Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Ulisomea nini?
 
Mtauziana kwa maandishi??
Mtaenda kwa wakili?


Tunza vyeti vyako mkuu hakuna mtu atanunua cheti cha mtu kwa miaka hii ya digital
 
Tena nakupa mume kwanza ukihitaji na cheti baadaye nakupa bure
Haahaa...hata simtaki, wangu mwenyewe pasua kichwa

Ila ukiona hadi mwanamke kaachia mume, ujue huyo mwanaume ni hafai hafai, nawe demu utakayeokota hilo galasa utakuwa mfano wa taifa, hamna kitu kabisa[emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…