Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Naomba hata nisiseme. Na sisi tuko na changamoto nae. Hoping hatutafika kupelekana mbali
Mkuu funguka, inaonesha mmiliki msanii flani kwa baadhi ya comments humu japo naendaga kuna mishkak mitam cjuwagi nani mmiliki
 
Noise pollution
Duuuh, wamepigwa za kwenye pumb aisee hata nusu ya hela sidhani ka wamerudisha...ila ile location sio na walivyoanza liveband zile za djmix ndo waliharibu full makelele kasehem kenyewe kadogo
 
Back
Top Bottom