THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Wataje majina kmmmk zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 khaaaaa.!!!Wataje majina kmmmk zako
Na mi nashangaa hao wanaosema anajiuza watu banaKosa la mleta mada ni lipi? Mbona alichokiandika hakina uhusiano na kujiuza wala matatizo ya akili
Ipi ya Tz hii hapanaMbadala upo, Trump asikusononeshe kiasi hiko,
Serikali yenu imejiandaa.
Sawa baba lolalola
Na mi nashangaa hao wanaosema anajiuza watu bana
Bado ajasema...Habari binti...
Wadogo zangu mshamba_hachekwi Mwachiluwi Poor Brain Intelligent businessman umewaona lakini?
Wape nafasi pia
Hvi kwanini we ni mkorofi hvo 😁😁😁Wanaosema anajiuza wote wanakazwa
Mkuu kwema lakini..Dating game imekuwa ngumu sana. Sijui mnahandle vipi vijana.
Hvi kwanini we ni mkorofi hvo 😁😁😁
UZI TAYARI😂Sababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.
UZI TAYARI.
Mi niko tayari. Ngoja nije pmSababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.
UZI TAYARI.