Sio kila mtu ni muandishi mzuri wa thread..

Sio kila mtu ni muandishi mzuri wa thread..

angeweka vigezo vyake hapa,

ngoja nimpe format;

mahali unapoishi ..............................
umri ...............................
dini ..............................
ajira ...............................
maumbile (urefu...............) (uzito..............) (rangi..............)
watoto kama wapo.

ataje na vigezo vya mwanaume anayemtaka kwa muundo huo

kwa namna hiyo ataondoa mkanganyiko.

namtakia utafutaji mwema.
Daughterrr kazi kwako.....


Ila kuna jambo moja limesahaulika na umuhimu hapa ambalo ni UNA MATAKO? Bila ya hivyo hata kukuona hatutaki
 
Kwa hiyo kwa hesabu za haraka haraka ulitaka kutufahamisha kijanja kwamba kuna wana JF wanne wanakujua unafananaje ukiwa uch!.

Natania???
 
Hao wanaokuja kwako washakuona mnaendana so endelea tu kutafunwa mpk uchake
 
Sababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.

UZI TAYARI.
Ngoja waje
 
Sababu sitaki kuamini JF imejaa wahuni tupu, nimekuja tena na ntakuja tena na tena mbaka nipate mtu wa maana, mana kutongoza siwezi labda sababu mm ni mdada sijui.
Mmoja alikua chapombe nkampotezea
Mmoja alikua malaya nkampotezea yeye siku ya kwanza tu alitaka game...aloo!
Mmoja alikua hajipendi yaan hatukuendana.
Wote hao ni wa JF.
By the way kama uliwahi wasiliana namm usinitafute tena kwa mara nyingine mama uyu wa mwisho ndo kituko nisamehe kwa kukuandika, uyo yeye anajifanya mpole husband material but anaonekana hajui anataka nn nilimuelewa sana na kumpenda sana ila nimeona hatuendani sijui shida ni distance ama nn
Ila na wengine muache viherehere mtu kashasema anataka mtu wa dar nyi wa mbali mnafata nn? Matokeo yake tunashindwana.

UZI TAYARI.
Haya ndo maisha ya kizazi "Z"
 
Sema unajua nini nikwambie kitu kimoja nyinyi mnaotafuta watu online kuna kitu kimoja mnakosea sana, fast of all (ni fast, yes sijakosea) mnataka mambo chap chap yaan unataka unawasiliana na mtu leo kesho muonane wooiii hivi hujui na mimi nna ratiba zangu, simu hazikauki video calls hata muda usio sahihi sasa mboni inakua ni usumbufu ukiambiwa tulia hutaki unalazimisha mambo, like serious tuonane leo kesho nianze taratibu za kukuoa mimi Chizi?
Pole naona unapishana na watu sahihi binafsi sipo ivo
 
Sema unajua nini nikwambie kitu kimoja nyinyi mnaotafuta watu online kuna kitu kimoja mnakosea sana, fast of all (ni fast, yes sijakosea) mnataka mambo chap chap yaan unataka unawasiliana na mtu leo kesho muonane wooiii hivi hujui na mimi nna ratiba zangu, simu hazikauki video calls hata muda usio sahihi sasa mboni inakua ni usumbufu ukiambiwa tulia hutaki unalazimisha mambo, like serious tuonane leo kesho nianze taratibu za kukuoa mimi Chizi?
Hii pia nshakutana nayo aisee ni kama unalazimishwa vile yaan.
 
Back
Top Bottom