Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Mimi mama yangu wa kambo alipambana sana niwe sawa na watoto wake wa kike kwa kila hali kuanzia utendaji kazi wa kazi za nyumbani kama kufua, kuosha vyombo na mengineyo😁😁...na alijitahidi sana kunifanya mimi nionekane sio lolote na sina msaada wowote kwenye familia zaidi ya watoto wa kike.

Leo hii watoto wote wa kike wameolewa na mimi ndie nimebaki kuwa msimamizi wa familia ya baba yangu pamoja na familia yangu mwenyewe.

PAMBANA UNAVYOWEZA, PIGA KELELE UTAKAVYO LAKINI MWANAUME ATABAKI KUWA MWANAUME TU MPAKA YESU ANARUDI😂😂😂
 
Nilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Tutafute pesa ndio dawa
 
Nilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
You sound like one manipulative pussy bitchass 😂
 
You sound like one manipulative pussy bitchass 😂
You are already intimidated 😂😂😂 wanaume mtapata lini confidence?

Yani mimi kujiamini tayari ni a “manipulative pussy bitchass” tusi lote hilo baki nalo mwenyewe. Just to show you that I’m confident enough not to be shattered by a mere opinion of a loose ass n***a. Surround yourself with self motivated ladies hutokua na tu uoga uoga na other ladies.
Man up🤣
 
Tutafute pesa ndio dawa
Yaani hutoamini😂 hakuna mwanamke utakae muona anakudharau. I once met a guy who was hitting on me, usipo pokea simu lets say uko ofisini kwenye kikao ye anaanza na messages “ sawa, najua sina umuhimu kwasababu sina hela” like wtf bruh. Mi bora hata mtu awe hana hela ila asiwe na vi insecurities vya kijinga nakushusha nyota.

Kwanini msijiamini?
 
Nilichogundua.. Jamii forum ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Simp
 
Mwanamke hapaswi kuwa sawa na mwanaume na mwanaume hapaswi kuwa sawa na mwana mke. Ila inapaswa kila mtu atimize majukumu yake. Kwani wao nikama hasi na chanya, usiku na mchana huwezi kusema hasi ni bora kuliko chanya au usiku ni bora kuliko mchana, au baridi ni bora kuliko joto kila kimoja kina nafasi na umuhimu wake mambo ya hasi kutaka kuwa chanya sio mambo timamu ni abnormal tu anaweza kulazimisha hivyo.

Kwa maana nyingine mwanamke ni bora kuliko mwanaume na mwanaume ni bora kuliko mwanamke kwa nafasi yake.
 
Inategemea na Mwanamke
Kwa hapa Tz wanawake hizo harakati hawaziwezi hata kidogo
Wengi wanaishi kwa huruma ya Wanaume .


Binafsi NAPENDA Sana Mwanamke anayepambana Ambaye hauzi uchi ili kuishi , That All

Mwanamke mpambanaji Atapendwa tu.
 
Back
Top Bottom