Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sijaona sehemu aliyosema iliisha ndani ya siku moja.inaweza ikawa alikua akienda mara kwa mara na kwa mahesabu yake 7m imeishia pale na inawezekana kabisa.
Tafsiri ilikuwa hii, ilinigharimu chini ya wiki moja kuteketeza hiyo pesa. Naamini kipindi kile nilikuwa nimerogwa coz soon baada ya hela kuisha nilisaga na rumba Hadi mwisho.
 
Anayeendesha biashara ni eduard david urio... namhurimia sana. Hela aliyoweka hapo si mchezo. Nikiitaja watu watasema naweka fix. Ila ni pesa ndefu. Najiuliza mbona ni juzi tu marekebisho yalifanyika. Sitaki kufikiria sana kama ni mambo ya bima aisee.
Wanyonge wanakimbilia bia huku Moto ukiendelea
 
Watu wengine kwa fix hamjambo aiseee so Million 7 kwa ajili ya kunywa tu?Uongo mwingine ni wa kipuuzi sana....Si bora unge ivest hiyo M7 shambani ukazalisha mazo au kununua kiwanja...
Kwa iyo unajiona wa maana sana kumpa huo ushauri......mi nasema bora iyo ela katumia kwenye pombe maana huko shambani angelia
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Mi nilipoteza 1m kimazingara pale huwezi amini
Watu wanapachukulia poa pale... Ukiingia saa tano usiku hutoki unajikuta imefika saa saa 12 asubuhi.. ukitoka mule lounge unaona nje wanafagia na msanii yule wa Nako2Nako Yuko counter ya nje anamalizia kuomba omba bia pale kwa Madon.

Wamasai na Mabaunsa wote wamelewa, Dada zangu Makahaba waliochunda nao wamelewa balaa.

Mjomba ako nlikuwa nakaa nyuma ya wanyama Hotel, naenda kupumzika tu jioni mapema niko naanzia Tegeta pale China Bar pametulia ikifika saa tano Niko La Chaaz humo ndio nafanya unyama.

Niliteketeza hela pale La Chaaz to the extent nikapachukia saana.
 
Amekiuka masharti. Ova.
Anayeendesha biashara ni eduard david urio... namhurimia sana. Hela aliyoweka hapo si mchezo. Nikiitaja watu watasema naweka fix. Ila ni pesa ndefu. Najiuliza mbona ni juzi tu marekebisho yalifanyika. Sitaki kufikiria sana kama ni mambo ya bima aisee.
 
Anayeendesha biashara ni eduard david urio... namhurimia sana. Hela aliyoweka hapo si mchezo. Nikiitaja watu watasema naweka fix. Ila ni pesa ndefu. Najiuliza mbona ni juzi tu marekebisho yalifanyika. Sitaki kufikiria sana kama ni mambo ya bima aisee.
Eduard na Davis ni mtu mmoja au ndugu?
 
Watu wanapachukulia poa pale... Ukiingia saa tano usiku hutoki unajikuta imefika saa saa 12 asubuhi.. ukitoka mule lounge unaona nje wanafagia na msanii yule wa Nako2Nako Yuko counter ya nje anamalizia kuomba omba bia pale kwa Madon.

Wamasai na Mabaunsa wote wamelewa, Dada zangu Makahaba waliochunda nao wamelewa balaa.

Mjomba ako nlikuwa nakaa nyuma ya wanyama Hotel, naenda kupumzika tu jioni mapema niko naanzia Tegeta pale China Bar pametulia ikifika saa tano Niko La Chaaz humo ndio nafanya unyama.

Niliteketeza hela pale La Chaaz to the extent nikapachukia saana.
Hahaaha kipindi naingia pale halikua danguro la malaya ila ile nyomi hapana kwa kweli......walipoanza kujaa malaya ikawa nyomi *2
 
Anayeendesha biashara ni eduard david urio... namhurimia sana. Hela aliyoweka hapo si mchezo. Nikiitaja watu watasema naweka fix. Ila ni pesa ndefu. Najiuliza mbona ni juzi tu marekebisho yalifanyika. Sitaki kufikiria sana kama ni mambo ya bima aisee.

Inawezekana ni mambo ya bima hayo aiseee
 
Back
Top Bottom