maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Hivi nini kisa cha board room kufungwa mkuuAu fitna za biashara...kule nako upinzani ni mkubwa, si unaona hata boardroom ilipigwa lokii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nini kisa cha board room kufungwa mkuuAu fitna za biashara...kule nako upinzani ni mkubwa, si unaona hata boardroom ilipigwa lokii
Isije ikawa boardroom kalipiza kisasi kifitina fitinaHivi nini kisa cha board room kufungwa mkuu
Upo mkuu? Sijakusikia siku nyingi na Tanzia zako.Nilikuwa naelekea hapo kupata za weekend acha nigeuze.
Noise pollutionHivi nini kisa cha board room kufungwa mkuu
Mkuu funguka, inaonesha mmiliki msanii flani kwa baadhi ya comments humu japo naendaga kuna mishkak mitam cjuwagi nani mmilikiNaomba hata nisiseme. Na sisi tuko na changamoto nae. Hoping hatutafika kupelekana mbali
Nimepunguza nusu hasara... Nlishapoteza milion 7 pale kwa kunywa mipombe yao tu. Napachukia La Chaaz balaa.
Ushachelewa imeungua....njoo tu huku mwananyamala manjunju ujifariji hata kwenye kigroceryLa chaz ipo sehemu gani sinza? Na bia kubwa ni sh ngapi? Nataka niwe naenda kupoza koo.
Ingekua Element au samakisamaki sawa,sio lachazWatu wengine kwa fix hamjambo aiseee so Million 7 kwa ajili ya kunywa tu?Uongo mwingine ni wa kipuuzi sana....Si bora unge ivest hiyo M7 shambani ukazalisha mazo au kununua kiwanja...
Umeambiwa imeungua au hujaelewa hapa watu wanaongelea nini??La chaz ipo sehemu gani sinza? Na bia kubwa ni sh ngapi? Nataka niwe naenda kupoza koo.
Angalia waswahili walivyo wapuuzi, pale kuna duka la gesi oryx linaonekana kabisa juu pia kuna nyaya za umeme hivyo viwili vikishika moto atatoka mtu hapo?yamekaa yanatoa mimacho tu kama vile yanaangalia sinema mlimani city 🙄🤦♂️
Duuuh, wamepigwa za kwenye pumb aisee hata nusu ya hela sidhani ka wamerudisha...ila ile location sio na walivyoanza liveband zile za djmix ndo waliharibu full makelele kasehem kenyewe kadogoNoise pollution
Sinza iko wapi mkuu[emoji23]Poleni ila Sinza haipo Dar es salaam
Hapo sawa kabisaa ila sio La Chaz kabisaa....Ingekua Element au samakisamaki sawa,sio lachaz
Kabisa asee, maana la chaz alikuwa anajaza balaaAu fitna za biashara...kule nako upinzani ni mkubwa, si unaona hata boardroom ilipigwa lokii
Niko eneo la tukio now..ni noma si kwa kiberiti hiki[emoji848]
Pole Simara, msamehe tu huyo mpuuzi mwingineSababu Mama ako alikupata kwenye Kudanga unadhani kila mtu Mdangaji, Mbwa wewe!!!
ngoja ukae kwenye ignore list!!!!
Ina maana moto bado unaendelea kuwaka mpaka sasa??Niko eneo la tukio now..ni noma si kwa kiberiti hiki[emoji848]
Sijaona sehemu aliyosema iliisha ndani ya siku moja.inaweza ikawa alikua akienda mara kwa mara na kwa mahesabu yake 7m imeishia pale na inawezekana kabisa.Ingekua Element au samakisamaki sawa,sio lachaz