Sio kila mtu ni muandishi mzuri wa thread..

Nijaribu mm hutojutia akiamungu nifie hapa

Karibu pm my
 
Kosa la mleta mada ni lipi? Mbona alichokiandika hakina uhusiano na kujiuza wala matatizo ya akili
Kwa mwanamke hauwezi kuelewa lakini wanaume especialy sisi street nigaz tayari kuna code tushazifungua, kwa ufupi huu uandishi tu wa mtoa post sio mwanamke wa kuingia nae kwenye serious relationship.

Ni kama malalamiko ya wanaume kwamba wanawake wamekua ombaomba kuna wanawake ambao hawataelewa wataona jinsia yao inasimangwa kwa sababu izo hela huwa amuombani wenyewe kwa wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…