G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Zipo nyingi hadi nimeshachoka ku post.Upo mkuu? Sijakusikia siku nyingi na Tanzia zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo nyingi hadi nimeshachoka ku post.Upo mkuu? Sijakusikia siku nyingi na Tanzia zako.
Akili haijanifikirisha hilo anisamehe bure tuuMbona hujafikiria labda ni dj... Maana ma dj ndio wanaenda bar kufanya kazi kwa msimu hahahahah
Anaitwa edward urioMmliki wake hasa ni nani? Maana Charles Hillary alivotoka BBC ndio nilisikia alifungua..na huyo mchaga mmliki aliuziwa au ?
Namshangaa huyo jamaa, jamaa kasema hela ilishia hapo kwa kunywa pombe inawezekana ni ukweli kabisa hajasema ni per daySijaona sehemu aliyosema iliisha ndani ya siku moja.inaweza ikawa alikua akienda mara kwa mara na kwa mahesabu yake 7m imeishia pale na inawezekana kabisa.
Bado ni ya kwao wakina hillaryMmliki wake hasa ni nani? Maana Charles Hillary alivotoka BBC ndio nilisikia alifungua..na huyo mchaga mmliki aliuziwa au ?
kataja ikulu,au wewe ni wale machizi fresh?
Hio ni hela ya Kunywea Maison hata hizo ulizotaja bado hazifikii[emoji23] maana Maison wana package hadi ya million12Ingekua Element au samakisamaki sawa,sio lachaz
Sebuleni pub si imekufa hyoKaribu Sebuleni Pub jirani tu
Inawezekana pia twin...lkn mambo ya insurance siku hizi ndo habaree ya mjiniNawaza sio Ushindani wa Kibiashara kweli? nikikumbuka ile sehemu maarufu ya karibu yao ilivyoungua wadau walisema La chaaz Imehusika.
Boardroom imefungwa nikasikia tena kuna kamkono kao.
Ha ha ha twin umechafukwaSababu Mama ako alikupata kwenye Kudanga unadhani kila mtu Mdangaji, Mbwa wewe!!!
ngoja ukae kwenye ignore list!!!!
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Nimepunguza nusu hasara... Nlishapoteza milion 7 pale kwa kunywa mipombe yao tu. Napachukia La Chaaz balaa.
Mmiliki ni mmoja au zaid ya mmoja?Anaitwa edward urio
Hapo tulianza kunywa wakat mzee charls anaendesha hadi akaingia hyo edward kuendesha yeye hiyo bar
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Huu mchezo unakula na meneja wa bima husikaSema hii michezo inabidi ucheze smart sana , unaweza kuambuliaa kupotea kwenye ramani kabisa
Ukanywe wapi sasa kitu kimeteketea[emoji848]La chaz ipo sehemu gani sinza? Na bia kubwa ni sh ngapi? Nataka niwe naenda kupoza koo.
Hili eneo lilikuwa shule bububu 2010, mmiliki ni huyo chalz hillary wa azamBado ni ya kwao wakina hillary
Wao walihamia kibamba hpo walimkodisha eddo
Alipabomoa na kupakarabati
Maumivu hapo zaidi ni kwa mpangishaji sasa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app