Sipati ajira, sioni faida ya elimu yangu, naona bora kuuza vyeti

Wapo wana faidika, kina bashite umesahau?
 
Kama ulisoma uajiriwe hukutakiwa kabisa kwenda shule.
 
Sasa kitu hakina faida, halafu unauza bei juu. Hiyo m18 hata ujiuze mwenyewe watu hawawezi kukununua acha hayo makaratasi
 
Wacha kuwa mjinga bro kwani lazima uajiriwe fanya kazi zako binafsi utaona raha tu hiyo elimu yako weka pembeni .
 
Vyeti vina picha yako huwezi kumuuzia mtu, labda viwe vya zamani kabla ya mfumo wa kuweka picha kuanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…