Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
HahahahaAmesema hayupo vizuri kwenye uandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaAmesema hayupo vizuri kwenye uandishi
Shacking My Head
Ndio anaandika huku anafikiria miaka 33 yote aliyovua halafu yale mapichapicha yanajirudiarudia km yote lazima afoke afoke km aliwafokea wengineAmesema hayupo vizuri kwenye uandishi
Shacking*SHAKING
Pole sana!Sababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.
UZI TAYARI.
Mtego huo ooho umeona wanaume wa Dar ndio wa kukamatwa kirahisi hivyoNilichoona katoa experience yake kwa aliokutana nao
Na akatoa angalizo kwamba yeye anahitaji mwanaume ambaye yupo Dar kama yeye...mahusiano ya mbali hayawezi
Ndoa ni kutia mkono gizani..muombe Mungu tu.Mtu uoe mwanamke wa namna hii? Wanaume tunakazi sana
Unataka na sisi tuutie mkono gizani kweli? Unazungumzia mkono upi huo huu huu ninaotumia kutype au mkono mwingine?Ndoa ni kutia mkono gizani..muombe Mungu tu.
Don't know, watu Wana hasira na akili za kiwaki.Kosa la mleta mada ni lipi? Mbona alichokiandika hakina uhusiano na kujiuza wala matatizo ya akili
angeweka vigezo vyake hapa,Habari binti...
Wadogo zangu mshamba_hachekwi Mwachiluwi Poor Brain Intelligent businessman umewaona lakini?
Wape nafasi pia
Naichukua mimi hii nakuja kutafuta 😅😅😅angeweka vigezo vyake hapa,
ngoja nimpe format;
mahali unapoishi ..............................
umri ...............................
dini ..............................
ajira ...............................
maumbile (urefu...............) (uzito..............) (rangi..............)
watoto kama wapo.
ataje na vigezo vya mwanaume anayemtaka kwa muundo huo
kwa namna hiyo ataondoa mkanganyiko.
namtakia utafutaji mwema.
Anataka apate reactionKosa la mleta mada ni lipi? Mbona alichokiandika hakina uhusiano na kujiuza wala matatizo ya akili
Kaka mimi nime amua kuwa monk, labda mshamba_hachekwi 😂😆Habari binti...
Wadogo zangu mshamba_hachekwi Mwachiluwi Poor Brain Intelligent businessman umewaona lakini?
Wape nafasi pia
Acha umalaya we Binti...maana wote hao wamekula Tunda kimasiharaSababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.
UZI TAYARI.
Ndio ivyoDaaah ila ndoa 🙌🏾
Trampuuuu amegoma kutoa msaada wa dawa za UKIMWI ujueUbaya gani?
Kijana,kula raha hapo.......
Nimesoma thread humu inasema mabinti under 25 wanawanyima tundu ya kukojolea sana sasa inamaana juu ya hapo wanatoa kirahisi,upewe nini tena kama mumama mwenyewe ndio huyo age ni zaidi ya 25 na hakunyimi?
Au unataka kuwa ndondocha kwa kukosa ile kitu ndani ya week?