Wema kasoma nje ya wapi?Wema nakusoma kote nje english inapanda ila kiukweli anakichwa fulani kinaitwa zero brain.
Watu hawa huwa hafikiri kabla ya kutenda wanakuwa hawajitambui wanapenda masifa.
Kha jamani wanatiaga huruma nawanapenda kampani ila asilimia kubwa marafiki zao wanatake advantage.
Wanatumiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ni kati ya wanawake maarufu walioweza kushinda maneno ya uzuri ni unene makalio makubwa, nywele za bandia na weupe.
Angewasikiliza waja angekuwa kama Wema wa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Heee![emoji23][emoji23][emoji23]Mume aliyeko naye huyu nancy alikuwa ni mchumba wa dada yake alipokosa ramani ikabidi amseduce mchumba wadadae na ndiye aliyesababisha nakaaya kuhama nchi nakuolewa na mzungu.
Nancy has bad manner i hate her so much kama nini kwenye group lao nafuu faraja sio snitch na bitch kelyn kachukua mume wamtu mengi .
So they are worst people i hate them more than anyone else how could you betrayed your own blood?
How tell me?
How will you feel to live with your sister fianceee shame shame shame on you nancy where your shame on u.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse she was natural.Nakumbuka alikua ana nywel fupi tu.She was natural for sure.Na pia sijasema ni m baya ..hapana ni wa kawaida tofauti sana na vile nilivyokua namuona akiwa miss tanzania na kule miss worldUkimuona wa kawaida kwa sababu yupo natural!
Siku hizi mdada kuwa mzuri mpaka awe kama Uwoya.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16] mbona umetangulia kukanusha halafu mwishoni umeishia kuthibitisha tenaWema kasoma nje ya wapi?
Amesoma Academic International ya Sinza km sikosei bwanaa!!Malaysia alienda kusoma certificate na hakumaliza!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mzee machache mkewe wa ujana bado yuko hai?Mume aliyeko naye huyu nancy alikuwa ni mchumba wa dada yake alipokosa ramani ikabidi amseduce mchumba wadadae na ndiye aliyesababisha nakaaya kuhama nchi nakuolewa na mzungu.
Nancy has bad manner i hate her so much kama nini kwenye group lao nafuu faraja sio snitch na bitch kelyn kachukua mume wamtu mengi .
So they are worst people i hate them more than anyone else how could you betrayed your own blood?
How tell me?
How will you feel to live with your sister fianceee shame shame shame on you nancy where your shame on u.
Sent using Jamii Forums mobile app
Why Thursday/ Tuesday?hahahah... ni throw back tuesday or throw back thursday
Amekufa mwaka janaKwani mzee machache mkewe wa ujana bado yuko hai?
Jamani kumbe...mimi nilijua alikuwa ameshafariki kabla hajamuoa Klyn
Alikuwepo..amekufa juzi juzi tu hapaJamani kumbe...mimi nilijua alikuwa ameshafariki kabla hajamuoa Klyn
Umepata jibu kafa mwaka janaKwani mzee machache mkewe wa ujana bado yuko hai?
Nimelipata baada ya kuuliza lakini
Nakaya kaolewa na mzungu ? Mwaka gani hii ilikuwa ?Mume aliyeko naye huyu nancy alikuwa ni mchumba wa dada yake alipokosa ramani ikabidi amseduce mchumba wadadae na ndiye aliyesababisha nakaaya kuhama nchi nakuolewa na mzungu.
Nancy has bad manner i hate her so much kama nini kwenye group lao nafuu faraja sio snitch na bitch kelyn kachukua mume wamtu mengi .
So they are worst people i hate them more than anyone else how could you betrayed your own blood?
How tell me?
How will you feel to live with your sister fianceee shame shame shame on you nancy where your shame on u.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mada yako ni nzuri sana na ina mafunzo mengi. Kuna wengi yamewapata makubwa kwa sababu ya kutokuwa na ubongo wa kuona mbali kama huyo mwana dada unayemzungumzia. Hmna kiti kibaya na cha hovyo kama mwanamke kujirahisisha kwa wanaume just kwa kuangalia umaarufu walio nayo bila kuangalia future yao.Kipindi msanii huyu ana-hit na ngoma zake zile Latifa na Mapenzi Kitu Gani alifunguka kwamba anampenda Nancy Sumari na anatamani awe hata mkewe wa ndoa.
Kwa namna jamaa alivyokuwa juu, si rahisi kwa mdada yeyote kuchomoa ofa ya kuwa naye. Warembo walimpapatikia sana na ofkoz alitawala wingu la Bongo Fleva. Historia inakumbuka.
Na enzi hizo Nancy ndio alitoka kunyakua ushindi wa Miss World Africa.
Jamaa akashindwa kujizuia. Kila akihojiwa akawa anasema wazi anamzimikia sana Nancy Sumari. Na ndoto zake zitatimia akifanikiwa kumnasa maana lengo lake halikuwa kumchezea bali kumuoa kabisa.
Kama haitoshi, Doggy Man akarekodi wimbo mahususi kwa ajili ya Nancy akafunguka ya moyoni. Ngoma ilihit sana kwa wanaoikumbuka. Iliitwa "Ina maana".
Sikumbuki kama Nancy alizungumzia chochote.
Leo nimemuona Nancy sehemu nikawaza laiti angemkubalia jamaa wawe couple wangekuwaje leo hii? Kama angemkubalia kwa sababu ya umaarufu, wangedumu kweli?
Shubaamita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesoma masoma nje hyo certificate hata mwaka hakumaliza ujue labda kamaanisha hvyoo!!!ila O'level kamaliza hapa mjini kati[emoji16][emoji16][emoji16] mbona umetangulia kukanusha halafu mwishoni umeishia kuthibitisha tena
Kabla hajafa walikua wametengana mda sanaa hata kabla Rodney Mutie hajafa(Mtoto wao) Mzee alishakua Na madame Rita,Jokate wakashindwa tumia fursa akampata Mdada wa mjini Jacky kakituliza anakula mema ya nchiJamani kumbe...mimi nilijua alikuwa ameshafariki kabla hajamuoa Klyn
Kabla hajafa walikua wametengana mda sanaa hata kabla Rodney Mutie hajafa(Mtoto wao) Mzee alishakua Na madame Rita,Jokate wakashindwa tumia fursa akampata Mdada wa mjini Jacky kakituliza anakula mema ya nchiJamani kumbe...mimi nilijua alikuwa ameshafariki kabla hajamuoa Klyn
Duh!I'm not accountable to anybody!
And why you love her?
Something happened?Are you trying to be a prophet?I didnt know you are prophet!
Ndege wafananaoHawa watatu ndio nawaona karibu zaidi kwenye matukio mengi.View attachment 1046248
Sent using Jamii Forums mobile app