Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kama hujawah kuwa wale watoto wa kishua wanaoshindwa kuvunja biscuit lazima hii uijueNimesikitika sana kuona wachangiaji wengi ni wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujawah kuwa wale watoto wa kishua wanaoshindwa kuvunja biscuit lazima hii uijueNimesikitika sana kuona wachangiaji wengi ni wanaume
Ni sahihi, lakini siyo kwa kiwango cha kujadili sabuni ipi itumike wapiKama hujawah kuwa wale watoto wa kishua wanaoshindwa kuvunja biscuit lazima hii uijue
Utakua wewe ni Me hizi kazi za Ke achana nazoHuwa naona watu wanatumia sabuni za aina mbili katika kufua, mtu analoweka nguo kwa sabuni ya unga kisha baadaye anatumia sabuni ya kipande wakati anazifua!
Sasa hii maana yake huwa ni nini? Kwamba sabuni ya unga haitoshi kutakatisha nguo wakati wa kufua? Sijawahi kuolewa mantiki ya hili jambo.