Kwa nini hamtumii mashine kufua?Huwa naona watu wanatumia sabuni za aina mbili katika kufua, mtu analoweka nguo kwa sabuni ya unga kisha baadaye anatumia sabuni ya kipande wakati anazifua!
Sasa hii maana yake huwa ni nini? Kwamba sabuni ya unga haitoshi kutakatisha nguo wakati wa kufua? Sijawahi kuolewa mantiki ya hili jambo.
Umeme upo. Tuache visingizio. Mashine ni cheap sana kwa sasaHatuna pesa ya kununua mashine na umeme.
Maamuzi ya mtu jamaaHuwa naona watu wanatumia sabuni za aina mbili katika kufua, mtu analoweka nguo kwa sabuni ya unga kisha baadaye anatumia sabuni ya kipande wakati anazifua!
Sasa hii maana yake huwa ni nini? Kwamba sabuni ya unga haitoshi kutakatisha nguo wakati wa kufua? Sijawahi kuolewa mantiki ya hili jambo.
Tumia OmoSabuni nyingi za unga povu lake linaisha mapema wakati mwingine inabidi kutumia na sabuni ya kipande.
inatosha babaKwa ufupi ni ujinga.
Walio wengi hatupendi na hatuna muda wa kujua ndiyo maana tunapata madhara, why?.
Sabuni ya unga inapaswa kuwekwa kwenye maji kwa kipimo kulingana na wingi wa nguo, kisha fikicha kuunda povu hadi zile chenga ziyeyuke, povu litapanda ndiposa unaweka nguo.
Kila sabuni ya unga ina maelekezo yake ila nyingi zinakutaka uache nguo kwa 30dkk ni hadi povu liishe, ndipo unaanza kufua.
Ipo hivi, kuungua/kuchubuka kwa viganja kunatokana na kuweka sabuni ya unga na muda huo huo unaanza kufua, sabuni ya unga siyo maalum kwa matumizi hayo.
Hivyo basi ukiona mtu anatumia sabuni ya unga na kipande ni MJINGA, hajui na analazimisha kutoa uchafu kwenye nguo badala ya kutakatisha.
Mwisho, ukiloweka nguo na sabuni ya unga kwa muda huo hapo juu, hutotumia nguvu kufua nguo zako sababu tayari sabuni inakuwa imenyonya uchafu na inasuburi kuufikicha na kuukamua.
ONYO: Unapoloweka nguo zako usichanganye na zinazotoa rangi.
Asante.
Shida ya JF huwa hawajui au kukubali end to end encryption keynote ๐!inatosha baba
huu uzi ufungwe
Nafikiri ni "surface tension"๐Tunapunguza friction