Sioni umuhimu wa daraja la Aga Khan - Coco beach kwa sasa

Aisee!
 
Daraja hili litatumiwa na wengi si wakazi wa Masaki tu. Kwanza sasa hivi nyumba za Masaki zaidi ya 50% ni ofisi ambazo wafanyakazi wengi si wakazi wa Masaki.

Sijalinganisha Kigamboni bridge na hili nimelitaja kukumbusha watu walivyokuwa wanasema halina maana.
 
Hawa watu wa ajabu sana. Hawajui watu wa mbezi,kunduchi,tegeta wanaingia msasani kutokea kenyata kukwepa foleni.

Ndio yale yale mtu anakaa Kivule huko anapinga daraja la kigamboni.
 
Tunataka pia ujenzi wa daraja la kuToka dar mpaka zenji

Ova
 
fly over ya TAZARA ni kwa ajili ya wanaokwenda AirPort. Gongolamboto wameponea hapo. WaMandela rd wataendelea kulia na pini ya Buguruni mataa. Uliangalia kwa jicho la 3 hii Miradi ina UKAKASI
Sasa Buguruni mataa si anakaa traffic police ambae anatoa priority kwa highway(mandela road). Mbona hili halihitaji hata jicho la pili?
 
Hawa watu wa ajabu sana. Hawajui watu wa mbezi,kunduchi,tegeta wanaingia msasani kutokea kenyata kukwepa foleni.

Ndio yale yale mtu anakaa Kivule huko anapinga daraja la kigamboni.
Kwahiyo kupinga au kukubali kitu lazima uwe unaishi maeneo hayo, mbona mimi naishi Mikocheni na bado napinga ujenzi wa hili daraja.
 

Umeongea mengi weeee...ni kuwa sina muda wa kuandika deep analyisis ya hilo daraja, ni kuwa halitakiwi!, chochote mtu yeyote atakachoongea ni ku make justification tu. Halitakiwi kwa sasa na tena ukizingatia mji unahamia Dodoma!!
 
Kwahiyo kupinga au kukubali kitu lazima uwe unaishi maeneo hayo, mbona mimi naishi Mikocheni na bado napinga ujenzi wa hili daraja.
Unaweza tu kuamua kupinga hata ukiwa unajua reality. Ila ambaye hata hajui adha ya wakazi akipinga anashangaza na bongo hii aina hio ndio wengi.
 
Mpwa nakafahamu kale ka njia, ule ni uchochoro, hautapunguza foleni popote pale
Sasa wale wakazi wa maeneo yale wakae mkao wa kupokea tinga tinga litalobomoa makazi yao. Haitawezekana lijengwe daraja kubwa/refu vile halafu tributaries zibaki pale pale.
 
Sasa wale wakazi wa maeneo yale wakae mkao wa kupokea tinga tinga litalobomoa makazi yao. Haitawezekana lijengwe daraja kubwa/refu vile halafu tributaries zibaki pale pale.
Maumivu lazima mzee baba

Ova
 
Mkuu Quinine; kiongozi ambaye hajui aendako kwake kila njia ni njia..!!
Hii movie ndo kwanza imeanza..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…