Sio kosa Mara mojamoja kumpakia Mkeo Mundende au Vumbi La kongo

Sio kosa Mara mojamoja kumpakia Mkeo Mundende au Vumbi La kongo

Mundende kama nguvu zako zina walakini, kama upo git ni kula vizuri kwa afya inatosha.

Ila nakubaliana na wewe kuwa kuna siku inabidi umuweke kimalaya, yaani umuweke hadi ajiulize kulikoni mbona hii imekuwa too much, utumie all appropriate styles ila iwe hardcore kabisa.

Sio dada yako, usimle kichungaji.
 
Siku mtakayotujua wanawake vzr mtajicheka na kujiona wajinga sana 🤣🤣🤣
Mbona tunawajua ni wajinga flani hivi amazing ndo maana tukaambiwa tuishi nanyi kwa akili
 
Hivi haina side effects yoyote hii mundende maana saizi imekua common sana. Inatokana na mitishamba au kemikali?
 
Andiko hili linatupa ukakasi sisi tunaokuchukulia wewe kuwa mtu mwenye busara. Sasa tu mashakani labda kama ulichoandika ni utani.
 
Nilishaijaribu hiyo siku moja, af wakati huo nimepiga bapa(nyagi) jumlisha stress za maisha.

Alooo!! Ilibaki kidogo wife nimng'oe kizazi, maana asubui alivoenda kukojoa alikojoa na vinyamanyama
goodness!
 
Mbona tunawajua ni wajinga flani hivi amazing ndo maana tukaambiwa tuishi nanyi kwa akili
Sawa kungwi ila nataka nikukumbushe hata Samson alijua nguvu zake zinafanya kazi kwa Delila ila si uliona kilichomkuta.?? 😂
Adam je?? Mliambiwa muishi na sisi kwa akili sababu Mungu alijua nyie kwetu hamtoboi sisi tuko mbele ya muda.!!
Tunaweza kukupa toto sio lako na ukalea bila tatizo 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom