Wapo wana faidika, kina bashite umesahau?Hayo mawazo potofu,Kama hivyo vyeti havijakusaidia wewe unafikiri huyo atakayevinunua vitamsaidia nini? Halafu hiyo milioni kumi na nane inatoka tu kirahisu rahisi? Sema uko wapi tuone unafanyaje ili utoke.Usidharau elimu,elimu siyo vyeti Ni maarifa uliyoyapata.
Kama ulisoma uajiriwe hukutakiwa kabisa kwenda shule.Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.
Kama ukihitaji kujitoa nipo hapa nitakupokea.Anaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Acha maswali, chukua mume.Hee umepatwa na nini Bushmamy hadi kufikia kutugawia mume buree[emoji14]
Huenda wewe ndiye mume wake unauzwa na hujijui, fake I'ds 😀Acha maswali, chukua mume.
Kama ni wife atakuwa amenisaidia sana.Huenda wewe ndiye mume wake unauzwa na hujijui, fake I'ds [emoji3]
Just funtansies, just chill up and enjoy your day.Yaap,just like that.Sorry is there a place i said i don't want to hustle and i just need shortcuts? Or What do you mean by dedicating this message to me?
Ok,enjoy your day too🤛Just funtansies, just chill up and enjoy your day.Yaap,just like that.
Kila la kheri mkuuAsnte, nimepoa tayari, sahizi nipo na boda boda maisha yanaenda.
Kaa chini na bushybabu myamalize mshakuwa watu wazima sasaAnaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Muongoo labda humtaki tena tu mume wako mume mtamu ukisema wa nini wenzako wauliza tutampata lini.Mwambie tu aoe .Anaetaka Mume ntampa wa kwangu bureeee, staki hata mia.
Stanii mimi
Wacha kuwa mjinga bro kwani lazima uajiriwe fanya kazi zako binafsi utaona raha tu hiyo elimu yako weka pembeni .Kichwa cha uzi chahusika, Kwa wale wenye uhitaji wa vyeti mimi ninavyo.
Nitakuuzia vyeti vyote kuanzia sekondar mpaka chuo ili visikusumbue kwenye matumizi yako.
Sifa ya vyeti
O-level kina masomo 10 hakina F
A-level matatu (comb CBA) hakina F zaidi ya Bam
Degree ya Sua na Post graduate diploma in Education Teaching, chuo St. John.
Bei ya vyeti vyote ni tsh 18,000,000
Tutawasiliana Pm mpaka tuonane nikukabidh mzigo nawe unipe hiyo pesa.
Hii ni baada ya kuona naenda off target na mahitaji ya serikali yangu kwa soko la ajira.
Kwa sasa napatikana Rufiji njoo tufanye biashara.