Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

wee muongo. kwamapepe ilo nayo utakua umepitiwa nawengi hadi ukampata huyo ulienae. nahata Mimi nikikutaka nakupata
Nikikujibu ntakuvunjia heshima wallah🤣 unipate kwa kipi? Yaani unaanzaje? Unadhani kila mwanamke ni sampuli kama uliyonayo? Hadi wanakubali kuoleana mke
Wa pili ni kwamba hawana pa kwenda. Japo dini inaruhusu. We ongeza hao mabwanyenye wa kuwafuga ndani wazalishe kama kumbikumbi. Hapa wamefeli wenzako wenye hadhi zao. We mwenye
Dhana za kizee nakupeleka wapi mie🤣🤣 usinchekeshe huwa mnatulazimisha tuwajibu alafu mmakuja kutuita majina.

Ka
Ni hivyo
Si
Ningekua nishamaliza wanaume wa jf. Ebo
 
Mimi napendaga watu wabishi Kama wewe. halafu usijisifie huna hazi yoyote wewe wakawaidatu. nakama unajiamini kwanini unaogopa kuongezewa mke mwenzio? huo nioga sio kujiamini Kama unajiamini mwache aongeze mwingine
 
Wanaua sana ndoa za wenzao. Hapo tu ndio huwa siwaelewi kabisa.
 
Mimi napendaga watu wabishi Kama wewe. halafu usijisifie huna hazi yoyote wewe wakawaidatu. nakama unajiamini kwanini unaogopa kuongezewa mke mwenzio? huo nioga sio kujiamini Kama unajiamini mwache aongeze mwingine
wewe ndo walewale. Hoja zero unatafuta pa kuhemea. Wapi nlikwambia naogopa mke wa pili. Nlichokujibu ni kwamba dini yetu haina hizo pigo. Na nikakujibu hakuna mwanaume asie na mchepuko. Nikaendelea kusema hata akiwa nao mia mi
Sio presha zangu. Wengine huwa mnaoa ili kuwakomoa wake zenu sio kwamba mnawapenda hao wake wa pili.

Na unavyosema nisijisifie kuna mahala nimejisifia au nakwambia uzuri wangu anaujua mume wangu nyie wengine tuitane mabrother tu. Kwani unanipunguzia nini hata kunigusa mkono huwezi. Mbona mko intimidated na tuvitu tudogo dogo mnadhani kila mwanamke anateseka na ndoa au wanakimbilia ndoa kama refuge. Badilisheni mtazamo kwanza
 
Hakuna anataka msichana ainame,ni mentality ya ushindani mliyonayo wanawake 'mliokombolewa' dhidi ya wanaume,na ndiyo maana ndoa nyingi zinafeli siku hizi,mmeshindwa tu kukojoa wima na kuwa na sauti nzito,tunahitaji mwanamke mlezi wa nyumba,mi kazi yangu kuprovide na kusimika uelekeo wa familia,we lala Chali,panua,kata viuno,Guna kwa sauti nyororo,heshimu mi kuning'iniza korodani,Kuna sababu
 
Wapi wewe,kitu kimekula milage za kutosha Hadi shavu zimekua nyeusi,utelezi hakina Tena,kitu battle hardened
 
Una matatizo ya akili wewe, seek a doctor ASAP

Inferiority complex inakutafuna, pole sana
Ni maogaa balaa yanajificha kwenye mwamvuli wa wanaume. Na yote yaliyokuja kutetetana humu ni maoga menzie. Hawajiamini hata kidogo
 
Wapi wewe,kitu kimekula milage za kutosha Hadi shavu zimekua nyeusi,utelezi hakina Tena,kitu battle hardened
Pamoja na arguments zetu sio sahihi kumuongelea mwanamke kwa namna hiyo mkuu.
 
Pamoja na arguments zetu sio sahihi kumuongelea mwanamke kwa namna hiyo mkuu.
Na ndo maana unaona hii thread imefika huku. Sisi tungesema
Tuwatukane hivi ingekuaje. Wakaka wana matusi hadi unajiuliza sio teenagers kweli? Wanawadhalilisha nyinyi wengine. Mbona wastaarabu mpo mnajibu hoja kistaarabu. Hawa ni teenagers kweli maana hawajui kuwatukana wanawake ni kutukana mama zao.
 
Umenikosha sana.


Uzi ulitakiwa uishie hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bidada umemuonea tu.

Ungesoma comments zake zinazo fuata ungemuelewa sana, binafsi nimempata vizuri kabisa ...natamani iwafikie jamii nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu bidada umemuonea tu.

Ungesoma comments zake zinazo fuata ungemuelewa sana, binafsi nimempata vizuri kabisa ...natamani iwafikie jamii nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi wamenishangaza sana waliokua wanashambulia
Post zake. Ndipo nikarudi kule aliposema kuna misogynists humu yaaani wanachukia tu wanawake wanaoongea chochote. Hata kama ni chema. Ukisoma hadi mwisho anachoandika sijui wanabisha nini yaani sijui hawataki wanawake wacomment humu ama ni vipi. Mimi kiukweli nimejifunza vitu kwenye comment anazotoa. Wanawake wengine wangeona wangejifunza
 
Kwaiyo kuwa wa 1 darasani ndo nn Kuna wanawake walikuwa wanaongoza darasani lakini haitakaa itoke mwanamke akawa na ushawishi mkubwa au akawa tajiri duniani hapa fuatilia watu maarufu wote ni wanaume wenye hela na wafumbuzi tutaendelea kuwatala tu hata Kama mruke ruke Kama kuku sio (kisiasa,kidini,kibiashara,kitechnologia) mjue Hilo nyie ni ubavu wetu tu hata Mungu anajua Hilo we endelea kumbwata tu sio mbaya message delivered
 
Mimi nakiri nilikuwa mkia advance si hoja na nilichekwa Sana na wanawake kutokana na uduwanzi wangu lakini kwenye maisha Mungu amenibariki Sana kiuchumi nimetusua Sana kulinganisha na wanawake waliokuwa wananipita sasaivi na uwezo wa kuwagonga hata hao wanaofaulu mitihani hio wa 1st year na wale niliosoma nao na kunicheka kutokana na uduwanzi wangu nimewaweka chini wote ni muendo wa mitoso tu kwaiyo my dear kufaulu darasani sio ishu mtaani ni [emoji383] mzee hata ww na akili zako tunaweza tukakutana nikakugonga nikakutupa huko uendele na hizo akili zako za darasani tuone Kama zitalisha watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…