Sio siri huyu Mzigua90 ananichanganya sana

Mimi ni mgeni humu, sijajua kama inaruhusiwa kutongoza ila kiukweli mimi huyu Mzigua90 ananichanganya sana. Najikuta natumia muda mwingi kumuwaza.

Hakyanani tena.
Hongera sana mkuu kwa kupendwa kwa ID tuu. Sisi wengine hatujawah pata hizo mabahati.

Labda nioge na chumvi ya mawe.
 
Hahamasishi kabisa. Wenzie private yeye anaomba jukwaani kama sio Vichekesho ni nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jando irudishwe vijana hawana confidence ya kutongoza
Anaiomba live ili ukimshushua asaidike kubembelezewa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na kwann anaiomba sikukuu, huyu bahili wa kununua abaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…