Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chadema haiogopi ccm dhaifu.chadema inapinga policcm kujifanya wao ndio chama baada ya kuona ccm halisi haina uwwezo tena wa kushindana.Chadema isingetia mpira kwapani kama ingekuwa dhaifu!
Uhuru wa polisi kukimbia na sanduku la kura baadae wanalirudisha na kumtangaza mtu wenu kashinda kwa kishindo?Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!
Issue ni kupambana na Magu au kupambana na PoliCCM na Tume? Labda tuanzie hapo kwanzaSio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
CCM bila Polisi ni weupe hakuna mwananchi huwachagua CCM bali hupora ushindi kibabe tuUhuru wa polisi kukimbia na sanduku la kura baadae wanalirudisha na kumtangaza mtu wenu kashinda kwa kishindo?
Acha ushamba wako huko Lumumba mna njaa pesa zenu zote kala Le mutuz mmeshuka moyo wa kuitetea CCM mitandaoni mpaka Le mutuz awalipe madai yenu, mtangoja milele hiku yeye akiponda pesa zenu na michepuko ndiyo maana mnakuja na hoja za kizuzu.Ufipa wameanza wana mgombea wao anaitwa membe!
[emoji90]Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Poverty background and mentality ni mbaya sana ona sasa umeuza akili zako kwaajiri ya njaa.Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
umebaki pekeyako ndie unayemwamini Baba J, wenzako Kinana, Makamba Nape n.k, wameshaona viatu havimtoshi, wapo mstuni wanapanga kuondokana na hii aibu ya kiwango cha kimataifaSio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.
Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.
Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Endelea kuishi na ndoto zako!chadema haiogopi ccm dhaifu.chadema inapinga policcm kujifanya wao ndio chama baada ya kuona ccm halisi haina uwwezo tena wa kushindana.
Tunasonga chama kinazidi kujichimbia mizizi!Acha ushamba wako huko Lumumba mna njaa pesa zenu zote kala Le mutuz mmeshuka moyo wa kuitetea CCM mitandaoni mpaka Le mutuz awalipe madai yenu, mtangoja milele hiku yeye akiponda pesa zenu na michepuko ndiyo maana mnakuja na hoja za kizuzu.
Hata mbowe pia aliuza chama kwa njaa!Poverty background and mentality ni mbaya sana ona sasa umeuza akili zako kwaajiri ya njaa.
Propaganda mfu!u
umebaki pekeyako ndie unayemwamini Baba J, wenzako Kinana, Makamba Nape n.k, wameshaona viatu havimtoshi, wapo mstuni wanapanga kuondokana na hii aibu ya kiwango cha kimataifa
Ndio hata mboe aliuza kwa njaa na wewe unajiuza kwa njaaHata mbowe pia aliuza chama kwa njaa!
Amini hivyo hivyo hivi sasa sio chadema ila kinatambaa!MBONA Mrema,Cheyo,Rungwe na Faham Dovutwa huwataji???
tunaojua LOGIC unatuambia kitu ambacho imejificha ambacho wewe mwenyewe umekiweka wazi kwetu bila kujua .
Umeweka wazi= kwamba ulowataja wana nguvu hasa lissu.UKIJUA LOGIC NI RAHA SANA.
Mi sina njaa wewe!Ndio hata mboe aliuza kwa njaa na wewe unajiuza kwa njaa
Ccm endeleeni kupambana Na hali zenu!Nimesikia Membe amesaini check huko ufipa kwa ajili ya kila kamanda apate bundle kwa kampeni maalum!