Sio ujinga kutumia sabuni ya unga na kipande kwa pamoja wakati wa kufua nguo?

Sio ujinga kutumia sabuni ya unga na kipande kwa pamoja wakati wa kufua nguo?

Huwa naona watu wanatumia sabuni za aina mbili katika kufua, mtu analoweka nguo kwa sabuni ya unga kisha baadaye anatumia sabuni ya kipande wakati anazifua!

Sasa hii maana yake huwa ni nini? Kwamba sabuni ya unga haitoshi kutakatisha nguo wakati wa kufua? Sijawahi kuolewa mantiki ya hili jambo.
Kwa nini hamtumii mashine kufua?
 
Watu watajitetea sana ila kutumia sabuni ya unga na kipande kwa wakati mmoja ni matumizi mabaya ya akili.
 
Huwa naona watu wanatumia sabuni za aina mbili katika kufua, mtu analoweka nguo kwa sabuni ya unga kisha baadaye anatumia sabuni ya kipande wakati anazifua!

Sasa hii maana yake huwa ni nini? Kwamba sabuni ya unga haitoshi kutakatisha nguo wakati wa kufua? Sijawahi kuolewa mantiki ya hili jambo.
Maamuzi ya mtu jamaa
 
Tumieni sabuni ya maji mi nishasahau kutumia masabuni yanababua ngozi natengeneza mwenyewe sabuni ya maji ila ya unga inaharibu sana ngozi.
 
Sabuni ya kipange inasaidia kutofubaza nguo na kupausha

Haswa jinsi ambazo zinachuja ukifulia sabuni ya unga ni rahis kupauka ndo maana tunatumia sabuni ya kipande na ya unga

Sabuni ya kipande haikupi povu haraka hivyo ukitumia ya unga Ikisha generate povu ndo saa unaanza kutumia ya kipande Kwa sisi tunaovaa nguo za jeans
 
Ndo maana wakati wa kudinya huwa tunaweka na mate ili iteleze vizuri wakati tunajua papuchi inaji rublicate yenyewe.
 
Kwa ufupi ni ujinga.

Walio wengi hatupendi na hatuna muda wa kujua ndiyo maana tunapata madhara, why?.

Sabuni ya unga inapaswa kuwekwa kwenye maji kwa kipimo kulingana na wingi wa nguo, kisha fikicha kuunda povu hadi zile chenga ziyeyuke, povu litapanda ndiposa unaweka nguo.

Kila sabuni ya unga ina maelekezo yake ila nyingi zinakutaka uache nguo kwa 30dkk ni hadi povu liishe, ndipo unaanza kufua.

Ipo hivi, kuungua/kuchubuka kwa viganja kunatokana na kuweka sabuni ya unga na muda huo huo unaanza kufua, sabuni ya unga siyo maalum kwa matumizi hayo.

Hivyo basi ukiona mtu anatumia sabuni ya unga na kipande ni MJINGA, hajui na analazimisha kutoa uchafu kwenye nguo badala ya kutakatisha.

Mwisho, ukiloweka nguo na sabuni ya unga kwa muda huo hapo juu, hutotumia nguvu kufua nguo zako sababu tayari sabuni inakuwa imenyonya uchafu na inasuburi kuufikicha na kuukamua.

ONYO: Unapoloweka nguo zako usichanganye na zinazotoa rangi.
Asante.
inatosha baba
huu uzi ufungwe
 
Kuna aina ya odor ikiingia kwenye nguo ni ngumu kuiondoa kwa sabuni ya unga.

Pia tukumbuke kwamba nguo hazifuliwi kwa povu moja. Ni muhimu kuanza kufua kwa sabuni ya kipande na kumalizia kwa aina nyingine ya sabuni.
 
Back
Top Bottom