Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

Sio Lissu wala Nyalandu mwenye uwezo wa kushindana na Magufuli 2020

either huna clue kabisa ya “sihasa” au unajitoa ufahamu!
 
Huyo boss wenu bila majeshi ni mwepesi kuliko pamba
 
Mmejaa hofu hofu na mashaka ndio yamewatawala tume ipo huru na uchaguzi upo huru ila hamuuziki kwa wananchi!
Uhuru wa polisi kukimbia na sanduku la kura baadae wanalirudisha na kumtangaza mtu wenu kashinda kwa kishindo?
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Issue ni kupambana na Magu au kupambana na PoliCCM na Tume? Labda tuanzie hapo kwanza
 
Uhuru wa polisi kukimbia na sanduku la kura baadae wanalirudisha na kumtangaza mtu wenu kashinda kwa kishindo?
CCM bila Polisi ni weupe hakuna mwananchi huwachagua CCM bali hupora ushindi kibabe tu
 
Ufipa wameanza wana mgombea wao anaitwa membe!
Acha ushamba wako huko Lumumba mna njaa pesa zenu zote kala Le mutuz mmeshuka moyo wa kuitetea CCM mitandaoni mpaka Le mutuz awalipe madai yenu, mtangoja milele hiku yeye akiponda pesa zenu na michepuko ndiyo maana mnakuja na hoja za kizuzu.
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
[emoji90]
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
Poverty background and mentality ni mbaya sana ona sasa umeuza akili zako kwaajiri ya njaa.
 
u
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!
umebaki pekeyako ndie unayemwamini Baba J, wenzako Kinana, Makamba Nape n.k, wameshaona viatu havimtoshi, wapo mstuni wanapanga kuondokana na hii aibu ya kiwango cha kimataifa
 
Sio Lissu wala nyalandu mwenye uwezo wa kusimama na magu na akashinda 2020 kwa hivi sasa bado sana baada ya Lowassa kwenda harijojo 2015 Chadema wanaonekana kuchanganyikiwa zaidi na hii hata wakichukua mtu kutoka Ccm bado simuoni wa kusimama naye hata iwe Mwandosya au Membe bado sana hawajawa na uwezo wa kupambana na Magu.

Chadema ilipofikia sasa ni wakati wa kumpigia magoti Lipumba labda ndio mwenye ushawishi kama atakubali au wakubali kumsujudia dk slaa waliyemtukana aweze kurudi tena.

Makamanda wana weweseka wameanza kupiga ramli baada ya Magu ni nani sasa ataefuata ni kiboko yenu kama si katibu mkuu basi ni Makonda ili waendelee na moto ule ule kuwanyoosha kima wote kwa kuuchoma msitu moto!

MBONA Mrema,Cheyo,Rungwe na Faham Dovutwa huwataji???

tunaojua LOGIC unatuambia kitu ambacho imejificha ambacho wewe mwenyewe umekiweka wazi kwetu bila kujua .

Umeweka wazi= kwamba ulowataja wana nguvu hasa lissu.UKIJUA LOGIC NI RAHA SANA.
 
Acha ushamba wako huko Lumumba mna njaa pesa zenu zote kala Le mutuz mmeshuka moyo wa kuitetea CCM mitandaoni mpaka Le mutuz awalipe madai yenu, mtangoja milele hiku yeye akiponda pesa zenu na michepuko ndiyo maana mnakuja na hoja za kizuzu.
Tunasonga chama kinazidi kujichimbia mizizi!
 
u
umebaki pekeyako ndie unayemwamini Baba J, wenzako Kinana, Makamba Nape n.k, wameshaona viatu havimtoshi, wapo mstuni wanapanga kuondokana na hii aibu ya kiwango cha kimataifa
Propaganda mfu!
 
MBONA Mrema,Cheyo,Rungwe na Faham Dovutwa huwataji???

tunaojua LOGIC unatuambia kitu ambacho imejificha ambacho wewe mwenyewe umekiweka wazi kwetu bila kujua .

Umeweka wazi= kwamba ulowataja wana nguvu hasa lissu.UKIJUA LOGIC NI RAHA SANA.
Amini hivyo hivyo hivi sasa sio chadema ila kinatambaa!
 
Back
Top Bottom