baunsa!! [emoji123]
Itabidi uhamie Board room sasa.totoz ndo basi tena
Waliweka culture (mbao Kama zote=samakisamaki) wanakiona Cha mtema kuni.Mambo ya insurance hayo
Karibu Sebuleni Pub jirani tuItabidi uhamie Board room sasa
Huo ukumbi kila siku unfanyiw matengenezo na minyaya loose kibao utaona inaning'inia ovyo
Mkuu inaonekana ni mkazi wa Gambushi na si Darisalama, kwa mkazi wa jiji la Makonda kama huijui La Chaaz bar basi ama una miaka 80Ni nini hicho umetaja hapo. Ni mtu anateketea kwa moto au ni kitabu?!
Sent using Jamii Forums mobile app
7M one day, hatariiii ulikua mnakunywa pombe za bei sanaaa na kampani ilikua kubwa sanaa, pole sana mkuuNimepunguza nusu hasara... Nlishapoteza milion 7 pale kwa kunywa mipombe yao tu. Napachukia La Chaaz balaa.
Nenda kawape pole mkuuDah so sad yani leo nilipanga baada ya mishe zangu jioni niende nikale gambe pale lakini mambo yashaharibikaa..
Dah hausemi uongo mkuu, unakumbushaPoleni ila Sinza haipo Dar es salaam
Sasa kama ni redio, umepata wpi picha?