Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

fryOver[emoji12] [emoji12]
 
JPM bila polisi ni mwepesi hata kwa Kingwendu!!
 

KUMBE KAMPENI ZIMEANZA? KWANI ULIOWATAJA WAMESEMA WATAGOMBEA 2020?
 
Una akili ndogo sana wewe,au la unatumika kupigana na hofu za wanao dhani wao ndo wanafaa kuongoza,
Yani lipumba?
 
h hahahaha
ccm haijawahi kuwa dhaifu kama ilivyo sasa.tuliwaambia huyo mwenyekiti hajawahi kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi asigeweze kukiongoza chama.mkawa wabishi.sasa angalia chama kipo vipandevipande
 
Tundu Lissu anauwezo kuliko hata wa John pombe Magufuli.
 
Kama wananunulika basi huko ufipa hakuaminiki tena kushika dola!
.. [emoji90] [emoji90] [emoji83] nyammmbaffffff[emoji83] nyie mazwazwa jiwekichaa hawaamini ndomana anaimport from chama la wenye akili.
mtaishia kuolewa JF[emoji160]
 
mkuu kama kweli unakipara basi umetudharirisha sana sisi wenzio wenye vipara.....hivi unashndanaje na mtu ambae yeye akita kuongea muda wowote nawananchi anaweza nawenzie kawafungia nakuwakataza?
 
Sisi tunawaza ilikoenda nchi yetu Tanzania wewe unawaza kushindana! Mungu tusaidie majinga haya tuyapeleke wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…