The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Ingia online platforms zipo nyingi Pana pesa unapata umelala kitandaniold money naisikiaga sana hii kitu, naomba unifafanulie pamoja na mifano kwa bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia online platforms zipo nyingi Pana pesa unapata umelala kitandaniold money naisikiaga sana hii kitu, naomba unifafanulie pamoja na mifano kwa bongo
Umejibu swali kwa kutumia akili kubwa mimi nimekuelewa sana, kuna watu hata uwaeleweshe vipi hii hawawezi kuielewaOld money
watu wa ungaKwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.
Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza
Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.
Tufumbuane macho
Wewe fanya transfer kwenda Swahili utaelewa yaan hujui old money ni nini pesa zimekaa zaidi ya miaka 100 that's old wewe unazaliwa unazikutaold money naisikiaga sana hii kitu, naomba unifafanulie pamoja na mifano kwa bongo
Akikula kichwa kichwa kimoja analipwa 50M.Endelea kufuatilia 'WASIOJULIKANA'
Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.
Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza
Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.
Tufumbuane macho
Thank you mwamba.Umejibu swali kwa kutumia akili kubwa mimi nimekuelewa sana, kuna watu hata uwaeleweshe vipi hii hawawezi kuielewa
Wataingia tu kwenye 18 ni swala la muda tu.Bado Adolf Muteba Chilawila na Chachoo Mbara.
😂😂😂😂😂😂😂Daaah....Poor Brain ana biashara ya hivyo
Utuambie tshrt nne na raba nane zinakulipaje na china unaenda 😂😂😂😂😂😂😂😂Daaah....
Yaani licha ya kupoa hvi ila mnaamua tuu kuni chokonoa daaah 😂😂😂😂
Tena unavurugwa haswaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sana luv ake. Ni kuishi maisha yako ma kuenjoy vile uwezavyo. Mjini mambo ni mengi sana unaweza vurugwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Aggrey yupi?Upo tayari kupata kigugumizi kama cha agrey?
AiseeKatika kesi ya kukamatwa skaba skuba alikutwa askofu mwenye makanisa lukuki akiwa ni nguli wa uingizaji na uuzaji wa madaww ya kulevya