Sio Aibu kwa Tanzania Kuagiza Chakula, Sukari, Mafuta ya Kula,Wakati Tuna Ardhi na Vyanzo Lukuki vya Maji? BigUP Sana Awamu6 Kusisimua Kilimo kwa BBT!

Sio Aibu kwa Tanzania Kuagiza Chakula, Sukari, Mafuta ya Kula,Wakati Tuna Ardhi na Vyanzo Lukuki vya Maji? BigUP Sana Awamu6 Kusisimua Kilimo kwa BBT!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
Screenshot_20240811-120507_Rifaly.jpg

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala elimishi za kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe, swali la leo, hivi sio aibu sana kwa nchi yetu Tanzania kuagiza chakula kama mchele, ngano, sukari na mafuta ya kula, wakati tuna ardhi kubwa ya kilimo yenye udongo wenye rutuba na vyanzo lukuki vya maji kuweza kulisha Africa na dunia, tunakwama wapi?!.

Ila kwa niliyo yashuhudia kwenye Nane kitaifa Dodoma, naomba kutoa BigUP sana kwa Rais Samia na Waziri Bashe, na Awamu yake ya 6 kwa kusisimua kilimo kwa BBT . Je sasa Tanzania ndio tunakwenda kulisha Africa na dunia, au itakuwa ni hadithi zile zile za Kilimo Kwanza, ASRP, Kilimo cha kufa na kupona, Siasa ni Kilimo?.

Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, na asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo, ila wakulima, wafugaji na wavuvi ndilo kundi kubwa la watu wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea. Kama nchi yetu inategemea kilimo, kwanini wakulima wetu ni masikini wa kutupwa wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku?!.

Tangu tumepata uhuru, ile mwaka 1961, Tanzania tulikuwa na maadui watatu, Ujinga, Umasikini na Maradhi. Leo miaka 60 ya uhuru, maadui watatu hao bado wapo, ila pia sasa tumeongeza maadui wengine wawili, rushwa na ufisadi!.

Wakati tunapata uhuru, tumepata uhuru wakati mmoja nan chi za Tiger, Korea Kusini, Taiwan, Indonesia, Singapore, Malaysia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi. Ukifika kwenye nchi hizi, ukaambiwa tulipata nazo uhuru, wao wakina with nothing, bila chochote, sisi tukiwa with everything (na kila kitu), ukilinganisha wenzetu walipo na sisi tulipo, kama una machozi ya karibu, unaweza kulia!,(a cry for my beloved country).

Ukiangalia sisi Tanzania tuna nini na wenzetu wana nini, kiukweli, sisi Tanzania tumejaaliwa kila kitu cha kutuwezesha kuendelea, na wenzetu tuliopata nao uhuru, hawana hata nusu ya vitu tulivyonavyo.

Tanzania tumejaaliwa aridhi kubwa ya kutosha yenye udongo wenye rutuba kuotesha kila zao tunalohitaji kwa chakula na ziada kuuza nje. Tanzania tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji vya kuendesha schemes za kilimo cha umwagiliaji. Ni aibu kwa Tanzania kuagiza chakula, mchele, unga wa ngano, sukari na mafuta ya kupikia!.

Enzi za Nyerere, tulifuata mfumo wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, tukitumia kauli mbiu ya “ili tuendelee tunahitaji vitu vine, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, “fedha sii msingi, fedha ni matokeo”. Vitu hivyo vyote vinne, vilikuwepo toka enzi ya Nyerere, sasa ni nini kilitufanya tusiendelee?!.

Tukaanzisha program mbalimbali za kilimo kwa kuanza na operesheni vijiji, tukaja siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kuna wakati tulikuwa tunajitosheleza kwa ngano. Mimi nimesoma darasa la kwanza mpaka la tatu, shuleni tukila bulga ya bure!.

Kama tuna kila kitu cha kutufanya tuendelee, kwanini Tanzania bado ni masikini?!.

Tulifanya kosa moja kubwa kusema fedha sio msingi wa maendeleo, fedha ni matokeo, ukweli ni kwamba fedha ndio kila kitu!.

Wakati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anangatuka katika uongozi, alikubali makosa na kusema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”, japo Mwalimu Nyerere hakusema kosa lenyewe ni nini, lakini kosa kubwa Tanzania tuilolifanya ambalo limepelekea kuendelea kuishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, ni kudharau fedha, kwenye uwekezaji kwenye kilimo.

Kilimo cha jembe la mkono, ni kilimo cha kujikimu tuu, hakiwezi kumkomboa mkulima kutoka katika lindi la umasikini, sambamba na kilimo cha kutegemea mvua. Suluhisho la ukombozi wa kilimo ni kilimo biashara cha kutumia zana bora na za kisasa za kilimo.

Kwenye Nane Nane hii, nimeshuhudia mamia ya zana bora na za kisasa za kilimo zikiongozwa na kampuni ya Agricom Africa ambayo ambayo sio tuu imemwaga ma trekta ya kutosha, bali pia inajenga kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kwa ushirikiano na kampuni ya Mahendra ya India. Huu sasa ndio ukombozi wa kweli wa sekta ya kilimo. Hebu shuhudia, kuona ni kuamini

View: https://youtu.be/TF5CgsG8NcA?si=Tyx5GwMcowBOdrHW

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kujenga uchumi jumuishi unaowainua wananchi wote na kuwawezesha wananchi kunufaika ipasavyo kupitia uwekezaji unaofanywa katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Rais Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane yaliyofanyika katika uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Rais Dkt. Samia amesema Serikali imeongeza bajeti kwa ajili ya kilimo, mifugo na uvuvi ili uwekezaji huo ulete mageuzi makubwa kwa kuongeza maeneo ya umwagiliaji, matumizi ya mbolea, uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora, kuimarisha huduma za ugani, kuboresha miundombinu ya kuhudumia mifugo pamoja na upatikanaji wa huduma za ugani, chanjo, majosho na masoko.

Rais Dkt. Samia pia amesema serikali imeendelea na ujenzi na ukarabati wa viwanda vya uchakataji wa mazao ya mifugo, ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya uvuvi, ukuzaji wa viumbe maji na utafutaji wa masoko na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa wavuvi na wafugaji.

Vile vile, Rais Dkt. Samia amesema lengo la kujenga uchumi jumuishi, ni kuongeza tija katika sekta za uzalishaji na kupunguza umasikini wa kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na kutumia sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutengeneza ajira Aidha, Rais Dkt. Samia amesema jitihada hizi, pamoja na kusaidia Tanzania kuhakikisha upatikanaji wa chakula, pia zina mchango katika Pato la Taifa na uchumi kwa ujumla.

Hali kadhalika, Rais Dkt. Samia amesisitiza kuwa Serikali inalenga kuongeza bajeti katika utafiti ndio maana maabara na vituo vya utafiti vimezinduliwa ili kuwezesha nchi kufikia masoko ya kimataifa kupitia tafiti.

Ni aibu kwa nchi yenye mabonde ya mpunga ya kutosha kulisha nchi za Afrika Mashariki, kuendelea kuagiza mchele kutoka nje!. Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutoka kwa kilimo cha miwa, kuagiza sukori kutoka nje ya nchi!.

Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutosha kwa kilimo cha zao la chikichi na alizeti, kuendelea kuagiza mafuta ya kula kutoka nje!.

Nimalizie kwa Pongezi kwa Rais Samia, na waziri wake Hussein Bashe kwa uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na mpango kamambe wa BBT, mpango huu ukisimamiwa kikamilifu, unakwenda kulitoa aibu taifa letu kuagiza mazao ya chakula kutoka nje.

Mungu Mbariki Rais Samia aweze,
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
 
BBT ni kilimo cha majukwaani tu hicho. Kilimo hakihitaji mbwembwe za akina Bashe.

Ili kukuza kilimo, serikali ilipaswa kuwekeza nguvu ktk kujenga viwanda ama kuruhusu wawekezaji waje kujenga viwanda vya kusindika mazao ya kilimo.

Wakulima wanalima lkn wanaingia hasara ktk soko
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
View attachment 3066724
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala elimishi za kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe, swali la leo, hivi sio aibu sana kwa nchi yetu Tanzania kuagiza chakula kama mchele, ngano, sukari na mafuta ya kula, wakati tuna ardhi kubwa ya kilimo yenye udongo wenye rutuba na vyanzo lukuki vya maji kuweza kulisha Africa na dunia, tunakwama wapi?!.

Ila kwa niliyo yashuhudia kwenye Nane kitaifa Dodoma, naomba kutoa BigUP sana kwa Rais Samia na Waziri Bashe, na Awamu yake ya 6 kwa kusisimua kilimo kwa BBT . Je sasa Tanzania ndio tunakwenda kulisha Africa na dunia, au itakuwa ni hadidhi zile zile za Kilimo Kwanza, ASRP, Kilimo cha kufa na kupona, Siasa ni Kilimo?.

Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, na asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo, ila wakulima, wafugaji na wavuvi ndilo kundi kubwa la watu wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea. Kama nchi yetu inategemea kilimo, kwanini wakulima wetu ni masikini wa kutupwa wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku?!.

Tangu tumepata uhuru, ile mwaka 1961, Tanzania tulikuwa na maadui watatu, Ujinga, Umasikini na Maradhi. Leo miaka 60 ya uhuru, maadui watatu hao bado wapo, ila pia sasa tumeongeza maadui wengine wawili, rushwa na ufisadi!.

Wakati tunapata uhuru, tumepata uhuru wakati mmoja nan chi za Tiger, Korea Kusini, Taiwan, Indonesia, Singapore, Malaysia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi. Ukifika kwenye nchi hizi, ukaambiwa tulipata nazo uhuru, wao wakina with nothing, bila chochote, sisi tukiwa with everything (na kila kitu), ukilinganisha wenzetu walipo na sisi tulipo, kama una machozi ya karibu, unaweza kulia!,(a cry for my beloved country).

Ukiangalia sisi Tanzania tuna nini na wenzetu wana nini, kiukweli, sisi Tanzania tumejaaliwa kila kitu cha kutuwezesha kuendelea, na wenzetu tuliopata nao uhuru, hawana hata nusu ya vitu tulivyonavyo.

Tanzania tumejaaliwa aridhi kubwa ya kutosha yenye udongo wenye rutuba kuotesha kila zao tunalohitaji kwa chakula na ziada kuuza nje. Tanzania tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji vya kuendesha schemes za kilimo cha umwagiliaji. Ni aibu kwa Tanzania kuagiza chakula, mchele, unga wa ngano, sukari na mafuta ya kupikia!.

Enzi za Nyerere, tulifuata mfumo wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, tukitumia kauli mbiu ya “ili tuendelee tunahitaji vitu vine, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, “fedha sii msingi, fedha ni matokeo”. Vitu hivyo vyote vinne, vilikuwepo toka enzi ya Nyerere, sasa ni nini kilitufanya tusiendelee?!.

Tukaanzisha program mbalimbali za kilimo kwa kuanza na operesheni vijiji, tukaja siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kuna wakati tulikuwa tunajitosheleza kwa ngano. Mimi nimesoma darasa la kwanza mpaka la tatu, shuleni tukila bulga ya bure!.

Kama tuna kila kitu cha kutufanya tuendelee, kwanini Tanzania bado ni masikini?!.

Tulifanya kosa moja kubwa kusema fedha sio msingi wa maendeleo, fedha ni matokeo, ukweli ni kwamba fedha ndio kila kitu!.

Wakati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anangatuka katika uongozi, alikubali makosa na kusema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”, japo Mwalimu Nyerere hakusema kosa lenyewe ni nini, lakini kosa kubwa Tanzania tuilolifanya ambalo limepelekea kuendelea kuishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, ni kudharau fedha, kwenye uwekezaji kwenye kilimo.

Kilimo cha jembe la mkono, ni kilimo cha kujikimu tuu, hakiwezi kumkomboa mkulima kutoka katika lindi la umasikini, sambamba na kilimo cha kutegemea mvua. Suluhisho la ukombozi wa kilimo ni kilimo biashara cha kutumia zana bora na za kisasa za kilimo.

Kwenye Nane Nane hii, nimeshuhudia mamia ya zana bora na za kisasa za kilimo zikiongozwa na kampuni ya Agricom Africa ambayo ambayo sio tuu imemwaga ma trekta ya kutosha, bali pia inajenga kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kwa ushirikiano na kampuni ya Mahendra ya India. Huu sasa ndio ukombozi wa kweli wa sekta ya kilimo.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kujenga uchumi jumuishi unaowainua wananchi wote na kuwawezesha wananchi kunufaika ipasavyo kupitia uwekezaji unaofanywa katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Rais Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane yaliyofanyika katika uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Rais Dkt. Samia amesema Serikali imeongeza bajeti kwa ajili ya kilimo, mifugo na uvuvi ili uwekezaji huo ulete mageuzi makubwa kwa kuongeza maeneo ya umwagiliaji, matumizi ya mbolea, uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora, kuimarisha huduma za ugani, kuboresha miundombinu ya kuhudumia mifugo pamoja na upatikanaji wa huduma za ugani, chanjo, majosho na masoko.

Rais Dkt. Samia pia amesema serikali imeendelea na ujenzi na ukarabati wa viwanda vya uchakataji wa mazao ya mifugo, ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya uvuvi, ukuzaji wa viumbe maji na utafutaji wa masoko na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa wavuvi na wafugaji.

Vile vile, Rais Dkt. Samia amesema lengo la kujenga uchumi jumuishi, ni kuongeza tija katika sekta za uzalishaji na kupunguza umasikini wa kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na kutumia sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutengeneza ajira Aidha, Rais Dkt. Samia amesema jitihada hizi, pamoja na kusaidia Tanzania kuhakikisha upatikanaji wa chakula, pia zina mchango katika Pato la Taifa na uchumi kwa ujumla.

Hali kadhalika, Rais Dkt. Samia amesisitiza kuwa Serikali inalenga kuongeza bajeti katika utafiti ndio maana maabara na vituo vya utafiti vimezinduliwa ili kuwezesha nchi kufikia masoko ya kimataifa kupitia tafiti.

Ni aibu kwa nchi yenye mabonde ya mpunga ya kutosha kulisha nchi za Afrika Mashariki, kuendelea kuagiza mchele kutoka nje!. Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutoka kwa kilimo cha miwa, kuagiza sukori kutoka nje ya nchi!.

Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutosha kwa kilimo cha zao la chikichi na alizeti, kuendelea kuagiza mafuta ya kula kutoka nje!.

Nimalizie kwa Pongezi kwa Rais Samia, na waziri wake Hussein Bashe kwa uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na mpango kamambe wa BBT, mpango huu ukisimamiwa kikamilifu, unakwenda kulitoa aibu taifa letu kuagiza mazao ya chakula kutoka nje.

Mungu Mbariki Rais Samia aweze,
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Mapinduzi ya kilimo Chawa.

Tanzania haina kilimo cha maana na kinacho tufanya tuonekane tunalima ni kwa sababu tunazungukwa na nchi zote zinazo lima lima, Hatuna uwezo wa kulisha nchi moja full.

Hakuna Mapinduzi ya kilimo bila mapinduzi ya elimu, vipi usha wahi tembelea shule zilizo kuwa za mchepuo wa kilimo? usha wahi zitembelea hivi karibuni ujioneee zilivyo kwa sasa? sasa hayo mageuzi yanatoka wapi?

Usha wahi tembelea vyuo vya kati vya kilimo uone vilivyo na hali mbaya? majengo yamekaa kama mabaki ya kambi za wapiganaji wa vita za Veitanam?Hayo mageuzi yanatoka wapi kama vyuo vya kilimo viko vile?

Kanda ya ziwa Pamba inashuka uzalishaju kila mwaka na watu walisha acha kulima hilo unalijua?Kahawa isha kufa na kuzikwa Kilimanjaro na Arusha, Unazungumzia mapinduzi yapi?

Kule Arusha yale majengo ya TFA kwa sasa ni madula ya vitu kutoka nje unazungumzia kilimo kipi?

Unajua wakulima wengi nikiwemo hata mimi huwa napambana kulima mwanzo mwisho hakuna hata asilimia 1 ya sapoti naipata kutoka Serikalini?

Kuna mageuzi ya kilimo bila mageuzi ya viwanda vya kilimo vikiwemo vya kusindika na pia vya kuzalisha pembejeo?


Usha wahi tembelea Super Market kubwa uone vyakula vingi vinatoka nje?

Inaonekana nyie CCM mna definition yenu kuhusu mageuzi ya kilimo.
 
BBT ni kilimo cha majukwaani tu hicho. Kilimo hakihitaji mbwembwe za akina Bashe.

Ili kukuza kilimo, serikali ilipaswa kuwekeza nguvu ktk kujenga viwanda ama kuruhusu wawekezaji waje kujenga viwanda vya kusindika mazao ya kilimo.

Wakulima wanalima lkn wanaingia hasara ktk soko
Kilimo Chawa, hawa CCM wana definition zao kuhusu mageuzi ya kilimo
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
View attachment 3066724
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala elimishi za kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe, swali la leo, hivi sio aibu sana kwa nchi yetu Tanzania kuagiza chakula kama mchele, ngano, sukari na mafuta ya kula, wakati tuna ardhi kubwa ya kilimo yenye udongo wenye rutuba na vyanzo lukuki vya maji kuweza kulisha Africa na dunia, tunakwama wapi?!.

Ila kwa niliyo yashuhudia kwenye Nane kitaifa Dodoma, naomba kutoa BigUP sana kwa Rais Samia na Waziri Bashe, na Awamu yake ya 6 kwa kusisimua kilimo kwa BBT . Je sasa Tanzania ndio tunakwenda kulisha Africa na dunia, au itakuwa ni hadithi zile zile za Kilimo Kwanza, ASRP, Kilimo cha kufa na kupona, Siasa ni Kilimo?.

Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, na asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo, ila wakulima, wafugaji na wavuvi ndilo kundi kubwa la watu wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea. Kama nchi yetu inategemea kilimo, kwanini wakulima wetu ni masikini wa kutupwa wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku?!.

Tangu tumepata uhuru, ile mwaka 1961, Tanzania tulikuwa na maadui watatu, Ujinga, Umasikini na Maradhi. Leo miaka 60 ya uhuru, maadui watatu hao bado wapo, ila pia sasa tumeongeza maadui wengine wawili, rushwa na ufisadi!.

Wakati tunapata uhuru, tumepata uhuru wakati mmoja nan chi za Tiger, Korea Kusini, Taiwan, Indonesia, Singapore, Malaysia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi. Ukifika kwenye nchi hizi, ukaambiwa tulipata nazo uhuru, wao wakina with nothing, bila chochote, sisi tukiwa with everything (na kila kitu), ukilinganisha wenzetu walipo na sisi tulipo, kama una machozi ya karibu, unaweza kulia!,(a cry for my beloved country).

Ukiangalia sisi Tanzania tuna nini na wenzetu wana nini, kiukweli, sisi Tanzania tumejaaliwa kila kitu cha kutuwezesha kuendelea, na wenzetu tuliopata nao uhuru, hawana hata nusu ya vitu tulivyonavyo.

Tanzania tumejaaliwa aridhi kubwa ya kutosha yenye udongo wenye rutuba kuotesha kila zao tunalohitaji kwa chakula na ziada kuuza nje. Tanzania tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji vya kuendesha schemes za kilimo cha umwagiliaji. Ni aibu kwa Tanzania kuagiza chakula, mchele, unga wa ngano, sukari na mafuta ya kupikia!.

Enzi za Nyerere, tulifuata mfumo wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, tukitumia kauli mbiu ya “ili tuendelee tunahitaji vitu vine, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, “fedha sii msingi, fedha ni matokeo”. Vitu hivyo vyote vinne, vilikuwepo toka enzi ya Nyerere, sasa ni nini kilitufanya tusiendelee?!.

Tukaanzisha program mbalimbali za kilimo kwa kuanza na operesheni vijiji, tukaja siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kuna wakati tulikuwa tunajitosheleza kwa ngano. Mimi nimesoma darasa la kwanza mpaka la tatu, shuleni tukila bulga ya bure!.

Kama tuna kila kitu cha kutufanya tuendelee, kwanini Tanzania bado ni masikini?!.

Tulifanya kosa moja kubwa kusema fedha sio msingi wa maendeleo, fedha ni matokeo, ukweli ni kwamba fedha ndio kila kitu!.

Wakati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anangatuka katika uongozi, alikubali makosa na kusema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”, japo Mwalimu Nyerere hakusema kosa lenyewe ni nini, lakini kosa kubwa Tanzania tuilolifanya ambalo limepelekea kuendelea kuishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, ni kudharau fedha, kwenye uwekezaji kwenye kilimo.

Kilimo cha jembe la mkono, ni kilimo cha kujikimu tuu, hakiwezi kumkomboa mkulima kutoka katika lindi la umasikini, sambamba na kilimo cha kutegemea mvua. Suluhisho la ukombozi wa kilimo ni kilimo biashara cha kutumia zana bora na za kisasa za kilimo.

Kwenye Nane Nane hii, nimeshuhudia mamia ya zana bora na za kisasa za kilimo zikiongozwa na kampuni ya Agricom Africa ambayo ambayo sio tuu imemwaga ma trekta ya kutosha, bali pia inajenga kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kwa ushirikiano na kampuni ya Mahendra ya India. Huu sasa ndio ukombozi wa kweli wa sekta ya kilimo.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kujenga uchumi jumuishi unaowainua wananchi wote na kuwawezesha wananchi kunufaika ipasavyo kupitia uwekezaji unaofanywa katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Rais Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane yaliyofanyika katika uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Rais Dkt. Samia amesema Serikali imeongeza bajeti kwa ajili ya kilimo, mifugo na uvuvi ili uwekezaji huo ulete mageuzi makubwa kwa kuongeza maeneo ya umwagiliaji, matumizi ya mbolea, uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora, kuimarisha huduma za ugani, kuboresha miundombinu ya kuhudumia mifugo pamoja na upatikanaji wa huduma za ugani, chanjo, majosho na masoko.

Rais Dkt. Samia pia amesema serikali imeendelea na ujenzi na ukarabati wa viwanda vya uchakataji wa mazao ya mifugo, ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya uvuvi, ukuzaji wa viumbe maji na utafutaji wa masoko na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa wavuvi na wafugaji.

Vile vile, Rais Dkt. Samia amesema lengo la kujenga uchumi jumuishi, ni kuongeza tija katika sekta za uzalishaji na kupunguza umasikini wa kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na kutumia sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutengeneza ajira Aidha, Rais Dkt. Samia amesema jitihada hizi, pamoja na kusaidia Tanzania kuhakikisha upatikanaji wa chakula, pia zina mchango katika Pato la Taifa na uchumi kwa ujumla.

Hali kadhalika, Rais Dkt. Samia amesisitiza kuwa Serikali inalenga kuongeza bajeti katika utafiti ndio maana maabara na vituo vya utafiti vimezinduliwa ili kuwezesha nchi kufikia masoko ya kimataifa kupitia tafiti.

Ni aibu kwa nchi yenye mabonde ya mpunga ya kutosha kulisha nchi za Afrika Mashariki, kuendelea kuagiza mchele kutoka nje!. Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutoka kwa kilimo cha miwa, kuagiza sukori kutoka nje ya nchi!.

Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutosha kwa kilimo cha zao la chikichi na alizeti, kuendelea kuagiza mafuta ya kula kutoka nje!.

Nimalizie kwa Pongezi kwa Rais Samia, na waziri wake Hussein Bashe kwa uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na mpango kamambe wa BBT, mpango huu ukisimamiwa kikamilifu, unakwenda kulitoa aibu taifa letu kuagiza mazao ya chakula kutoka nje.

Mungu Mbariki Rais Samia aweze,
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Tembelea vyuo vya mifugo uone vilivyo choka , eti mageuzi ya kilimo,
 
We need facts and figure!
Can you give us price of every products in market? Lets make comparison from 2021 Vs 2024!

Lets start with Sugar price 2021 Vs 2024
Rice price 2021 Vs 2024
List goes on……..
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
View attachment 3066724
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala elimishi za kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe, swali la leo, hivi sio aibu sana kwa nchi yetu Tanzania kuagiza chakula kama mchele, ngano, sukari na mafuta ya kula, wakati tuna ardhi kubwa ya kilimo yenye udongo wenye rutuba na vyanzo lukuki vya maji kuweza kulisha Africa na dunia, tunakwama wapi?!.

Ila kwa niliyo yashuhudia kwenye Nane kitaifa Dodoma, naomba kutoa BigUP sana kwa Rais Samia na Waziri Bashe, na Awamu yake ya 6 kwa kusisimua kilimo kwa BBT . Je sasa Tanzania ndio tunakwenda kulisha Africa na dunia, au itakuwa ni hadithi zile zile za Kilimo Kwanza, ASRP, Kilimo cha kufa na kupona, Siasa ni Kilimo?.

Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, na asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo, ila wakulima, wafugaji na wavuvi ndilo kundi kubwa la watu wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea. Kama nchi yetu inategemea kilimo, kwanini wakulima wetu ni masikini wa kutupwa wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku?!.

Tangu tumepata uhuru, ile mwaka 1961, Tanzania tulikuwa na maadui watatu, Ujinga, Umasikini na Maradhi. Leo miaka 60 ya uhuru, maadui watatu hao bado wapo, ila pia sasa tumeongeza maadui wengine wawili, rushwa na ufisadi!.

Wakati tunapata uhuru, tumepata uhuru wakati mmoja nan chi za Tiger, Korea Kusini, Taiwan, Indonesia, Singapore, Malaysia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi. Ukifika kwenye nchi hizi, ukaambiwa tulipata nazo uhuru, wao wakina with nothing, bila chochote, sisi tukiwa with everything (na kila kitu), ukilinganisha wenzetu walipo na sisi tulipo, kama una machozi ya karibu, unaweza kulia!,(a cry for my beloved country).

Ukiangalia sisi Tanzania tuna nini na wenzetu wana nini, kiukweli, sisi Tanzania tumejaaliwa kila kitu cha kutuwezesha kuendelea, na wenzetu tuliopata nao uhuru, hawana hata nusu ya vitu tulivyonavyo.

Tanzania tumejaaliwa aridhi kubwa ya kutosha yenye udongo wenye rutuba kuotesha kila zao tunalohitaji kwa chakula na ziada kuuza nje. Tanzania tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji vya kuendesha schemes za kilimo cha umwagiliaji. Ni aibu kwa Tanzania kuagiza chakula, mchele, unga wa ngano, sukari na mafuta ya kupikia!.

Enzi za Nyerere, tulifuata mfumo wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, tukitumia kauli mbiu ya “ili tuendelee tunahitaji vitu vine, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, “fedha sii msingi, fedha ni matokeo”. Vitu hivyo vyote vinne, vilikuwepo toka enzi ya Nyerere, sasa ni nini kilitufanya tusiendelee?!.

Tukaanzisha program mbalimbali za kilimo kwa kuanza na operesheni vijiji, tukaja siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kuna wakati tulikuwa tunajitosheleza kwa ngano. Mimi nimesoma darasa la kwanza mpaka la tatu, shuleni tukila bulga ya bure!.

Kama tuna kila kitu cha kutufanya tuendelee, kwanini Tanzania bado ni masikini?!.

Tulifanya kosa moja kubwa kusema fedha sio msingi wa maendeleo, fedha ni matokeo, ukweli ni kwamba fedha ndio kila kitu!.

Wakati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anangatuka katika uongozi, alikubali makosa na kusema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”, japo Mwalimu Nyerere hakusema kosa lenyewe ni nini, lakini kosa kubwa Tanzania tuilolifanya ambalo limepelekea kuendelea kuishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, ni kudharau fedha, kwenye uwekezaji kwenye kilimo.

Kilimo cha jembe la mkono, ni kilimo cha kujikimu tuu, hakiwezi kumkomboa mkulima kutoka katika lindi la umasikini, sambamba na kilimo cha kutegemea mvua. Suluhisho la ukombozi wa kilimo ni kilimo biashara cha kutumia zana bora na za kisasa za kilimo.

Kwenye Nane Nane hii, nimeshuhudia mamia ya zana bora na za kisasa za kilimo zikiongozwa na kampuni ya Agricom Africa ambayo ambayo sio tuu imemwaga ma trekta ya kutosha, bali pia inajenga kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kwa ushirikiano na kampuni ya Mahendra ya India. Huu sasa ndio ukombozi wa kweli wa sekta ya kilimo.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kujenga uchumi jumuishi unaowainua wananchi wote na kuwawezesha wananchi kunufaika ipasavyo kupitia uwekezaji unaofanywa katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Rais Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane yaliyofanyika katika uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Rais Dkt. Samia amesema Serikali imeongeza bajeti kwa ajili ya kilimo, mifugo na uvuvi ili uwekezaji huo ulete mageuzi makubwa kwa kuongeza maeneo ya umwagiliaji, matumizi ya mbolea, uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora, kuimarisha huduma za ugani, kuboresha miundombinu ya kuhudumia mifugo pamoja na upatikanaji wa huduma za ugani, chanjo, majosho na masoko.

Rais Dkt. Samia pia amesema serikali imeendelea na ujenzi na ukarabati wa viwanda vya uchakataji wa mazao ya mifugo, ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya uvuvi, ukuzaji wa viumbe maji na utafutaji wa masoko na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa wavuvi na wafugaji.

Vile vile, Rais Dkt. Samia amesema lengo la kujenga uchumi jumuishi, ni kuongeza tija katika sekta za uzalishaji na kupunguza umasikini wa kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na kutumia sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutengeneza ajira Aidha, Rais Dkt. Samia amesema jitihada hizi, pamoja na kusaidia Tanzania kuhakikisha upatikanaji wa chakula, pia zina mchango katika Pato la Taifa na uchumi kwa ujumla.

Hali kadhalika, Rais Dkt. Samia amesisitiza kuwa Serikali inalenga kuongeza bajeti katika utafiti ndio maana maabara na vituo vya utafiti vimezinduliwa ili kuwezesha nchi kufikia masoko ya kimataifa kupitia tafiti.

Ni aibu kwa nchi yenye mabonde ya mpunga ya kutosha kulisha nchi za Afrika Mashariki, kuendelea kuagiza mchele kutoka nje!. Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutoka kwa kilimo cha miwa, kuagiza sukori kutoka nje ya nchi!.

Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutosha kwa kilimo cha zao la chikichi na alizeti, kuendelea kuagiza mafuta ya kula kutoka nje!.

Nimalizie kwa Pongezi kwa Rais Samia, na waziri wake Hussein Bashe kwa uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na mpango kamambe wa BBT, mpango huu ukisimamiwa kikamilifu, unakwenda kulitoa aibu taifa letu kuagiza mazao ya chakula kutoka nje.

Mungu Mbariki Rais Samia aweze,
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
BBT is a big scam tupo hapa ngoja CAG apigie hayo ma file siku haijakaa kumsaidia mkulima ila imekaa kijanja janja sana ila wakati utaongea na tutakua tumepoteza muda na rasilimali pia 😄
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
View attachment 3066724
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala elimishi za kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe, swali la leo, hivi sio aibu sana kwa nchi yetu Tanzania kuagiza chakula kama mchele, ngano, sukari na mafuta ya kula, wakati tuna ardhi kubwa ya kilimo yenye udongo wenye rutuba na vyanzo lukuki vya maji kuweza kulisha Africa na dunia, tunakwama wapi?!.

Ila kwa niliyo yashuhudia kwenye Nane kitaifa Dodoma, naomba kutoa BigUP sana kwa Rais Samia na Waziri Bashe, na Awamu yake ya 6 kwa kusisimua kilimo kwa BBT . Je sasa Tanzania ndio tunakwenda kulisha Africa na dunia, au itakuwa ni hadithi zile zile za Kilimo Kwanza, ASRP, Kilimo cha kufa na kupona, Siasa ni Kilimo?.

Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, na asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo, ila wakulima, wafugaji na wavuvi ndilo kundi kubwa la watu wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea. Kama nchi yetu inategemea kilimo, kwanini wakulima wetu ni masikini wa kutupwa wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku?!.

Tangu tumepata uhuru, ile mwaka 1961, Tanzania tulikuwa na maadui watatu, Ujinga, Umasikini na Maradhi. Leo miaka 60 ya uhuru, maadui watatu hao bado wapo, ila pia sasa tumeongeza maadui wengine wawili, rushwa na ufisadi!.

Wakati tunapata uhuru, tumepata uhuru wakati mmoja nan chi za Tiger, Korea Kusini, Taiwan, Indonesia, Singapore, Malaysia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi. Ukifika kwenye nchi hizi, ukaambiwa tulipata nazo uhuru, wao wakina with nothing, bila chochote, sisi tukiwa with everything (na kila kitu), ukilinganisha wenzetu walipo na sisi tulipo, kama una machozi ya karibu, unaweza kulia!,(a cry for my beloved country).

Ukiangalia sisi Tanzania tuna nini na wenzetu wana nini, kiukweli, sisi Tanzania tumejaaliwa kila kitu cha kutuwezesha kuendelea, na wenzetu tuliopata nao uhuru, hawana hata nusu ya vitu tulivyonavyo.

Tanzania tumejaaliwa aridhi kubwa ya kutosha yenye udongo wenye rutuba kuotesha kila zao tunalohitaji kwa chakula na ziada kuuza nje. Tanzania tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji vya kuendesha schemes za kilimo cha umwagiliaji. Ni aibu kwa Tanzania kuagiza chakula, mchele, unga wa ngano, sukari na mafuta ya kupikia!.

Enzi za Nyerere, tulifuata mfumo wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, tukitumia kauli mbiu ya “ili tuendelee tunahitaji vitu vine, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, “fedha sii msingi, fedha ni matokeo”. Vitu hivyo vyote vinne, vilikuwepo toka enzi ya Nyerere, sasa ni nini kilitufanya tusiendelee?!.

Tukaanzisha program mbalimbali za kilimo kwa kuanza na operesheni vijiji, tukaja siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kuna wakati tulikuwa tunajitosheleza kwa ngano. Mimi nimesoma darasa la kwanza mpaka la tatu, shuleni tukila bulga ya bure!.

Kama tuna kila kitu cha kutufanya tuendelee, kwanini Tanzania bado ni masikini?!.

Tulifanya kosa moja kubwa kusema fedha sio msingi wa maendeleo, fedha ni matokeo, ukweli ni kwamba fedha ndio kila kitu!.

Wakati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anangatuka katika uongozi, alikubali makosa na kusema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”, japo Mwalimu Nyerere hakusema kosa lenyewe ni nini, lakini kosa kubwa Tanzania tuilolifanya ambalo limepelekea kuendelea kuishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, ni kudharau fedha, kwenye uwekezaji kwenye kilimo.

Kilimo cha jembe la mkono, ni kilimo cha kujikimu tuu, hakiwezi kumkomboa mkulima kutoka katika lindi la umasikini, sambamba na kilimo cha kutegemea mvua. Suluhisho la ukombozi wa kilimo ni kilimo biashara cha kutumia zana bora na za kisasa za kilimo.

Kwenye Nane Nane hii, nimeshuhudia mamia ya zana bora na za kisasa za kilimo zikiongozwa na kampuni ya Agricom Africa ambayo ambayo sio tuu imemwaga ma trekta ya kutosha, bali pia inajenga kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kwa ushirikiano na kampuni ya Mahendra ya India. Huu sasa ndio ukombozi wa kweli wa sekta ya kilimo.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kujenga uchumi jumuishi unaowainua wananchi wote na kuwawezesha wananchi kunufaika ipasavyo kupitia uwekezaji unaofanywa katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Rais Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane yaliyofanyika katika uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Rais Dkt. Samia amesema Serikali imeongeza bajeti kwa ajili ya kilimo, mifugo na uvuvi ili uwekezaji huo ulete mageuzi makubwa kwa kuongeza maeneo ya umwagiliaji, matumizi ya mbolea, uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora, kuimarisha huduma za ugani, kuboresha miundombinu ya kuhudumia mifugo pamoja na upatikanaji wa huduma za ugani, chanjo, majosho na masoko.

Rais Dkt. Samia pia amesema serikali imeendelea na ujenzi na ukarabati wa viwanda vya uchakataji wa mazao ya mifugo, ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya uvuvi, ukuzaji wa viumbe maji na utafutaji wa masoko na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa wavuvi na wafugaji.

Vile vile, Rais Dkt. Samia amesema lengo la kujenga uchumi jumuishi, ni kuongeza tija katika sekta za uzalishaji na kupunguza umasikini wa kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na kutumia sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutengeneza ajira Aidha, Rais Dkt. Samia amesema jitihada hizi, pamoja na kusaidia Tanzania kuhakikisha upatikanaji wa chakula, pia zina mchango katika Pato la Taifa na uchumi kwa ujumla.

Hali kadhalika, Rais Dkt. Samia amesisitiza kuwa Serikali inalenga kuongeza bajeti katika utafiti ndio maana maabara na vituo vya utafiti vimezinduliwa ili kuwezesha nchi kufikia masoko ya kimataifa kupitia tafiti.

Ni aibu kwa nchi yenye mabonde ya mpunga ya kutosha kulisha nchi za Afrika Mashariki, kuendelea kuagiza mchele kutoka nje!. Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutoka kwa kilimo cha miwa, kuagiza sukori kutoka nje ya nchi!.

Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutosha kwa kilimo cha zao la chikichi na alizeti, kuendelea kuagiza mafuta ya kula kutoka nje!.

Nimalizie kwa Pongezi kwa Rais Samia, na waziri wake Hussein Bashe kwa uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na mpango kamambe wa BBT, mpango huu ukisimamiwa kikamilifu, unakwenda kulitoa aibu taifa letu kuagiza mazao ya chakula kutoka nje.

Mungu Mbariki Rais Samia aweze,
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hata mimi mwaka jana niliamini kabisaaaaa tunafanyiwa mapinduzi! Bwana shamba mmoja mstaafu akani ng'ata skio kua haya unayo yaskiaaa yameanza kusemwa toka kitaaambo miaka ya 80's
Kweli bwana....huku makwetu hatukuona hizo hadithi za kupimiwa udongo, ushauri wala ukaguzi mashambani! Tanzania tuna maandiko mazuri saaana! Nchi zingine wakichukua tunayo "yaandikaga" watapiga hatua saana.
 
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo
View attachment 3066724
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala elimishi za kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huwa na swali, jibu utatoa mwenyewe, swali la leo, hivi sio aibu sana kwa nchi yetu Tanzania kuagiza chakula kama mchele, ngano, sukari na mafuta ya kula, wakati tuna ardhi kubwa ya kilimo yenye udongo wenye rutuba na vyanzo lukuki vya maji kuweza kulisha Africa na dunia, tunakwama wapi?!.

Ila kwa niliyo yashuhudia kwenye Nane kitaifa Dodoma, naomba kutoa BigUP sana kwa Rais Samia na Waziri Bashe, na Awamu yake ya 6 kwa kusisimua kilimo kwa BBT . Je sasa Tanzania ndio tunakwenda kulisha Africa na dunia, au itakuwa ni hadithi zile zile za Kilimo Kwanza, ASRP, Kilimo cha kufa na kupona, Siasa ni Kilimo?.

Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo, uchumi wa Tanzania unategemea kilimo, na asilimia 80 ya Watanzania wanategemea kilimo, ila wakulima, wafugaji na wavuvi ndilo kundi kubwa la watu wanaoishi kwenye lindi la umasikini uliotopea. Kama nchi yetu inategemea kilimo, kwanini wakulima wetu ni masikini wa kutupwa wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku?!.

Tangu tumepata uhuru, ile mwaka 1961, Tanzania tulikuwa na maadui watatu, Ujinga, Umasikini na Maradhi. Leo miaka 60 ya uhuru, maadui watatu hao bado wapo, ila pia sasa tumeongeza maadui wengine wawili, rushwa na ufisadi!.

Wakati tunapata uhuru, tumepata uhuru wakati mmoja nan chi za Tiger, Korea Kusini, Taiwan, Indonesia, Singapore, Malaysia, Bangladesh na nchi nyingine nyingi. Ukifika kwenye nchi hizi, ukaambiwa tulipata nazo uhuru, wao wakina with nothing, bila chochote, sisi tukiwa with everything (na kila kitu), ukilinganisha wenzetu walipo na sisi tulipo, kama una machozi ya karibu, unaweza kulia!,(a cry for my beloved country).

Ukiangalia sisi Tanzania tuna nini na wenzetu wana nini, kiukweli, sisi Tanzania tumejaaliwa kila kitu cha kutuwezesha kuendelea, na wenzetu tuliopata nao uhuru, hawana hata nusu ya vitu tulivyonavyo.

Tanzania tumejaaliwa aridhi kubwa ya kutosha yenye udongo wenye rutuba kuotesha kila zao tunalohitaji kwa chakula na ziada kuuza nje. Tanzania tumejaaliwa vyanzo vingi vya maji vya kuendesha schemes za kilimo cha umwagiliaji. Ni aibu kwa Tanzania kuagiza chakula, mchele, unga wa ngano, sukari na mafuta ya kupikia!.

Enzi za Nyerere, tulifuata mfumo wa siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, tukitumia kauli mbiu ya “ili tuendelee tunahitaji vitu vine, Watu, Ardhi, Siasa Safi na Uongozi Bora, “fedha sii msingi, fedha ni matokeo”. Vitu hivyo vyote vinne, vilikuwepo toka enzi ya Nyerere, sasa ni nini kilitufanya tusiendelee?!.

Tukaanzisha program mbalimbali za kilimo kwa kuanza na operesheni vijiji, tukaja siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, kuna wakati tulikuwa tunajitosheleza kwa ngano. Mimi nimesoma darasa la kwanza mpaka la tatu, shuleni tukila bulga ya bure!.

Kama tuna kila kitu cha kutufanya tuendelee, kwanini Tanzania bado ni masikini?!.

Tulifanya kosa moja kubwa kusema fedha sio msingi wa maendeleo, fedha ni matokeo, ukweli ni kwamba fedha ndio kila kitu!.

Wakati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere anangatuka katika uongozi, alikubali makosa na kusema “kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa”, japo Mwalimu Nyerere hakusema kosa lenyewe ni nini, lakini kosa kubwa Tanzania tuilolifanya ambalo limepelekea kuendelea kuishi kwenye lindi la umasikini uliotopea, ni kudharau fedha, kwenye uwekezaji kwenye kilimo.

Kilimo cha jembe la mkono, ni kilimo cha kujikimu tuu, hakiwezi kumkomboa mkulima kutoka katika lindi la umasikini, sambamba na kilimo cha kutegemea mvua. Suluhisho la ukombozi wa kilimo ni kilimo biashara cha kutumia zana bora na za kisasa za kilimo.

Kwenye Nane Nane hii, nimeshuhudia mamia ya zana bora na za kisasa za kilimo zikiongozwa na kampuni ya Agricom Africa ambayo ambayo sio tuu imemwaga ma trekta ya kutosha, bali pia inajenga kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kwa ushirikiano na kampuni ya Mahendra ya India. Huu sasa ndio ukombozi wa kweli wa sekta ya kilimo.

Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kujenga uchumi jumuishi unaowainua wananchi wote na kuwawezesha wananchi kunufaika ipasavyo kupitia uwekezaji unaofanywa katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi.

Rais Dkt. Samia ameyasema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya Nanenane yaliyofanyika katika uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini Dodoma.

Rais Dkt. Samia amesema Serikali imeongeza bajeti kwa ajili ya kilimo, mifugo na uvuvi ili uwekezaji huo ulete mageuzi makubwa kwa kuongeza maeneo ya umwagiliaji, matumizi ya mbolea, uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora, kuimarisha huduma za ugani, kuboresha miundombinu ya kuhudumia mifugo pamoja na upatikanaji wa huduma za ugani, chanjo, majosho na masoko.

Rais Dkt. Samia pia amesema serikali imeendelea na ujenzi na ukarabati wa viwanda vya uchakataji wa mazao ya mifugo, ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya uvuvi, ukuzaji wa viumbe maji na utafutaji wa masoko na utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa wavuvi na wafugaji.

Vile vile, Rais Dkt. Samia amesema lengo la kujenga uchumi jumuishi, ni kuongeza tija katika sekta za uzalishaji na kupunguza umasikini wa kipato kwa mwananchi mmoja mmoja na kutumia sekta za kilimo, mifugo na uvuvi kutengeneza ajira Aidha, Rais Dkt. Samia amesema jitihada hizi, pamoja na kusaidia Tanzania kuhakikisha upatikanaji wa chakula, pia zina mchango katika Pato la Taifa na uchumi kwa ujumla.

Hali kadhalika, Rais Dkt. Samia amesisitiza kuwa Serikali inalenga kuongeza bajeti katika utafiti ndio maana maabara na vituo vya utafiti vimezinduliwa ili kuwezesha nchi kufikia masoko ya kimataifa kupitia tafiti.

Ni aibu kwa nchi yenye mabonde ya mpunga ya kutosha kulisha nchi za Afrika Mashariki, kuendelea kuagiza mchele kutoka nje!. Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutoka kwa kilimo cha miwa, kuagiza sukori kutoka nje ya nchi!.

Ni aibu kwa nchi yenye ardhi ya kutosha kwa kilimo cha zao la chikichi na alizeti, kuendelea kuagiza mafuta ya kula kutoka nje!.

Nimalizie kwa Pongezi kwa Rais Samia, na waziri wake Hussein Bashe kwa uwekezaji mkubwa kwenye kilimo na mpango kamambe wa BBT, mpango huu ukisimamiwa kikamilifu, unakwenda kulitoa aibu taifa letu kuagiza mazao ya chakula kutoka nje.

Mungu Mbariki Rais Samia aweze,
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Hili andiko ni kinyumenyeme au umedhamilia,

Ila naona kama umedhamilia, yaani unamaanisha,
Nilidhani wewe ni Mbaba kama ninavyosikiaga,, yaani upo over 50 au 60.

Kama ni hivyo , basi unasikitisha, hii habari ilitakiwa iandikwe na mtoto wa miaka 20, ambaye hajawahi kusikia hizo hadithi.

Pole sana
 
Back
Top Bottom