Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndio mmekubali au mnakataa,mzigua mwenzangu Kwa kabilaHaya
Tutafute pesa ndio dawaNilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Nimeitika tu mimiSasa ndio mmekubali au mnakataa,mzigua mwenzangu Kwa kabila
You sound like one manipulative pussy bitchass 😂Nilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Hamna anayeishi bila pesa FOA. Get to your senses!Huu Uzi utakuwa na povu jingi, waliotoswa na kujibizwa Kwa nyodo ytawajua , tutafute pesa na status. Wasio na pesa utawajua tu. Tutafute pesa ndio dawa.
You are already intimidated 😂😂😂 wanaume mtapata lini confidence?You sound like one manipulative pussy bitchass 😂
Yaani hutoamini😂 hakuna mwanamke utakae muona anakudharau. I once met a guy who was hitting on me, usipo pokea simu lets say uko ofisini kwenye kikao ye anaanza na messages “ sawa, najua sina umuhimu kwasababu sina hela” like wtf bruh. Mi bora hata mtu awe hana hela ila asiwe na vi insecurities vya kijinga nakushusha nyota.Tutafute pesa ndio dawa
SimpNilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Like those in your clan? Biiih please. Deal with it✌️Simp
SimpLike those in your clan? Biiih please. Deal with it✌️
Simp