Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Usinichoshe. We ungetukanwa pamoja na mzazi wako ungekaa kimya? Em pita kule kabla sijakuungiaUnapenda sana argument sijajua kwanini? Umeona kosa ulilolifanya ambalo unawalaumu wenzako na kutukanana nao.
Bado unarudi kulekule, sijui kuniungia seriously tena kwenye social media 😂😂😂. Kwakuwa aliyeanza kutukana wazazi ni nyie,wao waliwagusa nyinyi tu ila achana na mambo ya blaming. Najua bado hujaona kosa lako, busara kwanza sister.Usinichoshe. We ungetukanwa pamoja na mzazi wako ungekaa kimya? Em pita kule kabla sijakuungia
Rudi tena kwenye conversations alafu anza kusoma nani kaanza kutoa matusi. We mtu anakuita neno B!*ch utanyamaza. Anakuja anaongezea tusi la mama ako. Niache tu aisee the next time ukinitag hutopenda.Bado unarudi kulekule, sijui kuniungia seriously tena kwenye social media 😂😂😂. Kwakuwa aliyeanza kutukana wazazi ni nyie,wao waliwagusa nyinyi tu ila achana na mambo ya blaming. Najua bado hujaona kosa lako, busara kwanza sister.
Again seriously unataka kutishana on social medias😂😂😂, siunajua maneno hayaui. Aliyeanzisha matusi ni mtoa mada ila kuwaingiza wazazi mlianza nyie. 😂😂😂 still hujaona kosa lako ambalo umelitumia kujudge wenzio unajua.Rudi tena kwenye conversations alafu anza kusoma nani kaanza kutoa matusi. We mtu anakuita neno B!*ch utanyamaza. Anakuja anaongezea tusi la mama ako. Niache tu aisee the next time ukinitag hutopenda.
[emoji38]Rudi tena kwenye conversations alafu anza kusoma nani kaanza kutoa matusi. We mtu anakuita neno B!*ch utanyamaza. Anakuja anaongezea tusi la mama ako. Niache tu aisee the next time ukinitag hutopenda.
We ulikutana na akina nani hao ambao siyo wanyimiFeminist raha yao sio WANYIMI. Unajipigia tu, Ni vichaa wale, they can really su.ck a d.i.ck.... Ila mke tafuta TRADITIONAL WOMAN.
Peace be upon you all.
Nimekuja kugundua wanawake wenye vijitabia vya ufeminism sina muda wala sitaki shobo nao hata punje.
Binafsi ni mwanaume ninaeamini katika jinsia tofauti zenye majukumu tofauti, yani mwanaume ni mwanaume na nafasi yake haiwezi kuchanganywa na mwanamke hali kadhalika mwanamke ni mwanamke na nafasi yake kamwe haiwezi kulinganishwa au kusindanishwa na mwanaume.
Nikisikia tu mwanamke analeta mind set za haki sawa bla bla bla hata kama ni ndugu taratiibu namuondoa katika kundi la watu ninaowasiliana nao. Nawaona kama madume jike na nakosa positive vibes kabisa kwa hawa viumbe, watanisamehe tu.
Kinyume chake nimekuwa navutiwa sana na wanamake wanaoikubali nafasi yao kama wanawake, hawajishindanishi wala kujilinganisha na wanaume. Nakiri wazi nawapenda sana wanawake hawa Mungu awape mairha marefu.
Hali hi ya kutotaka ukaribu na "masupawuman" imenisababisha kuwaweka kando wanawake wengi na kuonekana naringa na sina time ya kuwaeleza kwanini nimewaweka kando kwasababu siwezi hata kuongea na wanawake mafeminists naona napoteza muda wangu kwa viumbe wanaofake mambo, limbukeni na wajinga wa utandawazi.
mkuu kwahyo mwanmke ambae ajasoma ni lofa !!Yani hapa ndo nnapocheka hadi nachoka[emoji1787] nani anaoa lofa saizi labda wewe. Endelea kuwashauri watoto ila wanaume wenye akili wanachukua wanawake waliosoma na wenye heshima.
Unauhakika madam, najua wameanza kwa matusi ila waliokuja kujibu nao walikuwa hawanabusara hivyohivyo na kuna mwingine alinifuata hadi kwenye pm kunijibu kwa matusi😂😂😂😂 sijui alijua humu ni duniani. I can screenshot the convo ukitaka! Naalikuwa akiwasafisha wanawake, nakwaujumla sikumtukana nilimuuliza maswali ya akili tu akashindwa kujibu.Wamekimbia topic,lol.....hongereni kwa kujadili kwa points Mrs Fulani2022 pamoja na Blessed woman ,mna busara sana,wengine ingekuwa war ya matusi kwa kwenda mbele.......
walikua provoked too muchUnauhakika madam, najua wameanza kwa matusi ila waliokuja kujibu nao walikuwa hawanabusara hivyohivyo na kuna mwingine alinifuata hadi kwenye pm kunijibu kwa matusi😂😂😂😂 sijui alijua humu ni duniani. I can screenshot the convo ukitaka! Naalikuwa akiwasafisha wanawake, nakwaujumla sikumtukana nilimuuliza maswali ya akili tu akashindwa kujibu.
Only a foolish man can be provoked by social media. Na infurther circumstances, only a stupid man can get into one on one conversation with curses because I barely even know you.walikua provoked too much
Only a foolish man can be provoked by social media. Na infurther circumstances, only a stupid man can get into one on one conversation with curses because I barely even know you.
Unataka unirudishe tena kwenye dhambi ya kuchambana. Kuna sehemu nimeandika mwanamke ambae hajasoma ni lofa? Au ni kuwashwa tu ili mradi na wewe uonekane umeandika. Kwanza Mbwa mwenyewe, pili wanawake wote unaowaona kule masokoni unadhani elimu ni kigezo? Kuna hadi wenye degree na wanauza matunda. Na wengine elimu hawana ila ukiwakuta mashambani wanavuna wanauza na kutunza familia zao.mkuu kwahyo mwanmke ambae ajasoma ni lofa !!
mim nlkuw nakuona una fact... infact mm napendag sna mwnmke confident, smart flexible na mwnye atanipa changmoto za utafutaji lakin ww ni MBWAA yan unatukana mama zetu ksa ww umesoma elimu yako isikupe kiburi..
nilikuw natafakari hapa ila inaonekan wnawake kama ww ambao mnaelimu na vibur ndy mana wakuu wengi apa wamkuja wanaponda mnaharbia wengne elmu yako iskufanye ukaruka kiunz na kuupinga ukuu wa mwnaume kwnye dunia ni MUNGU kauweka si PIMBI kama ww
Mwingine huyu hapaNilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).
Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.
Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?
Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?
Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!
Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
Mtu ambaye siyo mke wako ni rais kumwambia kufanya chochote lakin mke wako ngumu sana Kwa unakuwa unamueshimuFeminist raha yao sio WANYIMI. Unajipigia tu, Ni vichaa wale, they can really su.ck a d.i.ck.... Ila mke tafuta TRADITIONAL WOMAN.