Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Sinza duka linafunguliwa saa 5, kuna T shirt 4, Jinsi 3 ila ndani full AC, Wifi, Dstv, Nje imepaki ndinga ya milioni 50+, wenzetu wanafanye?

Tuache mentallity za kuona wenye maduka ni wauza ngada .
Maduka ya Sinza mengi wanauza "online" , dukani bossi yupo instagram 24/7, anaposti ukiona unalipa namba , kuna boda wa delivery na ya usafiri unalipa.

Haya yote ndio akina Trump walianza kabla wewe hujazaliwa huko Namanyere, huhitaji kwend adukani , unaokoa muda na gharama.
Flana Moja Sinza inauzwa Tshs 50,000 na kwa siku anauza kama 4 tu, anauza pochi na viatu hao ni waliokuja dukani ila wa online ni wengi.
Vijana wamekata tamaa ya maisha. Kilichobaki ni kuona waliofanikiwa ni wauza unga.
 
Kwa ufupii ni kwamba ni maduka machache utakuta sinza ambayo hayana branch sehemu nyingne

Lakini mengi ya maduka hayo ya nguo, viatu hasa Yana matawi yake kinondoni kariakoo au mwenge au sinza hiyo hiyo.....

Lakini mnavyodanganyana sasa mara sijui ndo wanadangia sjui nn kama ni mtu mmoja basi hawawez kuwa wote, au wachache hawawez kuwa wote!!


Sinza home kwa wajanja 😂 Dalali wa mjini
Mkuu hicho ulichoandika kuhusu branch ni uongo mimi nafahamiana na wengi mno hapo sinza
 
Usipende kuongelea watu usio wajua tena kwenye serious allegations.
wewe umechanganyikiwa nini ...nani hamjui skaba shkuba wakati anakamatwa 2014 na kupelekwa marekani kusomewa kesi ya mtandao wa usafirishaji wa madawa ya kulevya ulikuwa wapi?
 
wewe umechanganyikiwa nini ...nani hamjui skaba shkuba wakati anakamatwa 2014 na kupelekwa marekani kusomewa kesi ya mtandao wa usafirishaji wa madawa ya kulevya ulikuwa wapi?
Shikuba na scaba scuba ni watu wawili tofauti. Shikuba ndio huyo wa madawa. Scabs scuba kama humjui kaulize Kigamboni kuanzia ferry hadi kimbiji huko.
 
Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.

Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza

Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.

Tufumbuane macho

Bila kapicha, ni uzushi
 
Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.

Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza

Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.

Tufumbuane macho
Nimerudi, hii rudi yangu ni ya kukujulisha nimepata pikipiki kali toka kwa bosi Trump mkata misaada, pikipiki hii ni zile za chini unazoziona kwenye muvi ila yangu imekuja na full AC, kamera, coolbox na vikolombwezo vipya hadi raha, pitapita Sinza utaiona, ruksa kupiga picha.
download.jpeg
 
Mbona hayo maduka ni mengi sana china, online business.
 
Kwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.

Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza

Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.

Tufumbuane macho
Waige uchanike msamba
 
Nipo Sinza Vatican hapa mchizi anauza viatu vya kwenda kila siku duka lipo wazi alafu wateja hakuna.

Sku moja nilienda kuulizia Dawa ya timberland boots akaniambia daah kaka hiyo Sina labda mliman city hapa zimeisha.

Mchizi Hana stress Wala nini
Sisi ambao hatuna maduka sinza ndio tuna stress kwanini wana wanamaduka Sisi hatuna.

Oyaaaaa ngalia mbeleee wewe Dunia haina Huruma.
 
Back
Top Bottom