Sipendezwi na jinsi inavyolazimishwa sasa CDF kuwa chini ya Waziri wa Ulinzi 'Kiprotokali' wakati Waziri wa Ulinzi ndiyo anapaswa kuwa chini ya CDF

Unaongea we kama nani? Una umuhimu gani labda?
 
Unaongea we kama nani? Una umuhimu gani labda?
Nsongea kama GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer'

Umuhimu wangu Mkuu hapa JamiiForums ni Kuwaelimisheni 'authentic Morons' and 'Uncircumcised Baboons' kama Wewe.
 
Nsongea kama GENTAMYCINE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer'

Umuhimu wangu Mkuu hapa JamiiForums ni Kuwaelimisheni 'authentic Morons' and 'Uncircumcised Baboons' kama Wewe.
Huna akili huna la maana , complacent, ignorant, pseudo-intelligent nincompoop. Huna la kunielimisha we mwenyewe unexposed country, pitiful, slow , low iq, retarded, mr know it all. Dumb bastard.
 
Huna akili huna la maana , complacent, ignorant, pseudo-intelligent nincompoop. Huna la kunielimisha we mwenyewe unexposed country, pitiful, slow , low iq, retarded, mr know it all. Dumb bastard.
Kiingereza chako ni chepesi sana vipi nawe ni Product ya Ras Simba wa Mwenge au?
 
Hakuwapigia, alikuwa anaitikia salamu

Nafikiri tukipeana somo salute ni nini mjadala utakwisha
yeye ndo alikuwa anaanza kupiga salute wao wakawa kama wanainama kupokeaa... so kuhusu salute ni salamu ya kijeshi lakini ukija kwenye ishu za kijeshi salute ni heshima ambayo mwenye cheo kidogo anamsalimia aliemzidi cheo.. Mfano wateule wote wa rais wanapigiwa salute kama salamu ndo maana jokate alipigiwa na mabeyo yeye anabana mikono kuipokea ishu inakuja Mfano brigedia mbuge alipokuwa mkuu wa mkoa je akikutana na Mabeyo nani atampigia salute mwenzake??
 
Kama alianza kuwapigia hapo ndio maajabu. Mbuge na Mabeyo wakikutana Mbuge ndio anatakiwa ampigie Mabeyo, jeshi linabaki palepale.
 
Kiingereza chako ni chepesi sana vipi nawe ni Product ya Ras Simba wa Mwenge au?
Imekuuma hukijui. Jaribu tena nkulipue. Dull-witted imbecile. Usidhani kila mtu ni as unintelligent as you are.
 
Imekuuma hukijui. Jaribu tena nkulipue. Dull-witted imbecile. Usidhani kila mtu ni as unintelligent as you are.
Ras Simba kahusika katika hiki Kiingereza chako Kibovu au?
 

Punguza ujinga,kwani police au magereza wametajwa ?.
CDF anapiga salute kwa viongozi wote kufanya hivyo hakupunguzi chochote kwamba CDF ni mdogo au kupiga salute ni ishara ya unyonge.
Unatakiwa ufahamu kwamba Waziri wa Ulinzi ni boss wa CDF,hilo halina mjadala hata kidogo.Majukumu ya CDF na Waziri wa Ulinzi ni tofauti.
 
Hii nchi inaongozwa na Serikali ya kiraia
 
Inawekwa hivyo ili kuwapunguza nguvu wanajeshi. Na kuwaelekeza cha kufanya.
Kama ukubwa basi CDF ni mkubwa kumpita hata raisi wa nchi.

Kuna msemo unasema
" Who Guide the Guard"

Mtu chini yake anamiliki mizinga vifaru, makomandoo, ndege za kivita nk. na anajua kuzitumia utamwamrisha vipi wakati hata bastora hujawai kuigusa.
 
Kwenye Ground mambo hayapo ivo, Hizi ni Procol tu za Kipublic FYI, Minister of Defence ni Ceremonial figure linapokuja swala la Kijeshi sikio na CinC lipo zaidi kwa CDF
 
connection 2:11 Na ndipo ikasikika sauti na wasijue inapotokea,ikisema "CFD,je ni nani alieliita jina lako kati ya majina yote,si ni sisi tulikaa na kulipendekeza?basi enenda kwa utii,kwa maana siku na ukomo wa ukubwa wako hujulikana mezani kwa mkuu,ni yeye pekee atuitae kwa jina la muungano" basi CFD kusikia hayo,yalitosha kuweka imani ya utii,nae akatii amri zote zilizoamriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…