Sipati picha Nancy Sumari angekuwa na MB Doggy hivi sasa...

Wema kasoma nje ya wapi?

Amesoma Academic International ya Sinza km sikosei bwanaa!!Malaysia alienda kusoma certificate na hakumaliza!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heee![emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimuona wa kawaida kwa sababu yupo natural!

Siku hizi mdada kuwa mzuri mpaka awe kama Uwoya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse she was natural.Nakumbuka alikua ana nywel fupi tu.She was natural for sure.Na pia sijasema ni m baya ..hapana ni wa kawaida tofauti sana na vile nilivyokua namuona akiwa miss tanzania na kule miss world
 
Kwani mzee machache mkewe wa ujana bado yuko hai?
 
Nakaya kaolewa na mzungu ? Mwaka gani hii ilikuwa ?

Maana namuona akikatiza mitaa na PORTE yake


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada yako ni nzuri sana na ina mafunzo mengi. Kuna wengi yamewapata makubwa kwa sababu ya kutokuwa na ubongo wa kuona mbali kama huyo mwana dada unayemzungumzia. Hmna kiti kibaya na cha hovyo kama mwanamke kujirahisisha kwa wanaume just kwa kuangalia umaarufu walio nayo bila kuangalia future yao.
 
Jamani kumbe...mimi nilijua alikuwa ameshafariki kabla hajamuoa Klyn
Kabla hajafa walikua wametengana mda sanaa hata kabla Rodney Mutie hajafa(Mtoto wao) Mzee alishakua Na madame Rita,Jokate wakashindwa tumia fursa akampata Mdada wa mjini Jacky kakituliza anakula mema ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm not accountable to anybody!

And why you love her?

Something happened?Are you trying to be a prophet?I didnt know you are prophet!
Duh!

Let's just put it to rest boss.

I had clear intentions when I asked though, but I see it turns out to be a prolonged dialogue which I think is above my paycheck.

You are right. Not accountable to anybody.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…