Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.

Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza

Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.

Tufumbuane macho
Usisahau pia na bei za fremu zipo juu.
 
Siku ukiacha kuamini mambo ya kufikirika na kuanza kuamini mambo yenye uhalisia utakuwa mmoja wao.

sinza gani hio mbona mnapenda kushadadai vitu kwa kufata mkumbo??

Hilo duka liko mahali gani hapo Sinza?

Acheni stori za vijiweni nyie wakoswa kazi!

Hamna duka la namna hiyo Sinza
Nakazia hizo comments hapo juu, maduka ya sinza yanauza sana na yanauza kwa wadosi wa middle class ambao hawawezi ku shop masaki na ulaya lakini pia hawapendi purukushani za kariakoo,
Lakini pia ni biashara za watu wanaojitambua na wamewekeza kwa online market
 
Ukiielewa hii picha utaelewa na vitu vingine
1725973766829.jpg
 
Maisha yana siri nyingi, kuna mambo mengi. Ukiacha mambo ya kimjini. Kuna watu wana biashara zaidi ya 3. Ukiona hiyo huenda kuna ambazo zinamwingizia pesa nyingi zaidi. Kuweza kuwa na maisha ya juu. Watu wanachakarika acha kabisa, maisha mazuri yana gharama zake.
 
Maisha yana siri nyingi, kuna mambo mengi. Ukiacha mambo ya kimjini. Kuna watu wana biashara zaidi ya 3. Ukiona hiyo huenda kuna ambazo zinamwingizia pesa nyingi zaidi. Kuweza kuwa na maisha ya juu. Watu wanachakarika acha kabisa, maisha mazuri yana gharama zake.
Usitamani Maisha ya mtu yaani usitamani Maisha ya boss wako ni hatari Sana
 
Back
Top Bottom