Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Maisha yana siri nyingi, kuna mambo mengi. Ukiacha mambo ya kimjini. Kuna watu wana biashara zaidi ya 3. Ukiona hiyo huenda kuna ambazo zinamwingizia pesa nyingi zaidi. Kuweza kuwa na maisha ya juu. Watu wanachakarika acha kabisa, maisha mazuri yana gharama zake.
Ila mjini kuna mambo mengi luv, ukifatilia sana unaishia kuji stress tyuuh

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupii ni kwamba ni maduka machache utakuta sinza ambayo hayana branch sehemu nyingne

Lakini mengi ya maduka hayo ya nguo, viatu hasa Yana matawi yake kinondoni kariakoo au mwenge au sinza hiyo hiyo.....

Lakini mnavyodanganyana sasa mara sijui ndo wanadangia sjui nn kama ni mtu mmoja basi hawawez kuwa wote, au wachache hawawez kuwa wote!!


Sinza home kwa wajanja 😂 Dalali wa mjini
 
Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.

Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza

Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.

Tufumbuane macho
Hizo za kawaida hapa souz kuna watz wana vidukq wameweka viata vya kuchumpa hvbtimerland, na pipi na vitu vidogo vidogo lkn bwana nje anapaka audi mpyq kali sana hiko kinakuwa kama kituo chake cha madili wauzq madawa ndio zao hzo akikamatwa anasema nina duka.
 
Back
Top Bottom