Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Niunganishe na huyo aliepo kwenye avatar yako nataka nimuoneshe mambo makuu asiyoyajuaJamani π π π mimi nilidhani ntapata mume humu, kama mambo yenyewe ndo haya ππΌππ π π π
πNiunganishe na huyo aliepo kwenye avatar yako nataka nimuoneshe mambo makuu asiyoyajua
Mpatieni haki yake,atarukwa na akili huyo binti.Bado ajasema...
Karibu star wa JFUZI TAYARIπ
Ukichagua sana utapata koroma.. Nitakujia ukizingua nakuroga liveπ€¬tena gundu la kimavi .. HALAFU SITANII
Daaah still enough unaniita hilo jina mimi...Kivipi baba energy?
Ndo hawa wanajiitaga single but happy kumbe mitandaoni huku wanasumbua watu kweli kweli.....Mpatieni haki yake,atarukwa na akili huyo binti.
Labda uwezo wake mdogo, bibie akaona isiwe kesiHuyu ulimuonea tu
Ungekaza angejipenda...
Nimeelewa hajipendi maana yake hayuko smart,ni mchafu
Uwezo mdogo ndio kutojipenda πLabda uwezo wake mdogo, bibie akaona isiwe kesi
Kupendeza gharama bibie. Kubali kataaUwezo mdogo ndio kutojipenda π
Nijaribu mm hutojutia akiamungu nifie hapaSababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.
UZI TAYARI.
Hapa hapa au kuleπππKaribu star wa JF
Nikikujibu hutaamini butNdo hawa wanajiitaga single but happy kumbe mitandaoni huku wanasumbua watu kweli kweli.....
HapaHapa hapa au kuleπππ
Nipo tayari nshafunga mkwijiWatakuja haohao kwa I'd zingine,get ready
Miaka mingapi unayo Ili tuchangia vizuri.
Kwa mwanamke hauwezi kuelewa lakini wanaume especialy sisi street nigaz tayari kuna code tushazifungua, kwa ufupi huu uandishi tu wa mtoa post sio mwanamke wa kuingia nae kwenye serious relationship.Kosa la mleta mada ni lipi? Mbona alichokiandika hakina uhusiano na kujiuza wala matatizo ya akili