Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Pengine ni front offices tu za shughuli zao zisizojulikana
 
Pitia line yake ya simu,utafahamu mengi
 
Katika kesi ya kukamatwa skaba skuba alikutwa askofu mwenye makanisa lukuki akiwa ni nguli wa uingizaji na uuzaji wa madaww ya kulevya
Skaba scuba unamjua au unachafua watu tu?
 
Maisha ni mipango kijana kuna watu wanaenda kazini saa 12 jioni na wanaishi kuliko wewe unaewahi saa 12
 
Unakuta MTU Ana kosta zake 2 na biashara ya kuuza nguo online ashindwe kupanga frem ya kuzugia nankupata michongo mjini...Kuna mshikaji Hana show room Ila anauza magari anagiza magari likiwa melini ameshauza yaani yeye FAIDA ya laki tano anauza unataka kumchunguza utamweza..
 
Mkuu hapa mjiiini watu wana michongo yao kama wasipokufungulia code huwezi kuelewa.
Kuna michezo fulani hapa wanaifanya watu mtu kuvuta dollar laki moja laki mbili iikitiki hadi wakati mwingine milioni kawaida.
Nilikuwa nadhani wanaifanya weusi tu ajabu nikaja kushangaa hadi wahindi tena si wanaume tu mpaka akina mama wa kihindi.
Sasa wafanya michongo hiyo ukikutana naye wewe unahisi ana biashara fulani kumbe siyo hata kidogo ni geresha.
Mjini watu wanaishi kwa code aisee na roho ngumu.
 
Umbea tu, hakuna duka la hivyo Sinza..!!
 
Ndio ni
Hivi pale mnapataje faida. Naona maduka mengi sana. Si pale gorofani!?
pale ghorofani

Faida inapatikana tuu boss,

Inategemea unauza nguo za aina gani, material, zinatokea wapi, unaenda na fashion inavyobadilika, wateja wako, namna unavyo jitangaza na bei

Mfano unakuta Kuna gauni linauzwa laki tatu kutoka turkey..... Utakuta Turkey ulinunua maybe kwa supplier ama dukan

Mfano ukichukua kwa supplier ujue bei inakuwa chini kidogo.... Ukieka gharama zako za kusafirisha plus ushuru, carriage inward, labour offloading, unajua ukifka huku utauz kwa shngp baada ya kupiga hesabu!!

Ko faida inaonekn japo utakuta sio Kila siku Ila ukiuza basi unapata kitu!
 
Ok shukran sana kwa mrejesho barikiwa sana kuna siku nitakuja kukuungisha. Nikijua floor uliyopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…