Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

mbona huyo anaeishi nae hajamfukuza? au dadaako ndio alikua nashida? kamadadako alitoa jasho yake kwenye kujenga nyumba angefata sheria hio nyumba wangegawana. ndio Mana mwanaume anae jielewa hamruhusu mkewe apeleke hata chakula kwamafundi ujenzi ukiwa unaendelea kwasababu mkigombana akaenda kusema mahakamani kua alishiriki kuwapa chakula mafundi wakati waujenzi anapata hakiyake hionyumba itauzwa wagawane au mwanaume amjengee mwanamke yakwake ndio waachane
 
Akili za hichi kichwa zinawaza mwanaume ndio atatangulia kufa...


Na urithi tu [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Brainless akiwemo mama yako mzazi au?
 
kwani nimekuambia hawafanyi kazi? kazi wanafanya lakini siwezi kukaanao chini nianze kuwauliza wameingiza kiasi gani tupange mipango hio siwezi helazao wanunue mahitaji yao wanayo mudu mengine nafanya mwenyewe.
 
Mbona hueleweki sasa. Mara hamtaki wanawake wa kugawana nao mali. Mara akadai haki yake. So which is which? kama kaishi na dada yangu miaka yote hiyo na manyanyaso. Huyo anaekaa nae tutajuaje? So dada yangu ana matatizo ila kwenye kupokonywa nyumba mwanaume ndo mwamba au sio. Ila wanaume shkamoo. Nyie viumbe mmetisha
 
kwani nimekuambia hawafanyi kazi? kazi wanafanya lakini siwezi kukaanao chini nianze kuwauliza wameingiza kiasi gani tupange mipango hio siwezi helazao wanunue mahitaji yao wanayo mudu mengine nafanya mwenyewe.
Hivi umepitia thread za wanaume wenzio humu? Wanasema hawataki mwanamke anaefanya kazi maana hiyo ndo feminism ya 50/50 wanayoisema wao. Kwamba kwanini mwanamke usikae nyumbani. sijui kama mko kwenye page moja au vipi. Hawataki kwasababu wanaogopa wataanza ujeuri. Sasa mwanamke anaefanya kazi anapata milioni tatu kwa mwezi hutaki akusaidie maendeleo wala hutaki kujua hela yake inaenda wapi. Sawa, basi anaamua kujenga vitega uchumi hata viwasaidie baadae bado mtaibuka kusema hawashirikishi. Nlichogundua hamjajua mnachokitaka.
 
Akili za hichi kichwa zinawaza mwanaume ndio atatangulia kufa...


Na urithi tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeandika neno kufa hapo au unawashwa? Humu jf kuna waume sampuli ngapi mbona naanza kupata wasiwasi
 
Wanawake wenye akili timamu mnawaita wajuaji ila hayo maboga mnayoyanyanyasa na kuyapiga ndani ndo mnayoyataka. Mnataka wanawake wa kuwageuza mnavyotaka. Wapo mtawapata ila mkikutana na wanaojitambua msiwe mnaishia kuogopa. Jikazeni tu
 
 
wee mbona unaongelea maendeleo sana namambo mengine unayaruka. wanaume hatutaki kufatiliwa kila muda Sasa wewe ukitoka kazini unanamfata mumeo muongozane nyumbani kwani nyie mapacha? akitaka kuchepuka atachepukaje naujuaji wako huo siutamfumania Kira mala nandoa ife kifo chamende. mwanamke kwake nyumbani

Sasa kaka Fusebox mbona umeikwepa tena mada nliyoiweka. Umeparamia mada ya kufatiliana sijui. Yani mi niwe nasimamia miradi kwengine na ye kwengine ntamfatilia saa ngapi?
Anapofanya kazi na nnapofanya kazi ni tofauti. Anasafiri sana na ye ndo anakazi ya kunilalaMikia kwanini simu zake zikiita huwa sipokei. Nilishajiapiza stress za simu sitaki.

Nyie kubalini mnaishi kikoloni of which kama wake zenu wameridhia hewala. Mume wangu ndo ameamua hizi terms. Si mnaweza kuona design ya wanaume waliopo. Kuna nyie af kuna wanaojielewa. Usawa huu wa kutamani mtoto apate elimu nzuri ada kwa mwaka milioni tano. Muwe na watoto watatu. Yote hiyo anaitafuta mtu mmoja. Bado miradi ya maendeleo. Bado yeye kusaidia kwao. Si atapata stress za kufa mtu.

Sisi tumelenga kuwa na maisha ya aina flani ndo maana tunajishughulisha hata watoto wetu wako inspired. Sasa sijui kwanini mnalazimisha kila mwanamke awe zamwamwa
 
Wanawake wenye akili timamu mnawaita wajuaji ila hayo maboga mnayoyanyanyasa na kuyapiga ndani ndo mnayoyataka. Mnataka wanawake wa kuwageuza mnavyotaka. Wapo mtawapata ila mkikutana na wanaojitambua msiwe mnaishia kuogopa. Jikazeni tu
Nisha kwambia zama hizi ukiona mwanaume anampiga mwanamke ujue hanaakili. sasahivi wanaume tunaishi kwasheria ukiona mwanamke haendani nasheria zako unaacha unaoa mwingine. watuwenyewe mshakua wajuaji mtu ukimpiga ngumi moja tayari ashaenda kukushtaki unaacha kazi zako unafatilia kesi isio nakichwa Wala miguu.
 
Hii movie inaitwaje
 
hahaha haya umeshinda. ila sijajua mumeo ana akili na msimamo kiasi gani Hadi akaweza kuamua kuishi nawewe Mana sizani Kama anaweza kukudanganya kitu ukakubali bila kumhoji(kwasababu sisi tunapenda kudanganya wanawake) sijajua anaishi nawewe vipi.atakua Hana mambo mengi Kama sisi
 
Mwanaume unapata mda wa kuangalia mama kimbo. Mimi tu siifatilii. Ndo naanza kuelewa tabia zenu. Hizi fake IDs zinawafanya mjione miamba kumbe chenga
 
Akili za maskini wa fikra utazijua tu. Ukija kupata mtoto wa kike akaolewa kisha siku unaletewa yupo kwenye jeneza kisa mmewe kampiga ndo utaelewa. Akiwa wa mwengine wala haiumi ila akiwa wa kwako ndo mishipa huwa inawasimama
sipendi kuona mwanamke ana nyanyaswa kwasababu namimi nina dadazangu nao wameolewa pia wameajiriwa. ila kilamara nawaambiaga kazizao zisilete kiburi kwawaume zao wataachwa nastara yamwanamke nindoa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…